Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nzige Afrika: Je, mataifa yanahitaji nini kukabiliana na tishio la wadudu hawa?

Umoja wa Mataifa umetahadharisha kuwa muda unayoyoma wa kukabiliana na wadudu hao waharibifu wa mimea ambao wanatishia upatikanaji wa chakula.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Nzige: Wadudu waharibifu wafanywa kuwa kitoweo Uganda na Somalia

Raia wa Uganda wanaoishi kaskakazini mwa wilya ya Kitgum wanakula nzige wa jangwani ambao wameharibi mimea yao kulingana na kituo cha habari cha Uganda radio Nnetwork URN.

 

5 years ago

BBCSwahili

David Obala: Kwa nini mbunge wa Uganda alipeleka nzige bungeni?

Video ya mbunge mmoja wa Uganda aliyebeba na kupeleka nzige bungeni imesambaa katika mitandao ya kijamii.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uvamizi wa nzige: Umoja wa Mataifa watoa tahadhari ya njaa katika Ethiopia, Kenya, Uganda, Tanzania na Somalia

Kuharibiwa kwa tani za mazao na nzige kunaweza kusababisha mzozo wa chakula , wasema Umoja wa Mataifa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wimbi la pili la nzige kufanya uharibifu Afrika mashariki

Wimbi la pili la nzige linatarajiwa kusababisha uharibifu mkubwa mashariki mwa Afrika, miezi miwili baada ya kundi la wadudu hao hatari kuvamia mimea muda mfupi tu kabla ya kuanza kwa mlipuko wa virusi vya corona.

 

11 years ago

Ykileo

UHALIFU MTANDAO NI TISHIO - NINI KIFANYIKE?

Uhalifu mtandaoo bado ni tatizo si tu katika nchi ya Tanzania bali Afrika na hata Duniani kwa ujumla. Hali imekua ni mbaya na bado jitihada za dhati zinaendelea kimataifa ili kukabiliana na uhalifu mtandao.  Kwa upande wa Tanzania midahalo imekua ikiendelea ikiwa ni katika kukuza uwelewa kwa watanzania juu ya maswala ya uhalifu mtandao. mchango wa vyombo vya habari katika kuelimisha jamii umeendelea kukua hivi sasa. Hili nilipata kulifafanua kupitia Mada niliyoiandikia kwa jina la unao...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nini mustakabali wa watoto hawa?

AJIRA kwa watoto limekuwa tatizo kubwa duniani hasa barani Afrika. Umoja wa Mataifa (UN) ulipitisha mkataba wa haki za watoto uliokuwa na haki zaidi ya ishirini ili kumlinda mtoto asinyanyaswe...

 

9 years ago

Raia Mwema

Kwa nini marais hawa wa Marekani waliuawa- 2

LEO ndugu wasomaji nawaletea makala inayomhusu Rais wa 20 wa Marekani, aliyekaa madarakani kwa si

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Raia Mwema

Kwa nini marais hawa wa Marekani waliuawa? - 4:

Habarini za leo wapenzi wasomaji wa gazeti hili popote pale mlipo, hususan wale waumini wakubwa w

Mwandishi Wetu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani