Chadema wahimizwa kushiriki uchaguzi
MAKAMU Mwenyekiti Taifa kupitia Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha), Patrick ole Sosopi ametoa wito kwa wanachama wa chama hicho, kushiriki kuchagua au kuchaguliwa katika chaguzi, zitakazofanyika nchini, ukiwemo wa Serikali za Mitaa.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 Mar
Wenye ulemavu wahimizwa kushiriki uchaguzi
MWENYEKITI wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Mlandizi, Abdallah Kido, amewataka watu wenye ulemavu kuwa mstari wa mbele kushiriki kuchagua na kugombea nafasi za uongozi katika ngazi mbalimbali katika uchaguzi...
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
Wahimizwa kushiriki mkutano mitaji ya ubia
WADAU wa sekta binafsi na maendeleo nchini wametakiwa kuhudhuria mkutano unaohusu mpango wa mitaji ya ubia (Venture Capital and Private Equity Investment Financing Industry in Tanzania) unaotarajiwa kufanyika Alhamisi jijini...
10 years ago
Michuzi16 Feb
11 years ago
Tanzania Daima12 Jan
CHADEMA wahimizwa kusimamia misingi ya chama
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ukonga, Dar es Salaam, kimewataka viongozi wake kusimamia misingi ya chama badala ya kufanya kazi kwa mazoea. Hayo yalisemwa hivi karibuni na Katibu wa...
10 years ago
Dewji Blog13 Jul
Singpress wahimizwa kuchukua fomu kwa uchaguzi
![DSC07084](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC07084.jpg)
Na Nathaniel Limu, Singida
MWENYEKITI wa klabu...
10 years ago
Habarileo09 Aug
Vyama 22 kushiriki uchaguzi mkuu
VYAMA vya siasa vinavyotakiwa kushiriki kwenye Uchaguzi Mkuu mwaka huu baadaye Oktoba 25 mwaka huu ni 22.
10 years ago
Habarileo04 Oct
Wanawake wahimizwa kuwania nafasi uchaguzi serikali za mitaa
WANAWAKE kote nchini wamehimizwa kuacha malumbano na kujitokeza katika kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kwenye uchaguzi ujao wa serikali za mitaa.
9 years ago
VijimamboBAWACHA KUHAMASISHA WANAWAKE KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU
11 years ago
Habarileo16 May
Madiwani wapinga kushiriki uchaguzi na wabunge, rais
WAJUMBE wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa (Alat), ambao wengi ni madiwani wamepinga utaratibu wa Uchaguzi Mkuu, kutumiwa na wananchi kuchagua rais, wabunge na madiwani.