Kidato cha pili Pwani wakithiri kwa utoro
>Mkoa wa Pwani unakabiliwa na tatizo kubwa la wanafunzi wa kidato cha pili wanaotakiwa kukariri darasa kukimbia shule na baadhi ya wanaopangiwa kidato cha kwanza nao kutoripoti kabisa shuleni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Oct
Utoro wakithiri shule za Dodoma
10 years ago
Vijimambo![](http://lh3.googleusercontent.com/-_BozZ42A0o4/VTeOCGtPhqI/AAAAAAAAsYo/7L50h9WPZz8/s72-c/1.jpg)
Walimu Watatu Wamchapa Mwanafunzi wa Kidato cha Pili viboko Hadi Kufariki kwa Kufeli Mtihani wa Kiswahili huko KITETO
![](http://lh3.googleusercontent.com/-_BozZ42A0o4/VTeOCGtPhqI/AAAAAAAAsYo/7L50h9WPZz8/s640/1.jpg)
10 years ago
Mwananchi18 Jan
Sayansi ni ‘shida’ kidato cha pili
10 years ago
GPL9 years ago
Mtanzania17 Nov
Wanafunzi kidato cha pili waanza mitihani
Na Jonas Mushi, Dar es Salaam
BARAZA lA Mitihani Tanzania (NECTA) limesema wanafunzi 397, 250 wa kidato cha pili wameanza kufanya Mitihani ya Upimaji wa Kitaifa wa Kidato cha Pili (FTNA) ikijumuisha wavulana 197,452 sawa na asilimia 49.70 na wasichana 199,798 sawa na asilimia 50.30.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mtendaji wa NECTA, Dk. Charles Msonde, alisema mitihani hiyo ilianza jana katika shule za sekondari 4,764 za Tanzania bara na itamalizika...
11 years ago
Mwananchi19 Jan
Serikali yawabeba waliofeli kidato cha pili
10 years ago
Mwananchi24 Nov
Mitihani kidato cha pili yaanza leo nchini
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Semzaba: Niliandika Ngoswe nikiwa kidato cha pili