Kwa Werema Watanzania ni tumbiri wa kukatwa vichwa!
KATIKA makala yangu ya wiki iliyopita, niliyokuwa naunga mkono wazo la Juvenalis Ngowi la kupunguza ukubwa wa Bunge letu, nilisema kwamba upungufu wa elimu ya uraia kwa wananchi ni tatizo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima06 Jul
Kwa Werema Watanzania ni tumbili wa kukatwa vichwa!
KATIKA makala yangu ya wiki iliyopita, niliyokuwa naunga mkono wazo la Juvenalis Ngowi la kupunguza ukubwa wa Bunge letu, nilisema kwamba upungufu wa elimu ya uraia kwa wananchi ni tatizo...
10 years ago
Vijimambo11 Jul
MATUMAINI YA WATANZANIA NDANI YA CCM BAADA YA MEMBE NA MAKAMBA KUSEMEKANA KUKATWA
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2783602/highRes/1058999/-/maxw/600/-/cqwrhoz/-/05-Magufuli.jpg)
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2783614/highRes/1059007/-/maxw/600/-/c4fxnfz/-/06-Migiro.jpg)
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2783596/highRes/1058994/-/maxw/600/-/7nt17oz/-/04-Salum+ali.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima06 Jul
Nzige na tumbiri hawataangamiza shamba la CHADEMA
MAADUI wenye nia mbaya ya kutaka kubomoa nchi yenye amani na utulivu, wanaojigeuza kuwa wadudu ama wanyama waharibifu wa mazao yaliyolimwa na binadamu wenye akili na nguvu zao wanaweza kufananishwa...
9 years ago
StarTV26 Nov
Mtu mmoja afariki kwa kukatwa kwa kitu chenye ncha kali
Mtu mmoja aliyejulikana kwa jina la Mwikwabe Mwita mkazi wa Kibasa wilaya ya tarime mkoani Mara amefariki dunia baada ya kukatwa na kitu chenye ncha kali kichwani na watu wanaodhaniwa kuwa ni majambazi baada ya kuvamia duka ambalo marehemu alikuwa akifanya kazi ya ulinzi nyakati za usiku
Akiongea kwa masikitika makubwa ya kuuawa kwa mlinzi wa duka lake na kuporwa mali zote zilizo kuwemo ndani ya duka hilo mmiliki wa duka, Chacha marwa analiomba jeshi la polisi kanda maalum ya Tarime na...
10 years ago
Michuzi16 Mar
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Mtoto auawa kwa kukatwa kichwa
9 years ago
Habarileo30 Sep
5 wa familia moja wafa kwa kukatwa mapanga
WATU watano wa familia moja akiwemo mtoto wa miezi tisa, wameuawa kwa kukatwa mapanga kutokana na ugomvi unaodaiwa kua wa mgogoro wa ardhi katika kijiji cha Kisesa katika Kata ya Bugarama, wilayani Maswa, Mkoani Simiyu.
10 years ago
VijimamboSHUKURANI KWA WATANZANIA KUTOKA KWA FAMILIA YA MAGEGE NA JUMUIYA YA WATANZANIA NEW YORK.
Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvaniakwa pamoja na Magege's Family,Tunatoa shukurani zetu za dhati kwa wotewaliojitokeza kwa namna Moja au nyengine katika kufanikisha mazishi yaMpendwa Mzee wetu Alfred Magege.Kwa pamoja tumefarijika na upendo mliotuonyesha katika Kipindi chotecha Msiba wa Mzee wetu naHatuna cha kuwalipa isipokuwa kukuombeeni dua kwa Mwenyezi Munguakuzidishieni Baraka na Daima tuendelee kuwa wamoja katika shida naraha.
Vile vile Tunatoa...
9 years ago
StarTV03 Dec
Watu wanne wauawa kwa kukatwa mapanga Geita
Watu wanne wameuawa kwa kukatwa mapanga na watu wasiojulikana katika kijiji cha Bugalama Wilaya ya Geita.
Tukio hilo limetokea disemba moja majira ya saa nne usiku likihusishwa na imani za kishirikina ambapo inadaiwa marehemu Mariamu Lushafisha alimuua mumewe Samuel Masebu ambaye alikuwa akionekana mara kwa mara maeneo ya nyumbani na baadhi ya wanandugu wa upande wa kiume kumtuhumu Mariam amemuua kimazingara.
Watu hao wasiofahamika waliingia na mapanga kwenye mji wa Marehemu Samuel Masebu...