AMANDA APUNGUA KILO 11 MWILINI
![](http://api.ning.com:80/files/3r*H3JtUV-efJ6Vw2RzgyA0E1pwC*TE9R6kWYeRxy*rr62r4jSg58wKGoGgZreAdLddkd1KgCKDzSriXw0ZxvpaE3Mb3-0w3/Amandaz.jpg?width=650)
Mwandishi wetu MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amejikondesha makusudi na kufanikiwa kupunguza kilo 11 mwilini. Akizungumza na mwanahabari wetu, Amanda alisema baada ya kuona mwili unazidi kunenepa na ‘ubonge nyanya’ unamnyima uhuru, aliamua kutafuta ‘gym’ mitaa ya nyumbani kwake, Mbezi Beach jijini Dar ambayo ilimsaidia kufanya mazoezi pamoja na vyakula maalum ambavyo vilichangia kwa kiasi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo506 Feb
Baghdad: Kutoka kuwa kibonge mwenye kilo 150 hadi kuwa na kilo 80 (Picha)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-8rWi5tGEW_U/Xunji5Nzk3I/AAAAAAALuMk/7jAuBtkdKno-6ICZlahKoeTZDmev7EyMwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200617-WA0067.jpg)
KILO YA UFUTA YANUNULIWA KWA BEI YA JUU YA SH.2,172 KWA KILO-NDIKILO
![](https://1.bp.blogspot.com/-8rWi5tGEW_U/Xunji5Nzk3I/AAAAAAALuMk/7jAuBtkdKno-6ICZlahKoeTZDmev7EyMwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200617-WA0067.jpg)
Tani zilizokwenda sokoni zimenunuliwa kupitia mfumo wa sanduku (box) kwa wateja watatu waliojitokeza tofauti na matarajio ya wengi kuwa tani nyingi zingenunuliwa kupitia mfumo wa kielektronik wa TMX ambapo amejitokeza mteja mmoja kwa mkoa wa Pwani kwa bei ya sh.1,952 ukilinganisha na minada...
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
Kemikali mwilini mwako II
PUFF, ni neno la kiingereza likimaanisha aidha ‘…kuvuta hewa kwenda ndani ya mwili wako na hata kutoa nje wakitumia sentensi isemayo "…puff out". Nimeliandika hivyo kwani limezoeleka kwa wavutaji wengi...
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Maajabu ya damu mwilini
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Maajabu ya damu mwilini (4)
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Maajabu ya damu mwilini (5)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm83jNrLrpcfVGxMvyEfWKfoTxWazX8KWYHZ5bIpvKlZUBMmlj*ctsM3o3Qdu5SyiTSiztWmv1PUVMxAdVmep93P/KOLESTRO.jpg)
SIRI YA KUONDOA KOLESTRO MWILINI
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
Matunda na faida zake mwilini
AFRIKA imejaaliwa mimea, madini, rutuba na hali ya hewa safi, ikiwa ni urithi tangu enzi na enzi. Pamoja na bara hili kujaa vyakula vyote vinavyohitajika na wanadamu, bado uhai wa...