Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chadema wahimizwa kushiriki uchaguzi

Patrick ole SosopiMAKAMU Mwenyekiti Taifa kupitia Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha), Patrick ole Sosopi ametoa wito kwa wanachama wa chama hicho, kushiriki kuchagua au kuchaguliwa katika chaguzi, zitakazofanyika nchini, ukiwemo wa Serikali za Mitaa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wenye ulemavu wahimizwa kushiriki uchaguzi

MWENYEKITI wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mlandizi, Abdallah Kido, amewataka watu wenye ulemavu kuwa mstari wa mbele kushiriki kuchagua na kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali katika uchaguzi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wahimizwa kushiriki mkutano mitaji ya ubia

WADAU wa sekta binafsi na maendeleo nchini wametakiwa kuhudhuria mkutano unaohusu mpango wa mitaji ya ubia (Venture Capital and Private Equity Investment Financing Industry in Tanzania) unaotarajiwa kufanyika Alhamisi jijini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CHADEMA wahimizwa kusimamia misingi ya chama

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ukonga, Dar es Salaam, kimewataka viongozi wake kusimamia misingi ya chama badala ya kufanya kazi kwa mazoea. Hayo yalisemwa hivi karibuni na Katibu wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Singpress wahimizwa kuchukua fomu kwa uchaguzi

DSC07082

Mwenyekiti wa Singida Press Club (Singpress) mkoani Singida,( wa tatu kulia) Seif Takaza,akiendesha mkutano wa pamoja kati ya kamati ya utendaji na kamati ndogo ya uchaguzi uliofanyika mjini Singida. DSC07084 Baadhi wa viongozi wa klabu ya waandishi wa habari mkoani Singida (Singpress na kamati ndogo ya uchaguzi, wakiendelea na mkutano wa maandalizi ya uchaguzia mkuu unaotarajiwa kufanyika julai 20 mwaka huu mjini hapa.(Picha na Nathaniel Limu). 

Na Nathaniel Limu, Singida

MWENYEKITI wa klabu...

 

10 years ago

Habarileo

Vyama 22 kushiriki uchaguzi mkuu

VYAMA vya siasa vinavyotakiwa kushiriki kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu baadaye Oktoba 25 mwaka huu ni 22.

 

10 years ago

Habarileo

Wanawake wahimizwa kuwania nafasi uchaguzi serikali za mitaa

WANAWAKE kote nchini wamehimizwa kuacha malumbano na kujitokeza katika kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kwenye uchaguzi ujao wa serikali za mitaa.

 

9 years ago

Vijimambo

BAWACHA KUHAMASISHA WANAWAKE KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU

  Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha), Halima Mdee akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaama juu ya uzinduzi wa kongamano la kuunganisha wanawake ili waweze kushiriki katika uchaguzi mkuu Octoba 25.  Katibu Mkuu wa Bawacha, Grace Tendega akifafanua jambo.
Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha), Halima Mdee akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam juu ya uzinduzi wa kongamano la kuunganisha wanawake ili waweze kushiriki katika...

 

11 years ago

Habarileo

Madiwani wapinga kushiriki uchaguzi na wabunge, rais

Mwenyekiti wa Alat Taifa, Dk Didas MasaburiWAJUMBE wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa (Alat), ambao wengi ni madiwani wamepinga utaratibu wa Uchaguzi Mkuu, kutumiwa na wananchi kuchagua rais, wabunge na madiwani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani