Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sanamu ya Mandela yazinduliwa A. Kusini

Sanamu kubwa zaidi duniani ya Nelson Mandela imezinduliwa mjini Pretoria siku moja baada ya rais huyo wa zamani kuzikwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Sanamu ya Cristiano Ronaldo yazinduliwa, haifanani naye

Cristiano-Ronaldo-Statue-002

epa04536874 Portuguese soccer player Cristiano Ronaldo from Real Madrid poses during the unveling ceremony of a statue of himself in his hometown of Funchal, Madeira Island, 21 December 2014.  EPA/JOSE SENA GOULAO

Madeira is a pretty big Portuguese island that is known for two things: wine and Cristiano Ronaldo.

The Real Madrid superstar is the island’s greatest export (but if you can have wine and Ronaldo together, more power to you), and they honored him on Sunday by unveiling a statue of him. The only problem is that the statue looked nothing like him.

Cristiano-Ronaldo-Statue (1)

1.They got his free kick stance right! Kind of. It’s right based on the curve established by the rest of the statue.

2.Ronaldo has a very unique...

 

11 years ago

Mwananchi

Zuma azindua sanamu ya Nelson Mandela

Afrika Kusini. Rais Jacob Zuma amezindua sanamu ya shaba ya shujaa wa Afrika, Nelson Mandela kwenye jengo la Muungano lililopo mji wa Pretoria.

 

10 years ago

Michuzi

REDIO YA JAMII MKOANI YAZINDULIWA KUSINI PEMBA

DSC_0011
Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (mwenye koti la suti) akiwasili kwenye uwanja wa ndege wa Pemba kwa ajili kuhuduria sherehe za uzinduzi wa Redio Jamii Mkoani jimbo la Mkanyageni, Kusini Pemba na kupokelewa na Afisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) Bw. Al Amin Yusuph (kulia) aliyeambatana na Mshauri na Mkufunzi kutoka...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mandela akumbukwa Afrika Kusini

Raia Nchini Afrika Kusini wanaadhimisha mwaka mmoja tangu alipofariki Rais wa Kwanza mzalendo wa Afrika hayati Kusini Nelson.

 

11 years ago

BBCSwahili

Bunge la Afrika Kusini kumuenzi Mandela

Bunge nchini Afrika Kusini, leo linatarajiwa kuwa na kikao maalum cha kumkumbuka Nelson Mandela, huku viongozi duniani wakijiandaa kwa misa ya wafu itakayofanyika Jumanne.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mandela:Siku ya maombi Afrika Kusini

Wananchi na viongozi wa Afrika Kusini wanashirki maombi ya kitaifa ya kumuenzi na kumkumbuka hayati Nelson Mandela

 

11 years ago

Mwananchi

Mandela alileta mapinduzi ya kiuchumi Afrika ya Kusini

Jabali la ukombozi limeondoka duniani. Amefariki akiwa na umri wa miaka 95. Huyo si mwingine bali ni Nelson Mandela ambaye aliwakomboa Waafrika Kusini kutoka kwenye minyororo ya makaburu.

 

11 years ago

Mwananchi

Mandela aivuta dunia kuhamia Afrika Kusini

Johannesburg. Viongozi zaidi ya sabini wakiwamo wakuu wa nchi na Serikali wanatarajiwa kushiriki hatua mbalimbali za safari ya mwisho ya Mzee Mandela aliyefariki Alhamisi ya Desemba tano usiku.

 

11 years ago

Habarileo

Zuma: Afrika Kusini tulihitaji kiongozi aina ya Mandela

RAIS wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, amesema nchi hiyo, ilihitaji Rais wa aina ya Nelson Mandela. Amesema kama serikali ya makaburu ingeendelea madarakani, Waafrika Kusini, wangezuiwa hata kufikiria kuhusu Mandela.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani