Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Balozi seif ali iddi azindua maskani kijijini kinazini, Mtambwe Kusini

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Balozi Seif Ali Iddi alisema kwamba Chama hicho kiko makini katika kumuengua Mwanachama wake ye yote anayetumia hila katika mchakato wa kutaka achaguliwe kuwa Kiongozi kupitia chama hicho. Kauli hiyo aliitoa wakati akizungumza na Vijana walioamua kutoka chama cha Upinzani na kujiunga na CCM ambapo wameanzisha Maskani iliyopewa jina la Balozi Seif Maskani hapo katika Kijiji cha Kinazini Mtambwe Kusini. Balozi Seif ambae alipata wasaa wa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF AWAPOKEA VIJANA WALIOJIUNGA NA CCM NA KUANZISHA MASKANI KIJIJI CHA KINAZINI MTAMBWE KUSINI

Kijana Ali Abdulla Bakari wa Balozi Seif Maskani ya kijiji cha Kinazini Mtambwe Kusini akieleza changamoto zinazowakabili wakati Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif alipofanya ziara ya kuwatembelea baada ya uamuzi wao wa kujiunga na CCM na kuachana na upinzani. Balozi Seif akizungumza na Wana CCM na wanamaskani wa Balozi Seif wa Kinazini Mtambwe na kuahidi kwamba CCM inasaidia ujenzi wa Jengo la Maskani yao waliyoianzisha.
Balozi Seif akimkabidhi mchango wa shilingi Milioni...

 

9 years ago

Vijimambo

BALOZI SEIF AZINDUA MASKANI YA VIJANA WALOHAMIA CCM KUTOKA CUF HUKO MITAMBUUNI, MTAMBWE

MJUMBE wa kamati kuu ya CCM Taifa Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, akisalimiana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa kaskazini Pemba, mara baada ya kuwasili katika kijiji cha Mitambuuni Mtambwe Wilaya ya Wete Mkoa wa kaskazini Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.) MJUMBE wa kamati kuu ya CCM Taifa Mhe:Balozi Sief Ali Iddi, akisikiliza maelezo ya mwenyekiti wa Maskani ya Vumilia Mitambuuni Mtambwe waliohama CUF na kujiunga na CCM.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MJUMBE wa kamati kuu ya CCM...

 

9 years ago

Michuzi

balozi Seif Ali Iddi atembelea msitu wa Muyuni Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja.

 Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo na Maliasili Dr. Bakar Ased akimueleza Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar umuhimu wa eneo ya hifadhi ya Misitu la Muyuni kwa ustawi  bora ya maisha ya wananchi wa ukanda wa Kusini Unguja.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi kati kati akitembelea msitu wa hifadhi Muyuni kuangalia maeneo ambayo baadhi ya watu wameamua kulima kilimo chengine mchanganyiko. Kushoto ya Balozi Seif ni Waziri wa Kilimo na Maliasili Mh. Sira Ubwa Mwamboya na...

 

9 years ago

Michuzi

BALOZI SEIF ALI IDDI AZINDUA KAMPENI JIMBO LA UZINI, ZANZIBAR

Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa ya Kampeni ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi amewatahadharisha Wana CCM na Wananchi kuwa na tahadhari na baadhi ya watu walioamua kupita mitaani kununua Vitambulisho vya kupigia kura. Alisema mpango huo umelenga kupunguza asilimia kubwa ya ushindi wa Chama cha Mapinduzi kwenye uchaguzi Mkuu ujao wa mwezi Oktoba ambao uko wazi kutokana na utekelezaji makini wa Sera na Ilani yake ya mwaka 2010 – 2015 iliyoleta maendeleo makubwa ...

 

9 years ago

Michuzi

BALOZI SEIF ALI IDDI AZINDUA MRADI WA MAJI NA SALAMA KASKAZINI UNGUJA

 Balozi Seif Ali Iddi akizindua Mradi wa Maji safi na salama katika kisiwa cha Tumbatu ikiwa ni shamra shamra za maadhimisho ya sherehe za kutimia miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar ya mwaka 1964. Balozi Seif akimtwisha ndoo ya Maji Bibi Miza Ali Haji mara baada ya kuuzindua mradi wa maji safi na salama katika kisiwa cha Tumbatu kiliopo Mkoa wa Kaskazini Unguja.Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akizungumza na Wananchi wa Kisiwa cha Tumbatu waliohudhuria uzinduzi wa maji safi na...

 

11 years ago

Michuzi

Balozi Seif Ali Iddi atembelea Kisiwa cha panza, Mkoa wa Kusini Pemba.

Na Othman Khamis Ame, OMPR  Mjumbe wa Kamati Kuu ya Hakmashauri Kuu ya Taifa ya  CCM Balozi Seif Ali Iddi alisema Chama cha Mapinduzi kina wajibu wa kuhakikisha kinashinda kwenye uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2015 ili kiendelee kusimamia uhimili wa amani ya Taifa iliyopo hivi sasa. Balozi Seif alisema hayo wakati akizungumza na Viongozi pamojana Wana CCM wa Kisiwa Panza Wilaya ya Makoani Pemba mara baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa Tawi la Chama cha Mapinduzi la Mtondooni Kisiwani...

 

11 years ago

Michuzi

Balozi Seif Ali Iddi azindua rasmi kitabu cha Historia ya Vyombo vya Habari Zanzibar

 Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akizindua rasmi kitabu cha Historia ya Vyombo vya Habari Zanzibar hapo katika ukumbi wa Hoteli ya Zanzibar Bweach Resort Mbweni nje kidogo ya mji wa Zanzibar. Anayemsaidia kufungua ni Katibu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania { MCT } Kajubi Mukanjanga na kulia ya balozi ni Mkuu wa Mkoa Mjini Maghribi Mh. Abdulla Mwinyi.  Balozi Seif akinyanyua kopi ya vitabu viwili vinavyoelezea Historia ya Vyombo vya Hbari Tanzania kulia yake ...

 

10 years ago

Michuzi

Balozi Seif Ali Iddi akutana na Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani Dr. Robert Shumake

Kampuni ya Ms Shimoja  yenye Makao Makuu yake katika Jimbo la Michigan  Nchini Marekani iko mbioni kutaka kuanzisha kituo cha Matangazo ya Televisheni Mjini Dar es salaam Nchini Tanzania kitakachotoa huduma ndani ya Ukanda wa Afrika Mashariki.
Mkurugenzi wa Kampuni hiyo ambae pia ni Balozi wa Heshima wa Tanzania Nchini Marekani Dr. Robert Shumake alieleza hayo wakati akizungumza na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Ofisini kwake katika Jengo la Msekwa ndani ya viunga vya...

 

11 years ago

Michuzi

Balozi seif ali Iddi atembelea Kijiji cha Kilombero

Meneja Mkuu wa Shirika la Umeme Zanzibar { ZECO } Nd. Hassan Ali Hassan alisema shirika lake linakusudia kutumia rasilmali ilizonazo katika kuhakikisha huduma za umeme zinapatikana kwenye kisima cha maji cha Kijiji cha Kilombero ili kuwaondoshea usumbufu wa huduma za maji safi  kwa Wananchi wa Kijiji hicho. Alisema kazi hiyo itakayoanza wakati wowote kuanzia sasa inatarajiwa kukamilika sambamba na ulazwaji wa mabomba ya maji utakaofanya na wahandisi wa Mamlaka ya Maji Zanzibar { ZAWA }...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani