MIKUTANO YA BENKI YA DUNIA NA SHIRIKALA FEDHA LA KIMATAIFA YAENDELEA MJINI LIMA, Peru
![](http://1.bp.blogspot.com/-W72SReU0sJw/VhbXESvefkI/AAAAAAAH-AQ/7QTuUHjSrw0/s72-c/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
Dr. Servacius Likwelile Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali akiwa na Magavana wa Benki ya Dunia na Shirika la fedha la kimataifa wa Mashariki na Kusini mwa Afrika kwenye majadiliano ya kukuza uchumi katika mkutano wa MEFMI. Aliyesimama mbele ni Bi. Arunma Oteh Makamu wa Rais na Mweka hazina.
![](http://3.bp.blogspot.com/-TwSGjDRNUNU/VhbXEUzU1ZI/AAAAAAAH-Ac/Mcz-FKOEPZY/s640/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-J7_qMw345u8/Vhbt4pAYQyI/AAAAAAAEAGo/3YC7vgonCmc/s72-c/IMG_4099.jpg)
MIKUTANO YA BENKI YA DUNIA NA SHIRIKALA FEDHA LA KIMATAIFA YAENDELEA MJINI PERU-LIMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-J7_qMw345u8/Vhbt4pAYQyI/AAAAAAAEAGo/3YC7vgonCmc/s640/IMG_4099.jpg)
9 years ago
Dewji Blog09 Oct
Mikutano ya Benki ya Dunia la Shirika la Fedha la Kimataifa yaendelea mjini Peru-Lima
Dr. Servacius Likwelile Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali akiwa na Magavana wa Benki ya Dunia na Shirika la fedha la kimataifa wa Mashariki na Kusini mwa Afrika kwenye majadiliano ya kukuzauchumi katika mkutano wa MEFMI. Aliyesimama mbele ni Bi. Arunma Oteh Makamu wa Rais na Mweka hazina.
Kutoka kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile akiwa katika mkutano wa kamati ya maendeleo akifuatilia kwa makini majadiliano...
9 years ago
Dewji Blog10 Oct
Mikutano ya Benki ya Dunia na Shirika la Fedha la Kimataifa inazidi kupamba moto -Lima
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile wa pili kutoka kulia (kwa nafasi ya uwaziri na Ugavana wa Benki ya Dunia) akiwa kwenye picha ya pamoja ya Mawaziri wa Fedha wa nchi 20 wanachama ( V20 – Vulnerable Twenty) watakao asirika zaidi na mabadiliko ya tabia nchi (climate change).Mawaziri hao wanatoka nchini Afghanistan, Bangladesh, Barbados, Bhutan, Costa Rica, Ethiopia, Ghana, Kenya, Kiribati, Madagascar, Maldives, Nepal, Philippines, Rwanda, Saint...
9 years ago
Dewji Blog07 Oct
Mikutano ya mwaka ya kundi la Benki ya Dunia na Shirika la Fedha la Kimataifa yaanza rasmi nchini Lima
Dr. Servacius Likwelile Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali wa katikati akiwa pamoja na Gavana wa Benki kuu ya Tanzania Prof. Benno Ndulu kushoto na Bi. Natujwa Mwamba Naibu Gavana wa Benki kuu ya Tanzania kulia, wakiwa katika mkutano wa chombo kinachotoa mafunzo ya kusimamia mambo ya uchumi (MEFMI) nchini Peru – Lima. ( Picha na Eva Valerian, Peru – Lima).
Mikutano ya mwaka ya Bodi ya Magavana ya Shirika la fedha la Kimataifa na kundi la Benki ya Dunia kwa mwaka 2015...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-7_t3ee1Lgmo/VhTVaToJ2xI/AAAAAAAEAD4/Rwqe2dOm-Hs/s72-c/IMG_4085.jpg)
MIKUTANO YA MWAKA YA KUNDI LA BENKI YA DUNIA NA SHIRIKA LA FEDHA LA KIMATAIFA YAANZA RASMI NCHINI LIMA LEO TAREHE 5/10/2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-7_t3ee1Lgmo/VhTVaToJ2xI/AAAAAAAEAD4/Rwqe2dOm-Hs/s640/IMG_4085.jpg)
Mikutano ya mwaka ya Bodi ya Magavana ya Shirika la fedha la Kimataifa na kundi la Benki ya Dunia kwa mwaka 2015...
9 years ago
Dewji Blog14 Oct
Magavana wa Afrika wakutana na Mkurugenzi wa Shirika la Fedha la Kimataifa jijini Peru — Lima
Ujumbe wa Tanzania ukiongozwa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dkt. Servacius Likwelile wakisalimiana na Mkurugenzi wa Shirika la Fedha la Kimataifa Bi. Christine Lagarde wakati akiingia kwenye ukumbi wa mkutano.
Magavana wa Afrika wakutana na Mkurugenzi wa Shirika la Fedha la Kimataifa Bi. Christine Lagarde na Rais wa Kundi la Benki ya Dunia Dr. Jim Yong Kim kujadili namna ya kuchochea maendeleo na kuimarisha uchumi barani Afrika.
Katikati ni Mkurugenzi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/--yA55mM9-_c/VHy6RSUKk_I/AAAAAAAG0n8/YXCNCqLWJ18/s72-c/unnamed%2B(20).jpg)
Ufunguzi wa mkutano wa 20 wa Dunia wa Mabadiliko ya Tabia Nchi MJini Lima Nchini Peru
![](http://2.bp.blogspot.com/--yA55mM9-_c/VHy6RSUKk_I/AAAAAAAG0n8/YXCNCqLWJ18/s1600/unnamed%2B(20).jpg)
9 years ago
VijimamboMIKUTANO YA WB NA IMF YAZIDI KUVUTIA WENGI NCHINI PERU-LIMA
Katikati ni Balozi wa Tanzania nchini Marekani Bw. Wilson Masilingi akiwa na Mchumi mwambata Bw. Paul Mwafongo Kushoto pamoja na Afisa Mawasiliano Wizara ya Fedha Bi. Eva Valerian kulia wakiwa kwenye picha ya pamoja katika eneo la mikutano ya kimataifa ya Benki ya Dunia na shirika la fedha la kimataifa nchini Peru- Lima.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4m77cdyoG4E/VDWHsoC4WSI/AAAAAAAGovs/Y3ovsSd_OMs/s72-c/unnamed%2B(28).jpg)
BENKI YA DUNIA NA IMF YAANZA MIKUTANO YA MWAKA MJINI WASHINGTON DC - MAREKANI