Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakulima wa kahawa kunufaika

Wakulima wa kahawa nchini wataendelea kunufaika na zao hilo baada ya kuanzishwa kwa viwanda vya usindikaji.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Wakulima wa Kahawa Mbozi kunufaika na bilioni 1.35 kutoka Heifer International

Na. Mwandishi Wetu
Shirika lisilo la Kiserekali la Heifer International limepokea ufadhili wa Shilingi bilioni 1.35 (USD 750,000) kutoka Starbucks Foundation ili kuwasaidia  wakulima wadogo wadogo wilayani Mbozi kupitia mradi wa Heifer unaojulikana kama “Mbozi Farmer Livelihood Improvement Project”. Fedha hizi zinatarajia kuziwezesha jumuiya za wakulima wadogo wadogo wa zao la kahawa wa nchi za Afrika Mashariki kuboresha na kuinua viwango vya maisha.
Fedha hizi ni sehemu ya mkakati wa...

 

5 years ago

Michuzi

TADB yamwaga billion 7.7 kwa vyama vya ushirika vya wakulima wa kahawa (KCU na KDCU) Kagera katika msimu wa kahawa 2020/21.

Kutoka Kushoto aliyeshika kipaza sauti ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Mh. Brig. Gaguti, akifuatiwa na Mkuu wa Wilaya ya Kyerwa Mh. Rashid Mwaimu, Mkuu wa wilaya ya Karagwe Mh. Godfrey Muheruka, Mkurugenzi Mtendaji wa TADB, Japhet Justine na mwenyekiti wa chama cha KDCU LTD Anselemi Alphonce.

Mapema leo (9 Juni 2020), TADB kwa kuongozwa na Mkurgenzi Mtendaji, Japhet Justine, wameshiriki katika ufunguzi wa msimu mpya wa kahawa 2020/21 uliofunguliwa na RC Kagera Mh. Brig. Gaguti wilayani Kyerwa....

 

11 years ago

Habarileo

NSSF kukopesha wakulima wa kahawa

WAKULIMA za zao la Kahawa wanatarajia kunufaika na mikopo inayotolewa na Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) mkoani Kilimanjaro, kuboresha zao hilo, ambalo limekumbwa na changamoto mbalimbali.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima kahawa hawatalipwa fidia

SERIKALI imesema  haina mpango wa kuwalipa fidia ya hasara inayotokana na mdororo wa uchumi kwa  wakulima wa kahawa walio chini ya Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Kilimanjaro (KNCU) kama...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Umoja wakulima wa Kahawa mbioni kusajiliwa

UMOJA wa Wakulima wa Kahawa (Aba Kamo Coffee Growers Association), tarafa ya Kamachumu, wilayani Muleba, Kagera, umesema upo katika hatua za mwisho kusajili umoja huo, ili uweze kunufaika na zao...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC ataka wakulima wauziwe miche ya kahawa

MKUU wa Wilaya ya Moshi, Dk. Ibrahim Msengi, ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Moshi kutoza pesa kwa miche bora ya kahawa inayotolewa kwa wakulima wa zao hilo badala ya kugawa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima Muleba waruhusiwa kusafirisha kahawa

WAKULIMA na wanunuzi wa zao la kahawa katika Kata ya Nshamba, Wilaya ya Muleba mkoani Kagera, wameruhusiwa kusafirisha zao hilo kwenda sehemu yoyote ndani ya wilaya hiyo, ikiwa ni pamoja...

 

9 years ago

Mwananchi

Wakulima 4,900 kunufaika

Wakulima 4,900 wilayani Bukombe Mkoa wa Geita, wanatarajia kunufaika na mpango wa kulipia asilimia 50 ya pembejeo za kilimo.

 

11 years ago

Mwananchi

KNCU yakanusha kukopa wakulima kahawa yao

>Chama Kikuu cha Ushirika cha Wakulima wa Kahawa Mkoa Kilimanjaro (KNCU), kimesema hakijawahi kukopa wakulima  kwani kinachofanya ni ukusanyaji peke yake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani