Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cristiano Ronaldo afikisha mabao 500

Football/Soccer: Spanish "Super Cup" - Atletico de Madrid vs Real MadridMADRID, HISPANIA

NYOTA wa timu ya Real Madrid, Cristiano Ronaldo, amefanikiwa kufikisha mabao 500 katika historia yake ya soka baada ya juzi kuifungia klabu yake mabao mawili katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Malmo.

Mabao hayo ya Ronaldo yametokana na kucheza michezo 753 katika klabu mbalimbali pamoja na timu yake ya taifa ya Ureno.

Hata hivyo, amekuwa ni mchezaji ambaye anaongoza kwa mabao mengi katika michuano ya Ligi ya Mabingwa, huku akiwa na jumla ya mabao 82, akimuacha...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

CHRISTIANO RONALDO 'CR7', MABAO 500

Mshambuliaji wa Real Madrid, Christiano Ronaldo akikabidhiwa kiatu cha dhahabu na Rais wa timu hiyo, Florentino Pérez wakati wa hafla ya kumpogeza mchezaji huyo. Christiano Ronaldo akiwa na mama yake na mwanaye. Perez akiwahutubia wachezaji na viongozi wa Madrid Ronaldo na Familia yake Christiano Ronaldo akitoa neno.…

 

11 years ago

GPL

Tambwe ni zaidi ya mashine, afikisha mabao 19

Mshambuliaji wa Simba, Amissi Tambwe. Na Sweebert Lukonge
YAWEZEKANA mabeki wa Ligi Kuu Bara wanaposikia jina la mshambuliaji Amissi Tambwe wa Simba wanaweza kuwa wanapatwa na hofu, kwani katika mechi 18 alizocheza kwenye ligi hiyo, amefunga jumla ya mabao 19. Tambwe amefikisha idadi hiyo ya mabao baada ya kutupia mawili katika ushindi wa mabao 3-2 wa timu yake dhidi ya Ruvu Shooting katika kipute kilichofanyika kwenye Uwanja...

 

10 years ago

GPL

CRISTIANO RONALDO MCHEZAJI BORA ULAYA

Mchezaji nyota wa Ureno na Real Madrid, Cristiano Ronaldo akibusu tuzo yake ya Mwanasoka Bora wa Ulaya baada ya kukabidhiwa usiku wa kuamkia leo mjini Monaco, Ufaransa. Cristiano Ronaldo akifurahia.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Cristiano Ronaldo atwaa tuzo ya BBC.

Cristiano Ronaldo ametwaa tuzo ya mwanamichezo bora wa mwaka wa shirika la utangazaji la BBC.

 

10 years ago

Dewji Blog

Sanamu ya Cristiano Ronaldo yazinduliwa, haifanani naye

Cristiano-Ronaldo-Statue-002

epa04536874 Portuguese soccer player Cristiano Ronaldo from Real Madrid poses during the unveling ceremony of a statue of himself in his hometown of Funchal, Madeira Island, 21 December 2014.  EPA/JOSE SENA GOULAO

Madeira is a pretty big Portuguese island that is known for two things: wine and Cristiano Ronaldo.

The Real Madrid superstar is the island’s greatest export (but if you can have wine and Ronaldo together, more power to you), and they honored him on Sunday by unveiling a statue of him. The only problem is that the statue looked nothing like him.

Cristiano-Ronaldo-Statue (1)

1.They got his free kick stance right! Kind of. It’s right based on the curve established by the rest of the statue.

2.Ronaldo has a very unique...

 

10 years ago

Mwananchi

Miaka 30: Cristiano Ronaldo na hatima yake katika soka

Siku hazigandi’. Huo ni usemi uliopata umaarufu nchini baada ya msanii, Judith Wambura Lady Jadyee kutoka na wimbo wenye kubeba maneno hayo.

 

10 years ago

Bongo5

Cristiano Ronaldo achukua tuzo ya mwanasoka bora wa Ulaya

Mchezaji nyota wa Ureno na Real Madrid, Cristiano Ronaldo usiku wa kuamkia leo mjini Monaco, Ufaransa amekabidhiwa tuzo ya Mwanasoka Bora wa Ulaya. Christiano Ronaldo baada ya kushinda tuzo Wachezaji ambao alikuwa akishindanao katika kinyang’anyiro hicho ni mchezaji wa Bayern Munich, kipa Mjerumani Manuel Neuer na winga Mholanzi Arjen Robben pamoja na Ronaldo (katikati) akifurahia […]

 

10 years ago

Bongo5

Cristiano Ronaldo aachana na mpenzi wake Irina Shayk

Mchezaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo ameachana na mpenzi wake raia wa Urusi, Irina Shayk. Wawili hao wamedumu kwa kipindi cha miaka mitano. “Tunathibitisha kuwa Irina Shayk amevunja uhusiano wake na Cristiano Ronaldo,” mwakilishi wake aliiambia Page Six jana. Tetesi za kuachana kwa mastaa hao zilianza kuvuma baada ya Shayk kutoonekana akiwa na Ronaldo kwenye […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani