SALAMU ZA EID KUTOKA KWA PAPAAA HASSANI KANIKI MUTU YA KILO YA TRANSHPOO

Nikiikala hapa ku Daresalama ninawaombea wato nyote sikukulu nyema yenye furaha na upendo. Hivi sasa nalikuaga kutayarishaga singo yangu mupya kwa ajiri ya Iddi hii, lakini produza akasemaga ana makazi bwerere ya kina Dayamond na Omi Dimpoz hivyo singo yangu itaitokaga kunako mwezi wa kenda. Haina neno lakini Iddi jema ku wato nyote.
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
SALAMU ZA EID MUBARAK KUTOKA KWA MDAU WA VIJIMAMBO



11 years ago
Michuzi29 Jul
10 years ago
Vijimambo
SALAMU ZA EID MUBARAK KUTOKA HOUSTON, TX

Abou wa Houston. TX mdau wa Vijimambo akiwa na mtoto wake Abou Jr baada ya sala ya Eid. Abou anatoa salamu za Eid kwa waislam wote na Watanzania popote walipo.

Abou akipata ukodak na Jr ndani ya msikiti huko Houston. TX

10 years ago
Bongo506 Feb
Baghdad: Kutoka kuwa kibonge mwenye kilo 150 hadi kuwa na kilo 80 (Picha)
11 years ago
Michuzi28 Jul
Salamu za Eid Toka Kwa ATL Global Solutions (USA)
Pius WaricoyPresidentAllAfrika Travel and Logistics, llc
12925 Kitchen House Way
Germantown MD 20874
Phone: +1-202-386-6122 (Office) +1-240-552-4870 (Mobile)
Email: info@atlglobalsolutions.com
Website: http://atlglobalsolutions.com
Join Us: ...
5 years ago
Michuzi
KILO YA UFUTA YANUNULIWA KWA BEI YA JUU YA SH.2,172 KWA KILO-NDIKILO

Tani zilizokwenda sokoni zimenunuliwa kupitia mfumo wa sanduku (box) kwa wateja watatu waliojitokeza tofauti na matarajio ya wengi kuwa tani nyingi zingenunuliwa kupitia mfumo wa kielektronik wa TMX ambapo amejitokeza mteja mmoja kwa mkoa wa Pwani kwa bei ya sh.1,952 ukilinganisha na minada...
11 years ago
Michuzi.jpg)
salamu kutoka kwa mama bishanga na shosti yake Julie kutoka Liberia
9 years ago
MillardAyo19 Dec
Salamu kutoka kwa Rais Magufuli kwa waathirika wa ajali ya December 18 Iringa..
December 18 2015 nilikusogezea ripoti kutoka Iringa Tanzania, ilihusu ajali ya basi la abiria la Kampuni ya New Force Ltd ambalo lililongana na lori la mbao lilibeba mbao kutoka Njombe kwenda Dar es Salaam… watu 12 walifariki na wengine zaidi ya 20 kujeruhiwa. Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli ametuma salamu […]
The post Salamu kutoka kwa Rais Magufuli kwa waathirika wa ajali ya December 18 Iringa.. appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Michuzi.jpg)
salamu za iddi kutoka kwa wanalibeneke wa Bukoba wadau
.jpg)