Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Singpress wahimizwa kuchukua fomu kwa uchaguzi

DSC07082

Mwenyekiti wa Singida Press Club (Singpress) mkoani Singida,( wa tatu kulia) Seif Takaza,akiendesha mkutano wa pamoja kati ya kamati ya utendaji na kamati ndogo ya uchaguzi uliofanyika mjini Singida. DSC07084 Baadhi wa viongozi wa klabu ya waandishi wa habari mkoani Singida (Singpress na kamati ndogo ya uchaguzi, wakiendelea na mkutano wa maandalizi ya uchaguzia mkuu unaotarajiwa kufanyika julai 20 mwaka huu mjini hapa.(Picha na Nathaniel Limu). 

Na Nathaniel Limu, Singida

MWENYEKITI wa klabu...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Wanahabari Mkoa wa Singida (Singpress) wahimizwa kujiunga na mfuko wa afya wa NHIF!

IMG_0623

Kaimu meneja wa NHIF mkoa wa Singida,Adamu Salum,akiongea na waandishi wa habari kwenye banda la mfuko huo lililopo viwanja vya peoples klabu kwenye maadhimisho ya siku ya UKIMWI duniani ambayo yalikuwa yafanyike mkoani hapa kitaifa.Imedaiwa maadhimisho hayo yalifutwa na orais John Pombe Magufuli.Picha zote na Nathaniel Limu. Na Nathaniel Limu [SINGIDA] Wanachama wa klabu ya waandishi wa habari (Singpress) mkoa wa Singida, wamehimizwa kujiunga na mfuko wa Taifa wa bima ya afya (NHIF),...

 

10 years ago

Michuzi

MGOMBEA MTEULE WA URAIS CCM,DKT MAGUFULI KUCHUKUA FOMU TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KESHO

 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akifafanua jambo kwa umakini mbele ya waandishi wa habari (hawapo pichani) kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam.   Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kwenye Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. 
 Wanahabari wakiwa kwenye mkutano huo.
 MGOMBEA...

 

10 years ago

Vijimambo

VIJANA CCM WAJITOKEZA KWA WINGI KUCHUKUA FOMU ZA UBUNGE JIMBO LA MOSHI MJINI

Mtia nia wa nafasi ya Ubunge katika jimbo la Moshi mjini,Priscus Tarimo,akikabidhiwa fomu ya nafasi hiyo na katibu wa CCM manispaa ya Moshi,Loth Ole Nesele katika ofis za chama hicho za Wilaya ya Moshi mjini.Mtia nia ya kugombea Ubunge jimbo la Moshi mjini,Priscus Tarimo,akitoa maelezo yake kwa Katibu Msaidizi wa CCM wilaya ya Moshi mjini Donatha Mushi alipofika kwa ajili ya zoezi la uchukuaji wa fomu.
Priscus Tarimo akizungumza na na wanahabari( hawako pichani) muda mfupi baada ya kumaliza...

 

9 years ago

Vijimambo

WAGOMBEA UWAKILISHI NA UDIWANI KWA TIKETI YA CHAMA CHA CUF WAFIKA OFISI ZA ZEC KUCHUKUA FOMU

Baadhi ya wagombea wa Uwakilishi kwa Cuf wa wilaya ya Mjini, Unguja wakiwa katika ofisi wa tume ya Tume Uchaguzi Zanzibar kuchukua fomu kuomba uteuzi.. Mmoja wa wagombea Uwakilishi kwa tiketi ya CUF akitia saini kitabu cha kupokea fomu kwa ajili ya uchaguzi wa Oktoba 2015  Msimamizi wa uchaguzi wa Wilaya ya Mjini Bi Mwanapili Khamis Moh’d akimkabidhi Fomu ya Uteuzi Mgombea wa Chama cha wananchi CUF .   Msimamizi wa uchaguzi wa Wilaya ya Mjini Bi Mwanapili Khamis Moh’d akimkabidhi Fomu ya...

 

11 years ago

Habarileo

Wahimizwa kuchukua vitambulisho vya Mzanzibari

WAZANZIBARI wametakiwa kujitokeza kwa wingi kuchukua vitambulisho vya Mzanzibari mkazi ambavyo ni haki ya kila mwananchi mwenye umri wa kuanzia miaka 18.

 

11 years ago

GPL

WALIOFELI WAHIMIZWA KUCHUKUWA FOMU

Muonekano wa sehemu ya jengo la chuo cha Mlimani School of Professional Studies. Stori: mwandishi wetu PROGAMU iliyoaanzishwa na Chuo cha Mlimani School of Professional Studies kwa kuwapa mafunzo wanafunzi waliofeli kidato cha nne, inawahimiza wanafunzi kuchukua fomu kwa wingi ili kujiunga na chuo. Mkuu wa Chuo hicho, Hassan Ngoma aliyesimama akifafanua jambo. Mkuu wa Chuo hicho, Hassan Ngoma amesema kama… ...

 

9 years ago

Michuzi

WAANZA KUCHUKUA FOMU ZA USPIKA

Hawa ndio waliojitokeza mpaka sasa kuchukua fomu Makao Makuu ya CCM Ofisi Ndogo Lumumba ;Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta, aliyekuwa mbunge wa Karagwe,Gosbert Blandes,Leonce Mulenda, George Nangale na Profesa Costa Mahalu, Muzamil Kalokola, Banda Sonoko,Simon Rubugu.  Aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi Mhe. Samuel Sitta akisaini kitabu cha wageni kabla ya kuchukua fomu za kuwania uspika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mbele ya Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani