Karafuu ya Zanzibar yazidi kupata umaarufu
MSHAURI wa Shirika la Biashara la Taifa Zanzibar, Sadruddin Govinji, amesema karafuu ya Zanzibar imeendelea kupata umaarufu katika soko la Dunia kutokana na sifa zake za kipekee zenye ubora. Akiwasilisha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/JB.jpg)
JB PAMOJA NA KUPATA FEDHA, UMAARUFU WAMTESA
MAISHA ni safari ndefu iliyojaa kila aina ya hali. Imejaa milima na miinuko mikali, mabonde, miiba, dhoruba na tufani kali. Hakika ni watu waliodhamiria tu kutafuta mafanikio ndiyo huweza kuhimili vishindo na misukosuko ya safari ya kutafuta mafanikio maishani. Kila aliyefanikiwa kwa njia halali, nyuma amepitia mapito mengi magumu na makali mno. Upo msemo ambao binafsi kila nikiukumbuka, morari na nguvu ya kutafuta mafanikio...
9 years ago
VijimamboRais wa Zanzibar Dk Shein Azindua Mfuko wa Maendeleo ya Zao la Karafuu Zanzibar
10 years ago
Habarileo31 Dec
Zanzibar kuotesha miche ya karafuu milioni 1
JUMLA ya mikarafuu milioni 1 inatazamiwa kuoteshwa kwa mwaka katika vitalu vya Serikali vya Idara ya Misitu na mali zisizorejesheka na kusambazwa bure kwa wakulima wa lengo la kuimarisha zao hilo kuendelea kuwa tegemeo la taifa.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-I9aZ0DLOn2U/U5BDnDsTA9I/AAAAAAAFnzk/jEpofW6FBNw/s72-c/unnamed+(10).jpg)
ZSTC yastawisha upya zao la karafuu, Zanzibar.
![](http://2.bp.blogspot.com/-I9aZ0DLOn2U/U5BDnDsTA9I/AAAAAAAFnzk/jEpofW6FBNw/s1600/unnamed+(10).jpg)
Zanzibar ni visiwa vinavyosifika kwa uzalishaji wa karafuu bora duniani. Katika miaka 30 ya nyuma pia ilisifika kwa uzalishaji karafuu nyingi, wastani wa tani 8,605 zilikuwa zikizalishwa kwa mwaka.
Jamii ya wakati huo walikuwa wakizijali, wakizithamini na wakizipenda sana karafuu ukilinganisha na kizazi cha sasa. Walihakikisha karafuu zao wakiuza vituoni tena zinakuwa safi, zimekauka vizuri na zinapata daraja la kwanza.
Katika miaka hiyo zao la karafuu lilikuwa ndiyo tegemeo kubwa la pato...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-34G9XCvFMoY/U_TKmsZ-D2I/AAAAAAAGA88/uwUKZ-wusR4/s72-c/unnamed%2B(43).jpg)
ZSTC na jitihada za kuinua wakulima wa karafuu Zanzibar
SHIRIKA la Biashara la Taifa Zanzibar (ZSTC) ni Shirika la Serikali ya Mapinduzi Zanzibar lililoanzishwa mwaka 1968 kwa madhumuni ya kununua na kuuza mazao ya wakulima kama vile karafuu, mbata, makonyo, pilipili hoho, makombe na mwani.
Shirika hilo tokea wakati huo wa miaka ya sitini limekuwa likitimiza wajibu huo na majukumu mengine iliyopewa na Serikali kwa ufanisi na kwa uwazi ili kutoa huduma nzuri kwa wakulima na wauzaji wa mazao hayo ambayo kwa kiasi kikubwa yaliwapatia wananchi wa...
![](http://3.bp.blogspot.com/-34G9XCvFMoY/U_TKmsZ-D2I/AAAAAAAGA88/uwUKZ-wusR4/s1600/unnamed%2B(43).jpg)
10 years ago
MichuziMamilioni ya Kopa Bayport yazidi kupata wenyewe
9 years ago
MichuziRAIS WA ZANZIBAR DK.SHEIN AKABIDHI HUNDI KWAAJILI YA KUFIDIA WACHUMAJI WA KARAFUU
![](http://3.bp.blogspot.com/-akTXyV3NpaU/Ve7TGoEufXI/AAAAAAAH3V8/rOv0c0N_FWo/s640/2-1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7rbVGi8fN1o/Vmak6Mgol_I/AAAAAAAIK28/fwRt6OHp3mo/s72-c/IMG_5263.jpg)
MAKALA: Zao la Karafuu laweza kuwa uti wa mgongo wa Uchumi Zanzibar
Na Pili Khatib na Zuhura Omar, MUM
Kuimarisha Zao la Karafuu ni sawa na kuimarisha Uchumi na Maendeleo ya nchi, jitihada za Wadau ni muihimu ili kufika lengo la Serikali la kuifanya Sekta ya Zao la Karafuu kuwa uti wa mgongo wa Uchumi liweze kufikiwa.
Kutokana na umuhimu wa Sekta ya Karafuu kwa Maendeleo ya Uchumi Serikali imefanya mageuzi makubwa katika sekta hiyo kwa lengo la kuongeza uzalishaji na tija kwa Wakulima na Taifa kwa jumla.
Katika utekelezaji wa Mageuzi hayo yaliyoanza mwaka...
Kuimarisha Zao la Karafuu ni sawa na kuimarisha Uchumi na Maendeleo ya nchi, jitihada za Wadau ni muihimu ili kufika lengo la Serikali la kuifanya Sekta ya Zao la Karafuu kuwa uti wa mgongo wa Uchumi liweze kufikiwa.
Kutokana na umuhimu wa Sekta ya Karafuu kwa Maendeleo ya Uchumi Serikali imefanya mageuzi makubwa katika sekta hiyo kwa lengo la kuongeza uzalishaji na tija kwa Wakulima na Taifa kwa jumla.
Katika utekelezaji wa Mageuzi hayo yaliyoanza mwaka...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wJiihyzjAcU/VZ0B1dI5y8I/AAAAAAAHnuI/XbREQWwYHlU/s72-c/unnamedN.jpg)
BENKI M YAZIDI KUPATA MAFANIKIO, RIPOTI YA FEDHA YA ROBO YA PILI YA MWAKA YATOLEWA
Benki M, inayojulikana kimataifa na ambayo ipo katika benki 10 kubwa hapa nchini, imepata faida ya zaidi ya asilimia 25 katika faida kabla ya kodi kwenye nusu ya kwanza ya mwaka huu ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka jana.
Benki hiyo ambayo hivi karibuni ilijipatia tuzo ya Benki bora ya biashara Tanzania kwa mwaka 2015 iliyotolewa na International Banker nchini Uingereza, imepata faida kufikia Tshs. 11.51Billioni kabla ya kodi katika miezi sita ya mwanzo wa mwaka...
Benki hiyo ambayo hivi karibuni ilijipatia tuzo ya Benki bora ya biashara Tanzania kwa mwaka 2015 iliyotolewa na International Banker nchini Uingereza, imepata faida kufikia Tshs. 11.51Billioni kabla ya kodi katika miezi sita ya mwanzo wa mwaka...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania