Mikutano ya Benki ya Dunia na Shirika la Fedha la Kimataifa inazidi kupamba moto -Lima
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dr. Servacius Likwelile wa pili kutoka kulia (kwa nafasi ya uwaziri na Ugavana wa Benki ya Dunia) akiwa kwenye picha ya pamoja ya Mawaziri wa Fedha wa nchi 20 wanachama ( V20 – Vulnerable Twenty) watakao asirika zaidi na mabadiliko ya tabia nchi (climate change).Mawaziri hao wanatoka nchini Afghanistan, Bangladesh, Barbados, Bhutan, Costa Rica, Ethiopia, Ghana, Kenya, Kiribati, Madagascar, Maldives, Nepal, Philippines, Rwanda, Saint...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog09 Oct
Mikutano ya Benki ya Dunia la Shirika la Fedha la Kimataifa yaendelea mjini Peru-Lima
Dr. Servacius Likwelile Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali akiwa na Magavana wa Benki ya Dunia na Shirika la fedha la kimataifa wa Mashariki na Kusini mwa Afrika kwenye majadiliano ya kukuzauchumi katika mkutano wa MEFMI. Aliyesimama mbele ni Bi. Arunma Oteh Makamu wa Rais na Mweka hazina.
Kutoka kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile akiwa katika mkutano wa kamati ya maendeleo akifuatilia kwa makini majadiliano...
9 years ago
Dewji Blog07 Oct
Mikutano ya mwaka ya kundi la Benki ya Dunia na Shirika la Fedha la Kimataifa yaanza rasmi nchini Lima
Dr. Servacius Likwelile Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali wa katikati akiwa pamoja na Gavana wa Benki kuu ya Tanzania Prof. Benno Ndulu kushoto na Bi. Natujwa Mwamba Naibu Gavana wa Benki kuu ya Tanzania kulia, wakiwa katika mkutano wa chombo kinachotoa mafunzo ya kusimamia mambo ya uchumi (MEFMI) nchini Peru – Lima. ( Picha na Eva Valerian, Peru – Lima).
Mikutano ya mwaka ya Bodi ya Magavana ya Shirika la fedha la Kimataifa na kundi la Benki ya Dunia kwa mwaka 2015...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-7_t3ee1Lgmo/VhTVaToJ2xI/AAAAAAAEAD4/Rwqe2dOm-Hs/s72-c/IMG_4085.jpg)
MIKUTANO YA MWAKA YA KUNDI LA BENKI YA DUNIA NA SHIRIKA LA FEDHA LA KIMATAIFA YAANZA RASMI NCHINI LIMA LEO TAREHE 5/10/2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-7_t3ee1Lgmo/VhTVaToJ2xI/AAAAAAAEAD4/Rwqe2dOm-Hs/s640/IMG_4085.jpg)
Mikutano ya mwaka ya Bodi ya Magavana ya Shirika la fedha la Kimataifa na kundi la Benki ya Dunia kwa mwaka 2015...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-J7_qMw345u8/Vhbt4pAYQyI/AAAAAAAEAGo/3YC7vgonCmc/s72-c/IMG_4099.jpg)
MIKUTANO YA BENKI YA DUNIA NA SHIRIKALA FEDHA LA KIMATAIFA YAENDELEA MJINI PERU-LIMA
![](http://4.bp.blogspot.com/-J7_qMw345u8/Vhbt4pAYQyI/AAAAAAAEAGo/3YC7vgonCmc/s640/IMG_4099.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-W72SReU0sJw/VhbXESvefkI/AAAAAAAH-AQ/7QTuUHjSrw0/s72-c/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
MIKUTANO YA BENKI YA DUNIA NA SHIRIKALA FEDHA LA KIMATAIFA YAENDELEA MJINI LIMA, Peru
![](http://1.bp.blogspot.com/-W72SReU0sJw/VhbXESvefkI/AAAAAAAH-AQ/7QTuUHjSrw0/s640/unnamed%2B%252842%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TwSGjDRNUNU/VhbXEUzU1ZI/AAAAAAAH-Ac/Mcz-FKOEPZY/s640/unnamed%2B%252843%2529.jpg)
9 years ago
Dewji Blog14 Oct
Magavana wa Afrika wakutana na Mkurugenzi wa Shirika la Fedha la Kimataifa jijini Peru — Lima
Ujumbe wa Tanzania ukiongozwa na Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali Dkt. Servacius Likwelile wakisalimiana na Mkurugenzi wa Shirika la Fedha la Kimataifa Bi. Christine Lagarde wakati akiingia kwenye ukumbi wa mkutano.
Magavana wa Afrika wakutana na Mkurugenzi wa Shirika la Fedha la Kimataifa Bi. Christine Lagarde na Rais wa Kundi la Benki ya Dunia Dr. Jim Yong Kim kujadili namna ya kuchochea maendeleo na kuimarisha uchumi barani Afrika.
Katikati ni Mkurugenzi wa...
9 years ago
VijimamboMagavana wa Afrika wakutana na Mkurugenzi wa Shirika la Fedha la Kimataifa Bi. Christine Lagarde na Rais wa Kundi la Benki ya Dunia Dr. Jim Yong Kim
Wajadili namna ya kuchochea maendeleo na kuimarisha uchumi barani Afrika.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4m77cdyoG4E/VDWHsoC4WSI/AAAAAAAGovs/Y3ovsSd_OMs/s72-c/unnamed%2B(28).jpg)
BENKI YA DUNIA NA IMF YAANZA MIKUTANO YA MWAKA MJINI WASHINGTON DC - MAREKANI
10 years ago
Dewji Blog08 Oct
Benki ya Dunia na IMF yaanza mikutano ya mwaka mjini Washington DC — Marekani
Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali Dr. Servacius Likwelile akifurahia jambo na Bw.Herve’ Joly ambaye ni Mkurugenzi msaidizi na Mkuu wa idara ya Afrika sehemu ya Mashariki. Mara baada tu ya kuingia ukumbini.
Dr. Servacius Likwelile Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa serikali akiwa pamoja na ujumbe kutoka Tanzania. Kutoka kushoto ni Kamishna wa Bajeti Bw.John Cheyo akifuatiwa na Bi.Mwanaidi Mtanda ambaye ni mhasibu mkuu wa Serikali na wa mwisho...