Ni mwaka wa mabadiliko kwa watu wenye ulemavu
BAADA ya kumalizika mwaka 2013, baadhi ya watu wenye ulemavu wameupokea mwaka 2014 kwa matarajio makubwa, hususan katika kupigania haki zao. Wanaamini kuwa kama kuna eneo linalopaswa kusimamia haki zao,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6NUTDXOWsS4/XnOUOMoTFmI/AAAAAAALkek/vDBppIQbJTMQaXyyu2qXENuiYmi5aVcqwCLcBGAsYHQ/s72-c/99b625c4-e539-4c8c-a622-78ad9c5d861f.jpg)
SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU TANZANIA WAIOMBA SERIKALI KUSAIDIA WATU WENYE UZIWI KUPATA TAARIFA SAHIHI KUHUSU CORONA
Na Said Mwishehe,Michuzi Globu ya jamii
UONGOZI wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA )lumesema kwamba uwepo wa tishio la virusi vya Corona (COVID-19) nchini umesababisha hofu kubwa kwa watu wenye uziwi kwani imekuwa ngumu kwao kupata maelekezo na miongozo ya Serikali pamoja na Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jisinsia, Wazee na Watoto.
Umesema kuwa matangazo mengi ambayo yametolewa na Wizara ya Afya yanashindwa kuwafikia watu wenye uziwi kwani hakuna watalaam wa...
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
Mafunzo juu ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa kwa watu wenye Ulemavu-Ifakara Kilombero
Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Wasioona (TLB) Mwalimu Greyson Mlanga(aliyesimama) akitoa somo juu ya Warsha ya Siku mbili ya Mkatabawa Umoja wa Mataifa Kwa Watu Wenye Ulemavu Mjini Ifakara hivi karibuni. Kushoto ni Mwenyekiti wa Chama Hicho Wilaya ya Kilombero Maria Faya na Kulia ni Mwalimu Janet Kalalu, Mratibu wa Chama Wilaya.
Viongozi wa TLB Taifa Wakiungana na Viongozi wa TLB Wilaya ya Kilombero katika kuimba Wimbo wa Haki za Binadamu katika Mafunzo ya Siku Mbili yaliyowakutanisha...
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-6OSYnpeUDQ8/VidvtlT56FI/AAAAAAACCi4/FJH8jRNErtI/s72-c/90.jpg)
KUELEKEA UCHAGUZI MKUU ZANZIBAR, MAFUNZO YATOLEWA KWA WATU WENYE ULEMAVU PEMBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-6OSYnpeUDQ8/VidvtlT56FI/AAAAAAACCi4/FJH8jRNErtI/s640/90.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-W8jDJxdhfE4/VidvwvO3LeI/AAAAAAACCjA/brpVSqeDk1k/s640/03.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lW3sx7lzaak/XruQ2DdMw8I/AAAAAAALp_k/5UTSQb5ZKOklc1W9A2Ri0_1Y3nAIY15cgCLcBGAsYHQ/s72-c/Pc-4-768x677.jpg)
IKUPA ATOA MSAADA WA VIFAA KWA AJILI YA KUKABILIANA NA UGONJWA WA CORONA KWA SHIRIKISHO LA VYAMA VYA WATU WENYE ULEMAVU (SHIVYAWATA)
![](https://1.bp.blogspot.com/-lW3sx7lzaak/XruQ2DdMw8I/AAAAAAALp_k/5UTSQb5ZKOklc1W9A2Ri0_1Y3nAIY15cgCLcBGAsYHQ/s640/Pc-4-768x677.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/Pc-5.jpg)
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Watu Wenye Ulemavu Mhe. Stella Ikupa (katikati) akimwangalia Mwenyekiti wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu (SHIVYAWATA)...
11 years ago
GPL![](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/04/SAM_0523.jpg)
MAFUNZO JUU YA MKATABA WA UMOJA WA MATAIFA KWA WATU WENYE ULEMAVU IFAKARA KILOMBERO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7Sc1M_OrXJk/VPCERP_ctEI/AAAAAAABUV8/URz6CZEsZnc/s72-c/3.jpg)
UTT YATOA SEMINA YA UWEKEZAJI WA PAMOJA KWENYE MASOKO YA FEDHA KWA WATU WENYE ULEMAVU WA KUSIKIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-7Sc1M_OrXJk/VPCERP_ctEI/AAAAAAABUV8/URz6CZEsZnc/s1600/3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VE0IQ-XLvdA/Xm28yDNgAOI/AAAAAAALjr0/YBMXt475_UETE10WBkfQQKd0nmFUsO-3QCLcBGAsYHQ/s72-c/34905567-fbab-41c0-82a3-fbe9250fb020.jpg)
MBUNGE MAVUNDE ASAIDIA UPATIKANAJI WA VIFAA TIBA 100 KWA WATU WENYE ULEMAVU JIJINI DODOMA
KATIKA kuhakikisha anatekeleza azma ya Rais Magufuli ya kuwahudumia wananchi wanyonge, Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini, Anthony Mavunde amezindua rasmi kambi ya upimaji wa tiba saidizi vya miguu ya bandia kwa watu wenye ulemavu.
Uzinduzi huo umefanyika katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma na huduma hiyo itakua ikitolewa kwa wananchi wote kutoka sehemu mbalimbali za Mkoa wa Dodoma na maeneo jirani.
Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Mhe Mavunde amesema vifaa...
11 years ago
Tanzania Daima09 Jan
Wenye ulemavu bado wanahitaji mabadiliko rasimu ya Katiba mpya
HIVI karibuni Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, aliwakabidhi rasimu ya pili ya Katiba mpya Rais Jakaya Kikwete na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,...
11 years ago
Dewji Blog12 May
Uwepo wa wanawake zaidi, vijana na watu wenye ulemavu ni vema kwa Bunge na Tanzania, asema Hellen Clark wa UNDP
Kiongozi wa UNDP, na Waziri Mkuu wa zamani wa New Zealand, Helen Clark(pichani), amewapongeza viongozi wa vyama vya siasa Tanzania kwa dhamira yao ya kuwasimamisha wanawake zaidi, vijana na watu wenye ulemavu kama wagombea kwa ajili ya uchaguzi mkuu mwaka 2015. Alitoa pongezi hizo wakati wa mkutano wake na Spika wa Bunge, Mhe. Anne Makinda, na wabunge wanawake katika mji mkuu wa kisiasa wa Dodoma leo.
Kiongozi huyo wa UNDP amekutana na wabunge wanawake wa Tanzania huko Dodoma, akiwemo...