SHERIA MPYA YA MTANDAO MWISHO CHUMBE..?

Logo ya Zanzibar Diaspora Association (ZADIA)Na Mwandishi wetu swahilivilla Blog
Wanadiaspora wameelezea wasiwasi wao kuwa sheria mpya ya Makosa Ya Mtandao iliyoanza kufanya kazi tarehe mosi mwezi huu nchini Tanzania, huenda ikaishia kisiwa cha Chumbe kilichopo katikati ya Dar es salaam na Zanzibar, imefahamika.
Hayo yamekuja kwenye kongamano maalum lililoandaliwa na Jumuiya Ya Wazanzibari Waishio nchini Marekani (ZADIA) kujadili Sheria Mpya ya Makosa Ya Mtandao na Athari zake Kisiasa.
Wageni...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mzalendo Zanzibar08 Sep
Sheria ya mpya ya makosa ya mtandao mwisho Chumbe?
Monday, September 7, 2015 Na Muandishi wetu swahilivilla Blog Wanadiaspora wameelezea wasiwasi wao kuwa sheria mpya ya Makosa Ya Mtandao iliyoanza kufanya kazi tarehe mosi mwezi huu nchini Tanzania, huenda ikaishia Chumbe, imefahamika. Hayo yamekuja kwenye […]
The post Sheria ya mpya ya makosa ya mtandao mwisho Chumbe? appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Michuzi.jpg)
Mtandao wa waandishi kupitia mitandao nchini watoa tamko didi ya muswada wa Sheria ya Makosa ya Mtandao,2015
.jpg)
5 years ago
Ykileo
KUELEKEA MWISHO WA MWAKA TUNATEGEMEA MASHAMBULIZI MTANDAO ZAIDI

Matarajio hayo ni kutokana na matumizi makubwa ya mtandao katika kufanya miamala mbali mbali ya manunuzi ya bidhaa katika kipindi hiki cha sikukuu ambapo watu wengi duniani kote wamekua wakinunua vitu mbali mbali...
10 years ago
GPL
SHERIA YA MTANDAO INAMFILISI 50
10 years ago
Habarileo09 May
Elimu sheria ya mtandao kutolewa
WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa amesema kuanzia wiki ijayo wataalamu wake wataanza kutoa elimu kwa umma kuhusu sheria ya makosa ya mtandao ya mwaka 2015, ili ianze kutumika rasmi.
10 years ago
Mzalendo Zanzibar16 Sep
Kesi ya kupinga sheria ya mtandao
Dar es Salaam. Mchakato wa usikilizwaji wa kesi ya Sheria ya Makosa ya Uhalifu wa Kimtandao umeanza, huku Mahakama Kuu nchini ikiipa Serikali siku 14 kuwasilisha mahakamani hapo majibu yake ya utetezi kuhusiana na kesi hiyo.Kesi […]
The post Kesi ya kupinga sheria ya mtandao appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Wahalifu mtandao ni kutungiwa sheria
10 years ago
GPL
SHERIA YA MTANDAO YAMKUNA MAI
10 years ago
Mtanzania16 Sep
Sheria ya mtandao yanasa watano
Asifiwe George na Ester Mnyika, Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashikilia watu watano kwa tuhuma za kutumia vibaya mitandao ya kijamii kufanya uhalifu wa kutengeneza habari za uongo na uzushi dhidi ya viongozi au watu maarufu.
Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Suleimani Kova alisema watu hao wamekuwa wakitumia vibaya majina ya watu maarufu hasa wanasiasa.
Kova alitaja majina...