Wakulima wa kahawa kunufaika
Wakulima wa kahawa nchini wataendelea kunufaika na zao hilo baada ya kuanzishwa kwa viwanda vya usindikaji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-RNe5MyCYDMY/VR6_LfzJvAI/AAAAAAAHPMA/HcwQxPMc51w/s72-c/9Heifer%2BArk%2Bw%2Blogo%2Bsm3.jpg)
Wakulima wa Kahawa Mbozi kunufaika na bilioni 1.35 kutoka Heifer International
![](http://2.bp.blogspot.com/-RNe5MyCYDMY/VR6_LfzJvAI/AAAAAAAHPMA/HcwQxPMc51w/s1600/9Heifer%2BArk%2Bw%2Blogo%2Bsm3.jpg)
Shirika lisilo la Kiserekali la Heifer International limepokea ufadhili wa Shilingi bilioni 1.35 (USD 750,000) kutoka Starbucks Foundation ili kuwasaidia wakulima wadogo wadogo wilayani Mbozi kupitia mradi wa Heifer unaojulikana kama “Mbozi Farmer Livelihood Improvement Project”. Fedha hizi zinatarajia kuziwezesha jumuiya za wakulima wadogo wadogo wa zao la kahawa wa nchi za Afrika Mashariki kuboresha na kuinua viwango vya maisha.
Fedha hizi ni sehemu ya mkakati wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-z89Y9YawKqM/Xt_30dGwUQI/AAAAAAALtQI/wjmtAOw5s_ARTseOS7laiw2yzPTpLgkowCLcBGAsYHQ/s72-c/T2.jpg)
TADB yamwaga billion 7.7 kwa vyama vya ushirika vya wakulima wa kahawa (KCU na KDCU) Kagera katika msimu wa kahawa 2020/21.
![](https://1.bp.blogspot.com/-z89Y9YawKqM/Xt_30dGwUQI/AAAAAAALtQI/wjmtAOw5s_ARTseOS7laiw2yzPTpLgkowCLcBGAsYHQ/s1600/T2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-IRKB-fosws8/Xt_30S47bGI/AAAAAAALtQM/CMSotMtAZTUIRI2kmC8WZcJEC5WtJ51DQCLcBGAsYHQ/s1600/T1.jpg)
Mapema leo (9 Juni 2020), TADB kwa kuongozwa na Mkurgenzi Mtendaji, Japhet Justine, wameshiriki katika ufunguzi wa msimu mpya wa kahawa 2020/21 uliofunguliwa na RC Kagera Mh. Brig. Gaguti wilayani Kyerwa....
11 years ago
Habarileo28 Apr
NSSF kukopesha wakulima wa kahawa
WAKULIMA za zao la Kahawa wanatarajia kunufaika na mikopo inayotolewa na Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) mkoani Kilimanjaro, kuboresha zao hilo, ambalo limekumbwa na changamoto mbalimbali.
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Wakulima kahawa hawatalipwa fidia
SERIKALI imesema haina mpango wa kuwalipa fidia ya hasara inayotokana na mdororo wa uchumi kwa wakulima wa kahawa walio chini ya Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Kilimanjaro (KNCU) kama...
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
Umoja wakulima wa Kahawa mbioni kusajiliwa
UMOJA wa Wakulima wa Kahawa (Aba Kamo Coffee Growers Association), tarafa ya Kamachumu, wilayani Muleba, Kagera, umesema upo katika hatua za mwisho kusajili umoja huo, ili uweze kunufaika na zao...
11 years ago
Tanzania Daima17 Dec
DC ataka wakulima wauziwe miche ya kahawa
MKUU wa Wilaya ya Moshi, Dk. Ibrahim Msengi, ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Moshi kutoza pesa kwa miche bora ya kahawa inayotolewa kwa wakulima wa zao hilo badala ya kugawa...
11 years ago
Tanzania Daima08 Jun
Wakulima Muleba waruhusiwa kusafirisha kahawa
WAKULIMA na wanunuzi wa zao la kahawa katika Kata ya Nshamba, Wilaya ya Muleba mkoani Kagera, wameruhusiwa kusafirisha zao hilo kwenda sehemu yoyote ndani ya wilaya hiyo, ikiwa ni pamoja...
9 years ago
Mwananchi02 Oct
Wakulima 4,900 kunufaika
11 years ago
Mwananchi05 Feb
KNCU yakanusha kukopa wakulima kahawa yao