Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miche 500,000 ya karafuu yapandwa

ZAIDI ya miche ya mikarafuu 500,000 imepandwa Unguja na Pemba katika kipindi cha mvua za masika, zinazoendelea kunyesha nchini kote.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Zanzibar kuotesha miche ya karafuu milioni 1

JUMLA ya mikarafuu milioni 1 inatazamiwa kuoteshwa kwa mwaka katika vitalu vya Serikali vya Idara ya Misitu na mali zisizorejesheka na kusambazwa bure kwa wakulima wa lengo la kuimarisha zao hilo kuendelea kuwa tegemeo la taifa.

 

5 years ago

AnandTech

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19

Folding@Home Reaches Exascale: 1,500,000,000,000,000,000 Operations Per Second for COVID-19  AnandTechView Full coverage on Google News

 

5 years ago

Michuzi

MKURUGENZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MONDULI APOKEA MICHE 500 YA MITI



Mwenyekiti wa Programu ya Tunandoto   wa pili  kushoto  Godlisten Koka  akimkabithi Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Monduli Anderson Ulaya    miche 500 ya miti kutoka katika uongozi  wa Programu  yao  inayotekelezwa kwa kushirikiana  na  kanisa la Free Pentecostal church of Tanzania-FPCT Monduli juzi (picha na WOINDE SHIZZA)   Na Woinde Shizza,MONDULI

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Monduli Stephen Anderson Ulaya jana amepokea miche 500 ya miti kutoka katika...

 

5 years ago

Michuzi

WILAYA YA MONDULI YAPOKEA MICHE 500 YA MITI KUKABILIANA NA MABADILIKO YA TABIA NCHI


Vero Ignatus.

Mamlaka ya Misitu wilaya ya Monduli (TFS) imekabidhiwa Miche ya miti zaidi 500 ili kupambana na mabadiliko ya Tabia Nchi kutoka Mradi wa Tunandoto Tanzania Ulio chini ya Kanisa la FPCT.

Akikabidhi miti hiyo Mkurugenzi wa wilaya hiyo Stephen Ulaya amesema amekabidhi miche hiyo kwa Mamlaka ya Misitu Tanzania (TFS) wilaya ya Monduli ili kuelekeza miche hiyo katika maeneo yenye uhitaji ndani ya wilaya hiyo.

Ulaya amesema miche hiyo ya Miti wamepokea kutoka Mradi wa Tunandoto ulio...

 

11 years ago

GPL

Tambwe apigwa faini Sh 500,000

Mshambuliaji wa kimataifa wa Simba, Amissi Tambwe. Omary Mdose na Martha Mboma
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Simba, Amissi Tambwe, amepigwa faini ya Sh laki tano kwa kosa la kushangilia bao huku akionyesha kidole katika mchezo wao dhidi ya  Mbeya City lakini klabu yake imepigwa faini ya Sh milioni moja baada ya makocha wake kuingia uwanjani na kuwazonga waamuzi katika mechi hiyo pamoja na kuwepo kwa vitendo vilivyoashiria...

 

9 years ago

BBC

Ghana wants $500,000 bus money back

Ghana demands a $500,000 (£350,000) refund after a government ministry spent $1m to paint more than 100 buses with portraits of the country's recent leaders.

 

9 years ago

Michuzi

WATANZANIA 500,000 WANATARAJIWA KUTEMBELEA HIFADHI ZA TAIFA

Mahmoud Ahmad ArushaWATANZANIA 500,000 wanatarajiwa kutembelea mbuga zote 16 za hifadhi za taifa mwaka huu ikiwa ni hatua ya kuimarisha na kukuza utalii wa ndani ambapo watajionea vivutio mbalimbali vilivyomo ndani ya hifadhi hizo.
Hayo yameelezwa leo na Meneja uhusiano wa shirika la hifadhi za taifa, Tanapa, (Pichani)Pascol Shelutete, makao makuu ya TANAPA, jijini ,Arusha,  alipokuwa akizindua hatua ya mwisho ya  kampeni  maalumu ya miezi sita ya  kuhamasisha Watanzania kutembelea...

 

9 years ago

Mwananchi

Wanafunzi 500,000 wachaguliwa kidato cha kwanza

Jumla ya wanafunzi 503,914 kati ya 518,034 waliofaulu mtihani wa kumaliza elimu ya msingi kwa kupata alama A, B na C, wamechaguliwa kujiunga kidato cha kwanza katika shule za sekondari za Serikali katika awamu ya kwanza. Idadi hiyo ni sawa na asilimia 97.3 ya wanafunzi waliofaulu na wenye sifa ya kujiunga na kidato cha kwanza.

 

9 years ago

TheCitizen

Kenya and UNHCR plan to repatriate 500,000 refugees

Kenya is working in collaboration with the UN refugee agency on a program that will ensure a smooth and voluntary repatriation of over 500,000 refugees living in five camps at the Dadaad refugee camp in Kenya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani