Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nzige na tumbiri hawataangamiza shamba la CHADEMA

MAADUI wenye nia mbaya ya kutaka kubomoa nchi yenye amani na utulivu, wanaojigeuza kuwa wadudu ama wanyama waharibifu wa mazao yaliyolimwa na binadamu wenye akili na nguvu zao wanaweza kufananishwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

SHAMBA LA MWANADIASPORA MZEE TEMBA LAUZWA HUKU YEYE AKIWA NA HAKI ZOTE ZA KULIMILIKI SHAMBA HILO

Diaspora tunachangamoto nyingi zinazo tukabili ukiachia mbali swala la uraia pacha ambalo sasa tumewekwa kama raia wa kigeni kwenye nchi yako ya kuzaliwa na kinachoangaliwa zaidi ni kitu gani umeifanyia nchi yako japo ughaibuni umekuja kutafuta sawa na Mtanzania yeyote aliyetoka mkoani na kuelekea Dar es Salaam kwa lengo lilelile analofanya mwanaDiaspora anapokuja ughaibuni.

Tukiachana na hiyo stori ya uraia pacha ninataka kukujuzeni kuhusu hii stori ya shamba ya mwanaDiaspora mwenzetu Mzee...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwa Werema Watanzania ni tumbiri wa kukatwa vichwa!

KATIKA makala yangu ya wiki iliyopita, niliyokuwa naunga mkono wazo la Juvenalis Ngowi la kupunguza ukubwa wa Bunge letu, nilisema kwamba upungufu wa elimu ya uraia kwa wananchi ni tatizo...

 

10 years ago

Habarileo

Shamba apatikana na zao la ‘shamba’

SHAMBA Malela (20) mkazi wa Nianjema wilayani Bagamoyo mkoani Pwani anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kupatikana na kete 136 za dawa aina ya heroin.

 

5 years ago

BBCSwahili

Nzige huenda wakasababisha ukosefu wa chakula na utapia mlo

Makundi ya nzige ambayo hayajawahi kushuhudiwa kabla yanamaliza mazao Afrika Mashariki.

 

5 years ago

BBCSwahili

Nzige waripotiwa kuingia Tanzania na Uganda kutoka Kenya

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro nchini Tanzania Anna Mgwira amethibitisha kuonekana kwa kundi la nzige katika baadhi ya vijiji vya Moshi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Nzige: Wadudu waharibifu wafanywa kuwa kitoweo Uganda na Somalia

Raia wa Uganda wanaoishi kaskakazini mwa wilya ya Kitgum wanakula nzige wa jangwani ambao wameharibi mimea yao kulingana na kituo cha habari cha Uganda radio Nnetwork URN.

 

5 years ago

BBCSwahili

David Obala: Kwa nini mbunge wa Uganda alipeleka nzige bungeni?

Video ya mbunge mmoja wa Uganda aliyebeba na kupeleka nzige bungeni imesambaa katika mitandao ya kijamii.

 

5 years ago

BBCSwahili

Nzige Afrika: Je, mataifa yanahitaji nini kukabiliana na tishio la wadudu hawa?

Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa muda unayoyoma wa kukabiliana na wadudu hao waharibifu wa mimea ambao wanatishia upatikanaji wa chakula.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wimbi la pili la nzige kufanya uharibifu Afrika mashariki

Wimbi la pili la nzige linatarajiwa kusababisha uharibifu mkubwa mashariki mwa Afrika, miezi miwili baada ya kundi la wadudu hao hatari kuvamia mimea muda mfupi tu kabla ya kuanza kwa mlipuko wa virusi vya corona.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani