Ukosefu wa elimu ya usafiri wa anga wachangia malalamiko kwa wateja.
Kukosekana kwa elimu juu ya dhana ya usafiri wa anga kwa bei nafuu inatajwa kuwa sababu ya malalamiko ya watumiaji wa usafiri huo kutokana na malipo yanayoongezeka tofauti na gharama ya tiketi husika.
Hayo yamebainishwa katika warsha iliyoandaliwa na baraza la ushauri la watumiaji wa huduma ya usafiri wa anga Tanzania TCAACCC jijini Mwanza ambapo wadau mbalimbali wa sekta hiyo wamehudhuria.
Kutokueleweka kwa biashara ya usafiri wa anga kwa bei nafuu imekuwa chanzo cha malalamiko kutoka kwa...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Vtq79wzxjfo/U4NdD4sLHFI/AAAAAAAFlIk/XYDAhs99ZJU/s72-c/unnamed+(30).jpg)
KATIBU MKUU WA SHIRIKA LA USAFIRI WA ANGA DUNIANI (ICAO) ATEMBELEA OFISI ZA HUDUMA ZA HALI YA HEWA KWA USAFIRI WA ANGA NCHINI (TMA)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Vtq79wzxjfo/U4NdD4sLHFI/AAAAAAAFlIk/XYDAhs99ZJU/s1600/unnamed+(30).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-CGKNR-wzmwY/U-JYpnhDJ9I/AAAAAAAF9o0/tpxE0iVk_4Q/s72-c/unnamed+(52).jpg)
Mamlaka ya usafiri wa anga Tanzania TCAA, Watoa Elimu ya Anga Nane Nane Dodoma
![](http://2.bp.blogspot.com/-CGKNR-wzmwY/U-JYpnhDJ9I/AAAAAAAF9o0/tpxE0iVk_4Q/s1600/unnamed+(52).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y0gDsaPRkVk/U-JYppaGlrI/AAAAAAAF9pA/_tmDlheYzgY/s1600/unnamed+(53).jpg)
10 years ago
MichuziMAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA YA DHAMINI KONGAMANO LA MAFUNZO YA MFUMO MPYA WA SHIRIKA LA KIMATAIFA LA USAFIRI WA ANGA (ICAO)
10 years ago
Dewji Blog15 Oct
Mamlaka ya usafiri wa anga yadhamini kongamano la mafunzo ya mfumo mpya wa shirika la kimataifa la usafiri wa anga — ICAO
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Charles Chacha(kushoto) akiongea wakati wa uzinduzi wa kongamano la mafunzo ya mfumo mpya wa shirika la Kimataifa la usafiri wa Anga (ICAO) lenye kulenga ufanisi wa wataalamu wa kuongoza ndege vyombo vya usafiri wa anga pamoja na mitambo ya kuongonzea ndege. katikati ni Meneja mratibu wa safari za ndege Afrika Frederic Legrand, Kongamano hilo linazihusisha nchi za Afrika linafanyika hapa nchini kwa siku tatu kuanzia leo...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-NkQiEaLiyyM/VcOsbBx3jXI/AAAAAAAHuuo/VOoSEe878hI/s72-c/04.jpg)
TCAA watoa Elimu ya Usafiri wa Anga kwa wananchi waliofika kwenye maonesho ya Nanena yanayofanyika Ngongo, Lindi
![](http://4.bp.blogspot.com/-NkQiEaLiyyM/VcOsbBx3jXI/AAAAAAAHuuo/VOoSEe878hI/s640/04.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fUTdt9PRtKc/VcOscd9n7rI/AAAAAAAHuuw/CRsRaD0E1h8/s640/05.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-TUUoi_f0Pn8/VcOsc3thu4I/AAAAAAAHuu0/EpGPqxnEKJQ/s640/06.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tAII3Goltr4/Uvz58MZl4bI/AAAAAAAFM-Y/kmC9Tzi1cAo/s72-c/unnamed+(1).jpg)
MAMLKAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) NA MAMLAKA YAUSAFIRI WA ANGA NCHINI CHINA (CAAC) WASAINI MKATBA WA USHIRIKIANO WA NDEGE ZINAZOTENGENEZWA CHINA KUTUA KATIKA ANGA LA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-tAII3Goltr4/Uvz58MZl4bI/AAAAAAAFM-Y/kmC9Tzi1cAo/s1600/unnamed+(1).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-V4xbcFkPbIA/Uv01CghqUWI/AAAAAAAFNCM/8w_piVeR7HA/s72-c/unnamedZ.jpg)
MAMLKAKA YA USAFIRI WA ANGA TANZANIA (TCAA) NA MAMLAKA YAUSAFIRI WA ANGA NCHINI CHINA (CAAC) WASAINI MKATABA WA USHIRIKIANO WA NDEGE ZINAZOTENGENEZWA CHINA KUTUA KATIKA ANGA LA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-V4xbcFkPbIA/Uv01CghqUWI/AAAAAAAFNCM/8w_piVeR7HA/s1600/unnamedZ.jpg)
11 years ago
Mwananchi15 May
Bosi wa usafiri wa anga yuko nchini kwa siku nne
10 years ago
MichuziUKOSEFU WA CHAKULA MASHULENI WACHANGIA UTORO
Na Woinde Shizza,Arusha
Ukosefu wa Chakula sheleni hususan zile zinazomilikiwa na serikali
umetajwa kuwa chanzo kikubwa kinasababisha wanafunzi kutoroka
mashuleni na kwenda kujitafutia chakula hali inayoathiri taaluma na
maendeleo ya elimu nchini.
Mwanakijiji wa kijiji cha Arkata Kipara Ngine amesema kuwa watoto
wengi wamekua wakitoroka shuleni kwa kukosa chakula hivyo kupelekea
idadi ndogo ya mahudhurio mashuleni.
Kipara ameihasa saerikali kwa kushirikiana na mashirika binafsi pamoja
na wazazi...