Tambwe ni zaidi ya mashine, afikisha mabao 19
![](http://api.ning.com:80/files/8l--NuzR*jGdhoK1jJAAprUyrwlzHv2kjaKs01T4bfjYVJzyXFU71G*hNJI03Ql-y2*QYru91m5V1lTDi3E68mjTgOJGNgE4/TAMBWE.jpg?width=600)
Mshambuliaji wa Simba, Amissi Tambwe. Na Sweebert Lukonge YAWEZEKANA mabeki wa Ligi Kuu Bara wanaposikia jina la mshambuliaji Amissi Tambwe wa Simba wanaweza kuwa wanapatwa na hofu, kwani katika mechi 18 alizocheza kwenye ligi hiyo, amefunga jumla ya mabao 19. Tambwe amefikisha idadi hiyo ya mabao baada ya kutupia mawili katika ushindi wa mabao 3-2 wa timu yake dhidi ya Ruvu Shooting katika kipute kilichofanyika kwenye Uwanja...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qB*eEYpVu7MJ5fmSegXxduLruiCFy6gpPVfUXScPfg0*gZbk*yFEEgudJMan7kg2j60SbNMm3xY2ZRSbYjMSPG8y2Lmfr6hE/TAA.jpg)
Tambwe: Mabao zaidi yanakuja
9 years ago
Mtanzania02 Oct
Cristiano Ronaldo afikisha mabao 500
MADRID, HISPANIA
NYOTA wa timu ya Real Madrid, Cristiano Ronaldo, amefanikiwa kufikisha mabao 500 katika historia yake ya soka baada ya juzi kuifungia klabu yake mabao mawili katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Malmo.
Mabao hayo ya Ronaldo yametokana na kucheza michezo 753 katika klabu mbalimbali pamoja na timu yake ya taifa ya Ureno.
Hata hivyo, amekuwa ni mchezaji ambaye anaongoza kwa mabao mengi katika michuano ya Ligi ya Mabingwa, huku akiwa na jumla ya mabao 82, akimuacha...
10 years ago
Mwananchi25 Mar
Tambwe aanika siri ya mabao
10 years ago
Mwananchi31 May
Mashine 1,600 zaidi za BVR zawasili nchini
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uow3g9c8x0o/VCkLgiXHn6I/AAAAAAAGmac/qzDYZxLhZvM/s72-c/Salma-Kikwete.jpg)
MAMA KIKWETE APEWA MASHINE YA KUPIMA SARATANI YA MATITI YENYE THAMANI YA ZAIDI YA DOLA 200000
![](http://3.bp.blogspot.com/-uow3g9c8x0o/VCkLgiXHn6I/AAAAAAAGmac/qzDYZxLhZvM/s1600/Salma-Kikwete.jpg)
Na Anna Nkinda – Maelezo, Washington.
29/9/2014 Chama cha Wanawake wa Afrika na Uelewa wa Saratani (African Women Cancer Awareness Assossiation - AWCAA) imemkabidhi Mke wa Rais Mama Salma kikwete mashine moja ya Mammogram ambayo inatumika kupima ugonjwa wa saratani ya matiti yenye thamani yazaidi dola za kimarekani laki mbili.
Makabidhiano hayo yalifanyika jana katika ukumbi wa mikutano wa Ubalozi wa Tanzania uliopo mjini Washington D.C nchini Marekani.
Akiongea mara baada ya kukabidhiwa...
10 years ago
Dewji Blog11 Mar
AUDIO: Jaji Lubuva akanusha vikali taarifa ya gazeti ‘Mkandarasi wa mashine za BVR amegoma kuleta mashine nchini’
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damiani Lubuva akitoa kanusho kuhusiana na Mkandarasi wa BVR kugoma kuleta vifaa, achachamaa kutokana na habari iliyoandikwa na gazeti la Tanzania Daima.
10 years ago
BBCSwahili21 Feb
Robert Mugabe afikisha miaka 91
11 years ago
BBCSwahili21 Feb
Rais Mubage afikisha miaka 90