Serikali yawabeba waliofeli kidato cha pili
Wakati Watanzania wakisubiri matokeo ya kidato cha pili mwaka 2013, imebaini kuwa Serikali imetoa agizo kwamba wanafunzi wote waliofeli mtihani huo kuendelea na masomo ya kidato cha tatu, huku wakisoma mafunzo ya kurudia mtihani wa kidato cha pili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Feb
‘Fomula’ mpya yawabeba maelfu Kidato cha Nne
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Serikali kuwabeba wanaofeli kidato cha pili, la nne
11 years ago
Habarileo25 Jan
Waliofeli kidato 2 kurudia darasa
IMEELEZWA kuwa, licha ya matokeo ya kidato cha pili kutolewa `kimyakimya’ kupitia ofisi za Elimu za Kanda na kubandikwa shuleni, hatua hiyo haimaanishi kuwa waliofeli wamenusurika kutorudia darasa.
10 years ago
GPL10 years ago
Mwananchi18 Jan
Sayansi ni ‘shida’ kidato cha pili
9 years ago
Mtanzania17 Nov
Wanafunzi kidato cha pili waanza mitihani
Na Jonas Mushi, Dar es Salaam
BARAZA lA Mitihani Tanzania (NECTA) limesema wanafunzi 397, 250 wa kidato cha pili wameanza kufanya Mitihani ya Upimaji wa Kitaifa wa Kidato cha Pili (FTNA) ikijumuisha wavulana 197,452 sawa na asilimia 49.70 na wasichana 199,798 sawa na asilimia 50.30.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk. Charles Msonde, alisema mitihani hiyo ilianza jana katika shule za sekondari 4,764 za Tanzania bara na itamalizika...
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Semzaba: Niliandika Ngoswe nikiwa kidato cha pili
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Mitihani kidato cha pili yaanza leo nchini
11 years ago
Mwananchi30 Dec
Kidato cha pili Pwani wakithiri kwa utoro