WALIOFELI WAHIMIZWA KUCHUKUWA FOMU
![](http://api.ning.com:80/files/k1LucJt*zXb164O3Vjkeno5w7qO7-5Ojn7kuzJAYdxpSsgBnJVz1f65XRB3J9oaQ*3QyNbVBXaqQgg1nejYKVPx6PPNGnXRU/9.jpg?width=650)
Muonekano wa sehemu ya jengo la chuo cha Mlimani School of Professional Studies. Stori: mwandishi wetu PROGAMU iliyoaanzishwa na Chuo cha Mlimani School of Professional Studies kwa kuwapa mafunzo wanafunzi waliofeli kidato cha nne, inawahimiza wanafunzi kuchukua fomu kwa wingi ili kujiunga na chuo. Mkuu wa Chuo hicho, Hassan Ngoma aliyesimama akifafanua jambo. Mkuu wa Chuo hicho, Hassan Ngoma amesema kama… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog13 Jul
Singpress wahimizwa kuchukua fomu kwa uchaguzi
![DSC07084](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC07084.jpg)
Na Nathaniel Limu, Singida
MWENYEKITI wa klabu...
11 years ago
Habarileo25 Jan
Waliofeli kidato 2 kurudia darasa
IMEELEZWA kuwa, licha ya matokeo ya kidato cha pili kutolewa `kimyakimya’ kupitia ofisi za Elimu za Kanda na kubandikwa shuleni, hatua hiyo haimaanishi kuwa waliofeli wamenusurika kutorudia darasa.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5Yhu3nce6QCzqv4DcUSzPOStodU6DC1dFRzeqx2NfHzH0geFPaOInwp2*S2MIexm9c4A-ETNMuSLWGFmOFNDn0j7/Liberianstudents010.jpg?width=650)
MAFUNZO YA WALIOFELI KUANZA MEI 26
10 years ago
Mwananchi27 Oct
JWTZ haihitaji wanafunzi waliofeli mitihani
9 years ago
Mzalendo Zanzibar23 Aug
Dr Shein Kuchukuwa Form ya kugombea urais hapo kesho
Rais wa Zanzibar ambaye pia ni mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi Dr Ali Mohammed Shein kesho anatarajiwa kuchukuwa rasmi form ya kugombea nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu. Dr Shein amepangiwa saa […]
The post Dr Shein Kuchukuwa Form ya kugombea urais hapo kesho appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Serikali yawabeba waliofeli kidato cha pili
5 years ago
MichuziWaziri wa Afya Zanzibar awataka wananchi kuchukuwa Tahadhari zaidi kukabiliana na Maradhi ya Corona
Na Ramadhani Ali – Maelezo
Wananchi wametakiwa kuendelea kuchukua tahadhari zaidi ya kinga katika kukabiliana na maradhi ya Corona ikiwemo kupunguza mikusanyiko na safari zisizokuwa za lazima.
Waziri Afya Hamad Rashid Mohamed alieleza hayo alipokuwa akitoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusu hatua mbali mbali zinazochukuliwa na Serikali kukabiliana na maradhi hayo.
Alisema ni vyema wananchi ambao hawana ulazima wakutoka, kubaki majumbani mwao na kujenga tabia ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-QXq3WFikVG8/XsuWWq-91OI/AAAAAAALreY/wdKAldO08JM14SCviwQ9X_cYoBeukG77ACLcBGAsYHQ/s72-c/b2bd9d11-8ff1-4e6d-a55d-3ce162454f01.jpg)
Serikali imewataka madereva wa malori nchini kuchukuwa tahadhari dhidi ya Virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID-19)
Na WAMJW – Dar es Salaam
Serikali imewataka madereva wa malori nchini kuchukuwa tahadhari dhidi ya Virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID-19) hii ikiwa ni pamoja na kuhakikisha wanakula vyakula ambavyo vitalinda kinga zao za mwili.
Rai hiyo imetolewa hivi karibuni na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto (WAMJW) Ummy Mwalimu wakati akizungumza na baadhi ya madereva wa kampuni mbalimbali za malori zinazosafirisha mizigo nje ya nchi waliofika katika maabara...