Mwanaharakati afikisha mahakamani Uchina
Kiongozi wa maandamano ya mwaka jana ya kuunga mkono demokrasia nchini Hong Kong ameshtakiwa kwa makosa ya kukusanyika kiharamu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili21 Feb
Robert Mugabe afikisha miaka 91
11 years ago
BBCSwahili21 Feb
Rais Mubage afikisha miaka 90
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8l--NuzR*jGdhoK1jJAAprUyrwlzHv2kjaKs01T4bfjYVJzyXFU71G*hNJI03Ql-y2*QYru91m5V1lTDi3E68mjTgOJGNgE4/TAMBWE.jpg?width=600)
Tambwe ni zaidi ya mashine, afikisha mabao 19
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Cristiano Ronaldo afikisha mabao 500
MADRID, HISPANIA
NYOTA wa timu ya Real Madrid, Cristiano Ronaldo, amefanikiwa kufikisha mabao 500 katika historia yake ya soka baada ya juzi kuifungia klabu yake mabao mawili katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Malmo.
Mabao hayo ya Ronaldo yametokana na kucheza michezo 753 katika klabu mbalimbali pamoja na timu yake ya taifa ya Ureno.
Hata hivyo, amekuwa ni mchezaji ambaye anaongoza kwa mabao mengi katika michuano ya Ligi ya Mabingwa, huku akiwa na jumla ya mabao 82, akimuacha...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/diamond-pic-2.jpg)
DIAMOND AFIKISHA MASHABIKI MIL. 1 INSTAGRAM
10 years ago
Mwananchi08 May
‘Happy Birthday’ Mzee Mwinyi, afikisha miaka 90
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qmsUgHzH5lMW6OROGs8NK6JpTmoMwk-lHTzWwjCXhJkPGTGTxYWdLc3yqkvi4mX15iWCdsQg073bQILSfxAdw9Bn4enBGVwJ/10948950_321686791362831_755237401_n.jpg)
DIAMOND AFIKISHA FOLLOWERS LAKI TANO INSTAGRAM
9 years ago
Global Publishers16 Dec
Baba wa mwigizaji Genevieve Nnaji afikisha miaka 80
Mwigizaji Genevieve Nnaji akiwa na baba’ke.
MWIGIZAJI wa kike wa Nigeria, Genevieve Nnaji, jana alijirusha kwa furaha katika sherehe ya baba yake kutimiza miaka 80 siku ya Desemba 15, 2015.
Genevieve aliandika katika ukurasa wake wa mtandao wa Instragram leo asubuhi akimshukuru Mungu kwa kumlinda baba yake hadi leo ambapo alipiga naye picha na baba yake.
Baba yake Genevieve ambaye ni moto wa nne miongoni mwa watoto wanane wa familia yake, alikuwa mhandisi kabla ya kustaafu.
10 years ago
Vijimambo15 Jun
MWIGULU NCHEMBA ADHAMINIWA MKOANI SIMIYU,SASA AFIKISHA MIKOA 14
![](https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xta1/v/t1.0-9/11536345_386210041581230_8258952485515327284_n.jpg?oh=928a646628caee9e4963e247131c2aa2&oe=55F3810F&__gda__=1442109574_bd667464644168c744e465f6be3a56d0)
![](https://scontent-cdg2-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/11401054_386210184914549_1761171387126533337_n.jpg?oh=c341e552e48ec252436062fd0344db04&oe=55F737F0)
![](https://fbcdn-sphotos-a-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xft1/v/t1.0-9/11427234_386210084914559_5295723724680641922_n.jpg?oh=9ad278b618c3fb42b4aa18abd3bb91a9&oe=5632FF6A&__gda__=1442556896_a6390c6c56f225d75e79b71b21fc43d3)
![](https://fbcdn-sphotos-g-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xpa1/v/t1.0-9/10898115_386210134914554_7937892390936678228_n.jpg?oh=1dea0967ec684e22045c16c1ad82cacc&oe=562A0AAC&__gda__=1445580052_81363ba80364173de3471dc6d61ea717)