Kemikali mwilini mwako II
PUFF, ni neno la kiingereza likimaanisha aidha ‘…kuvuta hewa kwenda ndani ya mwili wako na hata kutoa nje wakitumia sentensi isemayo "…puff out". Nimeliandika hivyo kwani limezoeleka kwa wavutaji wengi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Y_x3_l8RBic/U4jo7IigK3I/AAAAAAAFmoI/o__oVPsUdWY/s72-c/image002+(1).jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm-WzkcI8QQYPxyT9hvjzdGNsiWhjjCxYuN29RmsYaW2zkZ*d9eP8WIfVQcBESezcaRfsjzQckzX5PqJKl4fNpuE/MAHABA.jpg)
USIKAE NA UPWEKE MOYONI MWAKO!
HAPA kwenye Love & Life ni mahali sahihi pa kuongeza ufahamu kuhusu mambo ya uhusiano na mapenzi. Naamini kila siku umeendelea kuelimika kupitia hapa. Yes! Leo nitazungumzia juu ya kuweza kuushinda upweke katika moyo wako. Natambua kuna baadhi ya wanawake au wanaume wanakaa kipindi kirefu bila ya kutamkiwa kuwa wanapendwa, kutokana na hali hiyo wanakuwa wapweke na wakati mwingine kufikiria kuwa wao ni wabaya na wasiostahili...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bQfOv76fsJct0cd1FUdOUGuI9WYKyzgr8E1VnRlQMXMxbk8vLHPXp5NujFF*OYRyk*KjcMFrpQo-BDkW5a8zRUbugBjAvgbc/mahaba.jpg)
USIKAE NA UPWEKE MOYONI MWAKO – 2
TUNAENDELEA kujifunza kuhusu mapenzi marafiki zangu. Hakuna kitu kibaya kama kukaa na upweke moyoni. Kamwe usijaribu kufikiri kuwa huna haki ya kuwa na mwenzi wa maisha.
Ni mawazo potofu. Hata kama utakuwa umekaa peke yako kwa kipindi kirefu, amini kuwa kuna mahali pengine ulikuwa unakosea ndiyo maana ikawa hivyo na sasa unatakiwa kujitambua na kuanza mambo kwa upya kabisa.
Kama mtakumbuka, wiki iliyopita tuliishia pale...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/i*tFWQTF2R*vdwMhpXwWofd1j5BbQsOruD4ROmnJK8828HIwUQ0ws--O4xOEjh8mC0SKtxoRgkcG8D-qJSvGw1qH3pCVfvDT/mahaba.jpg?width=650)
UHUSIANO ULIOPO UNA MANUFAA MAISHANI MWAKO?-3
ILI uhusiano wako uwe na maana lazima uangalie mara mbili na ujiridhishe kuwa una manufaa na wewe. Kuna mengi tumezungumza katika matoleo yaliyopita lakini leo tunafikia ukingoni. Marafiki, uhusiano usio na amani, kuharibu fedha kwa anasa hauna maana katika maisha yako. Sanasana unazidi kujiongezea matatizo tu. Kwa mfano, si utaratibu mzuri kutumia fedha nyingi kwa kulipia nyumba za wageni, taksi na mahitaji mengine kwa ajili ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/GO1Rm-PT2ppNF5X5dQDFqulpi4KItHQxmptxoqi6DIgRvDePxftvFLzczi5XY-BsOSyPh3teDg7E2C6IUKdwpSJkJzEg5Dr0/mahaba.jpg?width=650)
UHUSIANO ULIOPO UNA MANUFAA MAISHANI MWAKO?
ILI jambo lolote liwe na maana ni lazima liwe na manufaa. Hakuna mtu anayeweza kufanya jambo ambalo halina faida kwake. Marafiki, kwa bahati mbaya sana, wapo ambao wanakuwa kwenye uhusiano bila ya kuwa na mipango yoyote ya maana. Ndugu zangu, huwezi kukwepa mapenzi katika maisha, lakini jiulize, upo kwa sababu gani na huyo mwenzi wako? Umempenda au unataka kupoteza muda?
Anayefanya mambo bila kutazama faida na hasara zake siyo...
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Maajabu ya damu mwilini
Mwili wa binadamu umesheheni vitu vingi sana, lakini moja ya vitu vinavyoshangaza ni damu. Kiungo hiki ni moja ya ogani ya mwili ya kipekee ambayo ipo katika maumbile ya kimiminika
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Maajabu ya damu mwilini (4)
Kama vilivyo viungo vingine vya mwili, damu nayo ina changamoto ya kukumbana na maradhi mbalimbali. Magonjwa yanayoathiri utendaji wa damu yanaweza kugawanywa katika makundi kama vile ya kurithi, kuambukiza, mabadiliko ya kimwili na saratani.
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Maajabu ya damu mwilini (5)
Baada ya kuona jinsi ugonjwa wa selimundu unavyotokea na namna unavyoweza kurithiwa kutoka kizazi kimoja hadi kingine, katika sehemu hii ya tano utafahamu dalili, namna inavyochunguzwa na suala la matibabu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm83jNrLrpcfVGxMvyEfWKfoTxWazX8KWYHZ5bIpvKlZUBMmlj*ctsM3o3Qdu5SyiTSiztWmv1PUVMxAdVmep93P/KOLESTRO.jpg)
SIRI YA KUONDOA KOLESTRO MWILINI
KWA kuzingatia kwamba wenye lehemu nyingi mwilini (Bad High Cholestol) huwa katika hatari zaidi ya kupatwa na magonjwa ya moyo, ikiwemo kupooza (stroke), suala la kuhakikisha mwili wako unakuwa na kiwango cha mafuta kinachotakiwa ni la lazima. Siri ya kujiepusha na magonjwa hayo iko kwenye chakula, hususan mboga na matunda, ambayo nimeyaorodhesha katika makala haya ya leo, kama ifuatavyo: CHAI YA KIJANI (GREEN TEA)
Ingawa hata...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania