Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sanamu ya Cristiano Ronaldo yazinduliwa, haifanani naye

Cristiano-Ronaldo-Statue-002

epa04536874 Portuguese soccer player Cristiano Ronaldo from Real Madrid poses during the unveling ceremony of a statue of himself in his hometown of Funchal, Madeira Island, 21 December 2014.  EPA/JOSE SENA GOULAO

Madeira is a pretty big Portuguese island that is known for two things: wine and Cristiano Ronaldo.

The Real Madrid superstar is the island’s greatest export (but if you can have wine and Ronaldo together, more power to you), and they honored him on Sunday by unveiling a statue of him. The only problem is that the statue looked nothing like him.

Cristiano-Ronaldo-Statue (1)

1.They got his free kick stance right! Kind of. It’s right based on the curve established by the rest of the statue.

2.Ronaldo has a very unique...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ronaldo azindua sanamu yake

Cristiano Ronaldo amezindua sanamu yake ya kumuenzi kwa mafanikio yake, katika mji aliozaliwa wa Funchal kwenye Kisiwa Madeira.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sanamu ya Mandela yazinduliwa A. Kusini

Sanamu kubwa zaidi duniani ya Nelson Mandela imezinduliwa mjini Pretoria siku moja baada ya rais huyo wa zamani kuzikwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ronaldo huijali mno Sanamu yake .

Cristiano Ronaldo mara zote amekuwa na maamuzi ya kipekee yasiyo pitia kwa mtu wa pili na ana tabia ya kuijipenda mno.

 

10 years ago

GPL

CRISTIANO RONALDO MCHEZAJI BORA ULAYA

Mchezaji nyota wa Ureno na Real Madrid, Cristiano Ronaldo akibusu tuzo yake ya Mwanasoka Bora wa Ulaya baada ya kukabidhiwa usiku wa kuamkia leo mjini Monaco, Ufaransa. Cristiano Ronaldo akifurahia.…

 

10 years ago

BBCSwahili

Cristiano Ronaldo atwaa tuzo ya BBC.

Cristiano Ronaldo ametwaa tuzo ya mwanamichezo bora wa mwaka wa shirika la utangazaji la BBC.

 

9 years ago

Mtanzania

Cristiano Ronaldo afikisha mabao 500

Football/Soccer: Spanish "Super Cup" - Atletico de Madrid vs Real MadridMADRID, HISPANIA

NYOTA wa timu ya Real Madrid, Cristiano Ronaldo, amefanikiwa kufikisha mabao 500 katika historia yake ya soka baada ya juzi kuifungia klabu yake mabao mawili katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Malmo.

Mabao hayo ya Ronaldo yametokana na kucheza michezo 753 katika klabu mbalimbali pamoja na timu yake ya taifa ya Ureno.

Hata hivyo, amekuwa ni mchezaji ambaye anaongoza kwa mabao mengi katika michuano ya Ligi ya Mabingwa, huku akiwa na jumla ya mabao 82, akimuacha...

 

10 years ago

Bongo5

Cristiano Ronaldo aachana na mpenzi wake Irina Shayk

Mchezaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo ameachana na mpenzi wake raia wa Urusi, Irina Shayk. Wawili hao wamedumu kwa kipindi cha miaka mitano. “Tunathibitisha kuwa Irina Shayk amevunja uhusiano wake na Cristiano Ronaldo,” mwakilishi wake aliiambia Page Six jana. Tetesi za kuachana kwa mastaa hao zilianza kuvuma baada ya Shayk kutoonekana akiwa na Ronaldo kwenye […]

 

9 years ago

Bongo5

Hii ni trailer ya movie ya Cristiano Ronaldo inayotoka mwezi 11

Mchezaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo anatarajia kutoa movie yake November 9 mwaka huu aliyofanya na kampuni ya Universal Studios. Movie hii imeandaliwa kwa miezi 14 na itakuwa na video mbalimbali ambazo hazijawahi kuonekana. Kwenye movie hiyo wamehusishwa mama yake Ronaldo, mwanae na marafiki zake. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani