Tanzania Yaendelea Kuaminiwa Kimataifa
Na. Immaculate Makilika- MAELEZO
Tanzania imeendelea kuaminiwa kimataifa kufuatia jitihada mbalimbali inayofanya kwa ajili ya kupiga vita vitendo vya rushwa pamoja kuwekeza katika miradi mbalimbali inayolenga na kuboresha maisha ya wananchi, pamoja na kukuza uchumi wa nchi.
Akizungumza na Waandishi wa habari leo jijini Dodoma, Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi alisema kuwa Machi 5, 2020 Shirika la Fedha Fedha Duniani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rlh_AZKF6Gc/XlvTZKMTUkI/AAAAAAALgOc/hSbmzZmklGU8aiDKbxeLAxbUld88DoW4ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMGL9990-2048x1365.jpg)
Tanzania Yaendelea Kung’ara Kimataifa
Akizungumza na Waandishi wa Habari leo Jijini Dodoma, Msemaji mkuu wa Serikali na Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Dkt. Hassan Abbasi amesema kuwa kidunia Tanzania imeendelea kufanya vizuri katika Nyanja mbalimbali ambapo katika suala hilo anasema kidunia imekuwa ya 21.
“Taasisi za Kimataifa zinatambua juhudi za Serikali yetu katika...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b5uQVhH9VGY/XvOE8AlZyYI/AAAAAAALvTA/WKDeUybEAnMmIs7EJ79PiCQXbP2aaU78gCLcBGAsYHQ/s72-c/AA1111111111-768x512.jpg)
TANZANIA YAENDELEA KUZIOMBA TAASISI ZA FEDHA ZA KIMATAIFA KUSAMEHE MADENI NCHI ZINAZOENDELEA
![](https://1.bp.blogspot.com/-b5uQVhH9VGY/XvOE8AlZyYI/AAAAAAALvTA/WKDeUybEAnMmIs7EJ79PiCQXbP2aaU78gCLcBGAsYHQ/s640/AA1111111111-768x512.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamamba John Kabudi akifuatilia mkutano wa Marais, Mawaziri Wakuu pamoja na Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi na Serikali za Jumuiya ya Madola uliofanyika kwa njia ya mtandao (video conference) leo katika ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es Salaam
……………………………………………………………………
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeendelea kuziomba taasisi za fedha za kimataifa pamoja na nchi za Jumuiya ya madola kufikiria kufuta kabisa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3Lt9ToQ5SxWADjOmVE3iNGce8UtyPv75g*wKMvYZ6hFKTT1PKHVRdjpY-af7*I1okM44ZKpPZKjX7Hy5A5go59PU/1.jpg?width=650)
SEMINA YA KIMATAIFA YA UJASIRIAMALI YAENDELEA DAR LIVE
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-J7_qMw345u8/Vhbt4pAYQyI/AAAAAAAEAGo/3YC7vgonCmc/s72-c/IMG_4099.jpg)
MIKUTANO YA BENKI YA DUNIA NA SHIRIKALA FEDHA LA KIMATAIFA YAENDELEA MJINI PERU-LIMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-J7_qMw345u8/Vhbt4pAYQyI/AAAAAAAEAGo/3YC7vgonCmc/s640/IMG_4099.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-W72SReU0sJw/VhbXESvefkI/AAAAAAAH-AQ/7QTuUHjSrw0/s72-c/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
MIKUTANO YA BENKI YA DUNIA NA SHIRIKALA FEDHA LA KIMATAIFA YAENDELEA MJINI LIMA, Peru
![](http://1.bp.blogspot.com/-W72SReU0sJw/VhbXESvefkI/AAAAAAAH-AQ/7QTuUHjSrw0/s640/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TwSGjDRNUNU/VhbXEUzU1ZI/AAAAAAAH-Ac/Mcz-FKOEPZY/s640/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog09 Oct
Mikutano ya Benki ya Dunia la Shirika la Fedha la Kimataifa yaendelea mjini Peru-Lima
Dr. Servacius Likwelile Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali akiwa na Magavana wa Benki ya Dunia na Shirika la fedha la kimataifa wa Mashariki na Kusini mwa Afrika kwenye majadiliano ya kukuzauchumi katika mkutano wa MEFMI. Aliyesimama mbele ni Bi. Arunma Oteh Makamu wa Rais na Mweka hazina.
Kutoka kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile akiwa katika mkutano wa kamati ya maendeleo akifuatilia kwa makini majadiliano...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-dd_MNJ3i5ko/VBdQg9AOnXI/AAAAAAAGj2A/yEhOymKzyPA/s72-c/unnamed%2B(40).jpg)
Tanzania kuungana na Jumuiya ya Kimataifa kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Hifadhi ya Tabaka la Ozoni
![](http://1.bp.blogspot.com/-dd_MNJ3i5ko/VBdQg9AOnXI/AAAAAAAGj2A/yEhOymKzyPA/s1600/unnamed%2B(40).jpg)
Serikali imefanikisha kwa kiasi kikubwa kuondosha matumizi ya kemikali zinazomong’onyoa Tabaka la Ozoni kwa kupitia mikakati ya kitaifa ambayo ni pamoja na Kujenga uwezo wa Taasisi zinazosimamia utekelezeji wa Mkataba wa Montreal, Kuweka takwimu za kemikali hizo,Kutoa elimu kwa wadau na kwa umma wa Watanzania kuhusu umuhimu wa Tabaka la Ozoni na hatari zinazolikabili.
Hayo yameelezwa leo na Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa Raisi Mazingira Mh. Binilith Mahenge...
10 years ago
Mwananchi06 Sep
Tabia inaweza kumjengea mtu uwezo wa kuaminiwa katika jamii anayoishi