Sayansi ni ‘shida’ kidato cha pili
Juhudi za Serikali kuinua ufaulu wa masomo ya sayansi katika elimu ya sekondari sasa zitakuwa zimepata picha halisi ya hali ilivyo baada ya matokeo ya mtihani wa kidato cha pili kuonyesha ufaulu mdogo katika masomo hayo na mwanafunzi mmoja tu akipata alama zote katika somo la bailojia.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL9 years ago
Mtanzania17 Nov
Wanafunzi kidato cha pili waanza mitihani
Na Jonas Mushi, Dar es Salaam
BARAZA lA Mitihani Tanzania (NECTA) limesema wanafunzi 397, 250 wa kidato cha pili wameanza kufanya Mitihani ya Upimaji wa Kitaifa wa Kidato cha Pili (FTNA) ikijumuisha wavulana 197,452 sawa na asilimia 49.70 na wasichana 199,798 sawa na asilimia 50.30.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk. Charles Msonde, alisema mitihani hiyo ilianza jana katika shule za sekondari 4,764 za Tanzania bara na itamalizika...
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Serikali yawabeba waliofeli kidato cha pili
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Mitihani kidato cha pili yaanza leo nchini
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Semzaba: Niliandika Ngoswe nikiwa kidato cha pili
9 years ago
Mwananchi17 Nov
Serikali kuwabeba wanaofeli kidato cha pili, la nne
11 years ago
Mwananchi30 Dec
Kidato cha pili Pwani wakithiri kwa utoro
10 years ago
Mwananchi22 Oct
Mwanafunzi kidato cha pili akimbia nyumbani akikataa kuolewa
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-cPynU6bLG6U/U-5P4rRkFOI/AAAAAAAAFEw/5OTCgUXp7E4/s72-c/MJAMZITO.jpg)
MWANAFUNZI WA KIDATO CHA PILI AMTUNDIKA MIMBA MWALIMU WAKE
![](http://2.bp.blogspot.com/-cPynU6bLG6U/U-5P4rRkFOI/AAAAAAAAFEw/5OTCgUXp7E4/s640/MJAMZITO.jpg)
Hii ni moja ya picha mbalimbali za wajawazito kama inavyonekani siyo ya mwalimu muhusika kwa tukio hilo.
Na Mohab MatukioWAKATI ikiwa imezoeleka kuwa baadhi ya walimu wa kiume huwarubuni wanafunzi wao wa kike na hata kuwaharibia kabisa ndoto zao za kielimu kutokana na kuwapa ujauzito, hali imekuwa tofauti mkoani Rukwa ambako mwanafunzi wa Kidato cha Pili anadaiwa kumzalisha mwalimu wake.
Mwanafunzi huyo aliyemzalisha mwalimu wake ana umri wa miaka 17, wakati mwalimu huyo anayefundisha katika...