Utafiti mashine ya kuchakata katani wakamilika
>Kituo cha Teknolojia ya Mitambo inayojiendesha (TATC), kinachomilikiwa na Shirika la Nyumbu lililo chini ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania kimekamilisha utafiti wake wa kutengeneza mashine ya kuchakata katani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 May
Ujenzi kituo cha kuchakata gesi Madimba wakamilika
MwananchiMtwara. Kituo cha kuchakata gesi cha Madimba mkoani Mtwara kimekamilika kwa asilimia 97 na kinatarajiwa kuzalisha umeme wa megawati 350 baada ya miezi miwili ijayo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-3yYN1qIGCeU/XqU-JL1MguI/AAAAAAALoQE/N4FceQkP5ugVUBTUmY-2oH5XoS-5NPkdgCLcBGAsYHQ/s72-c/5.jpg)
WAZIRI BASHUNGWA AWAAGIZA TEMDO KUTENGENEZA MASHINE ZA KUKAMUA MIWA NA KUCHAKATA ZAO LA MKONGE.
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Innocent Bashungwa ametoa rai kwa Taasisi ya Uhandisi na Usanifu wa Mitambo Tanzania (TEMDO) kuhakikisha wanawasaidia wajasiliamali wadogo na wa kati kubuni mashine za kutengeneza sukari pamoja na kuchakata katani ili kufungua fursa ya ajira na ongezeko la viwanda nchini.
Mhe. Bashungwa aliyasema hayo mkoani Arusha alipokuwa akizindua mashine 14 za kisasa zinazoendeshwa kwa mfumo wa kompyuta yaani CNC zikiwa na thamani ya shilingi milioni 600 zilizotolewa...
Mhe. Bashungwa aliyasema hayo mkoani Arusha alipokuwa akizindua mashine 14 za kisasa zinazoendeshwa kwa mfumo wa kompyuta yaani CNC zikiwa na thamani ya shilingi milioni 600 zilizotolewa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-g-sq9dBjxnk/XpiKhm7VAOI/AAAAAAAAJHU/STSJF5oXiUQLsV8MnVMn4u_8FV7s7RnzACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200416_110636_444.jpg)
UTAFITI WA MASHINE YA KUSAIDIA KUPUMULIA KWA WAGONJWA WA COVID 19 WAENDELEA NA TANALEC
![](https://1.bp.blogspot.com/-g-sq9dBjxnk/XpiKhm7VAOI/AAAAAAAAJHU/STSJF5oXiUQLsV8MnVMn4u_8FV7s7RnzACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200416_110636_444.jpg)
Mwenyekiti wa Mtaa wa Levolosi Seif Abdi akipokea vifaa kutoka kwa Mkuu wa mkoa wa Arusha Mrisho Gambo.
![](https://1.bp.blogspot.com/-yMdgF9XeoCs/XpiJgRCgcQI/AAAAAAAAJGY/LB8DmUIOAhYrk-5R37_zSe3qGEjG1lSWgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200416_111020_267.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-UtBxeNtrtr8/XpiJ-lCQiMI/AAAAAAAAJGo/A7PKUYqpTvcuXM6EoJh1XyZRxu31IudGgCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200416_104320_259.jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 Mar
AUDIO: Jaji Lubuva akanusha vikali taarifa ya gazeti ‘Mkandarasi wa mashine za BVR amegoma kuleta mashine nchini’
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damiani Lubuva akitoa kanusho kuhusiana na Mkandarasi wa BVR kugoma kuleta vifaa, achachamaa kutokana na habari iliyoandikwa na gazeti la Tanzania Daima.
5 years ago
MichuziSERIKALI KUMNYANG’ANYA SHAMBA MUWEKEZAJI WA KATANI TANGA
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amesema Serikali imekusudia kumnyanga’anya shamba la mkonge la Kwashemshi Sisal Estate lililopo kata ya Kwashemshi wilaya ya Korogwe Mkoa wa Tanga kwa kusababisha migogoro kwa wakazi wa eneo hilo na kukiuka masharti ya uendelezaji.
Waziri Lukuvi ameyasema hayo wakati akizungumza na wakazi wa eneo hilo pamoja na wamiliki wa shamba hilo la Kwashemshi Sisal Estate mara baada ya kukagua miundombinu ya shamba hilo ambayo imeonekana...
9 years ago
Mwananchi12 Sep
Ajinyonga kwa katani baada ya kunyang’anywa mke
Mkazi wa kitongoji cha Mihuru, kijiji cha Kitarungu wilayani Serengeti, Mara amejinyonga kwa kutumia kamba ya katani kwa kile kinachodaiwa kuwa ni kukosa ng’ombe wa kulipa mahari.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_9Q8Ah7sNdA/VIwR9sDza5I/AAAAAAAAZSc/eLR2FsyZij8/s72-c/20141212_150512.jpg)
DIWANI MATHIUS WA KATA YA MALANGARINI AFUNGA KAMPENI ZA UCHAGUZI KATANI KWAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-_9Q8Ah7sNdA/VIwR9sDza5I/AAAAAAAAZSc/eLR2FsyZij8/s1600/20141212_150512.jpg)
Diwani Manga amewaasa wananchi wote kujitokeza kwa wingi kuwapigia kura wagombea wa CCM kwani wanasifa stahiki za kuwaongoza.
Aidha amesisitiza kulimnda amani kipindi cote cha uchaguzi na hata matokeo yatakapo tangazwa na kuepuka vitendo vya...
5 years ago
CCM BlogNMB YATOA BILION MOJA KUWEZESHA WAKULIMA WA KATANI KUPATA MATREKTA
5 years ago
CCM BlogWAZIRI MKUU MAJALIWA APOKEA TAARIFA YA KAMATI ALIYOIUNDA YA KUCHUNGUZA ZAO LA KATANI
Nyumba nyingine zilizopendekezwa kurejeshwa Serikalini ni pamoja na nyumba kumi zilizoko ndani ya Jiji la Tanga katika maeneo ya Raskazone, Bombo, Nguvumali na Market street ambazo zilinunuliwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania