MADEREVA BAJAJI IRINGA WATAJIRIKA KWA UDHAMINI WA KAMPUNI YA ASAS
![](https://1.bp.blogspot.com/-kxiyNfCY2Og/Xl5_9-YjBrI/AAAAAAAAHqI/oXzBYs5xoLYxSqUpFQ8QtBjd4wNJJ1M_wCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200226-WA0026.jpg)
Mlezi wa umoja huo, Ahamed Asas aliwapongeza Umbi akisema unaundwa na vijana wenye hali ya kujiajiri, wanaoaminika na kutimiza ahadi zao pale wanaposaidiwa
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
KAMPUNI ya Asas Group ya mjini Iringa imeudhamini Umoja wa Madereva Bajaj Iringa (UMBI) kupata mkopo wa zaidi ya Sh Milioni 650 katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita-uliowawezesha kununua bajaj 97 zilizokopeshwa kwa mwanachama mmoja mmoja.
Kati ya bajaj hizo, bajaj 40 zenye thamani ya Sh 280 zilikabidhiwa juzi...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uGQ2joBiUIc/XnPY6co0s-I/AAAAAAALkfQ/slqwnsx0PX85_snPGxR5wwx_gNv0Akw-ACLcBGAsYHQ/s72-c/ddd2AAA-768x633.jpg)
KAMPUNI YA ASAS AYATOA MAFUNZO NA KUGAWA VIFAA KINGA DHIDI YA KORONA KWA BODABODA NA BAJAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-uGQ2joBiUIc/XnPY6co0s-I/AAAAAAALkfQ/slqwnsx0PX85_snPGxR5wwx_gNv0Akw-ACLcBGAsYHQ/s640/ddd2AAA-768x633.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/dddAAA-1024x681.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/DSC_0699AAA-1024x681.jpg)
Afisa wa Usalama Mahali pa Kazi kutoka kampuni ya ASAS, Cosmas Charles akitoa elimu kwa madereva bajaji juu ya kunawa mikono kujinga na maambukizi ya virus vya corona kwenye kituo cha bajaji cha M.r hotel kilichoko manispaa ya Iringa.
……………………………….
NA DENIS MLOWE. IRINGA
KAMPUNI ya Asas imegawa msaada wa vifaa kinga na mafunzo dhidi ya kujinga na Virusi Vya Corona kwenye vituo vya Bodaboda na Bajaji manispaa ya Iringa.
Msaada huo wa ndoo maalum za kunawihia mikono na sabuni ‘Sanitezer’...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-a0LTFSQKA8Q/XlgtZ6GmuJI/AAAAAAALfvY/xvF1n2dC26QXzs3mvEbW0eRd60GSAtdaACLcBGAsYHQ/s72-c/ahmed-2.jpg)
KAMPUNI YA MAZIWA YA ASAS WAWADHAMINI BAJAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-a0LTFSQKA8Q/XlgtZ6GmuJI/AAAAAAALfvY/xvF1n2dC26QXzs3mvEbW0eRd60GSAtdaACLcBGAsYHQ/s640/ahmed-2.jpg)
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi akikata utepe kuzindua uandikishwaji wa madereva bajaji kuweza kukata bima ya afya ambapo wamedhaminiwa na kampuni ya maziwa ya Asas ambapo mkurugenzi wake Ahmed Salim Abri akiwa pembeni mwa kushoto kwal Lukuvi.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/ahmed-3.jpg)
10 years ago
MichuziKAMPUNI ZA ASAS ZAONGOZA KWA ULIPAJI KODI BORA KWA MKOA WA IRINGA
KWA HABARI ZAIDI...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-DMvLCcmJJlk/XqwoQp0iHrI/AAAAAAAAH2o/H6GljZetAp4TlzM3Q6GFJV9LJ24wY2nlwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200501-WA0068.jpg)
KAMPUNI YA ASAS IMEKABIDHI (FULL BODY MACHINE) HOSPITALI YA RUFAA IRINGA
![](https://1.bp.blogspot.com/-DMvLCcmJJlk/XqwoQp0iHrI/AAAAAAAAH2o/H6GljZetAp4TlzM3Q6GFJV9LJ24wY2nlwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200501-WA0068.jpg)
Afisa Usalama, Afya, Mazingira na Ubora wa kampuni ya Asas Cosmas Charles akimkabidhi FULL BODY MACHINE kwa mganga mfawidhi wa hospitali ya rufaa ya mkoani Iringa Dr Alfredy Mwakalebela.
![](https://1.bp.blogspot.com/-bIUtYuCJGY8/XqwoPTQvZSI/AAAAAAAAH2c/NDdM_zwLPq44D7uVvjXEZ7xWD6I8mW-2gCLcBGAsYHQ/s1600/IMG-20200501-WA0063.jpg)
Mganga mfawidhi wa hospitali ya rufaa ya mkoani Iringa Dr Alfredy Mwakalebela akiwa anapita katikaFULL BODY MACHINE
![](https://1.bp.blogspot.com/-d52xImhjUqY/XqwoPDGF_kI/AAAAAAAAH2Y/BLJHvaWaptoQbVWLVifJvdhpTJ4Rsk0mACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200501-WA0065.jpg)
Afisa Usalama, Afya, Mazingira na Ubora wa kampuni ya Asas Cosmas Charles akiwa anapita katikaFULL BODY MACHINE
![](https://1.bp.blogspot.com/-b3S-lnxbeEg/XqwoPR4LziI/AAAAAAAAH2g/OWyu2IuOu880UE1XzlLcJeeTkMH63VmZwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200501-WA0062.jpg)
10 years ago
Dewji Blog13 Jun
Kampuni ya Asas Dairies Ltd kwa mwaka wa tatu mfululizo yashikilia tuzo ya ubora, yazibwaga kampuni kongwe
![](http://lh3.googleusercontent.com/-Hu7bI-xcrDI/VXgzNZhV3pI/AAAAAAAB9kk/CP-0xXS3x-w/s640/blogger-image-1808652216.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-fr4V4xm3ZkM/VXgy6EPLKRI/AAAAAAAB9j8/qCw_lVL3whE/s640/blogger-image--1152033488.jpg)
Medali ,vyeti na tuzo ya ushindi ambayo kampuni ya Asas Dairies Ltd imeshinda tena mwaka huu katika maonyesho ya maziwa mkoani Mara.
Vyeti na medali tatu ambazo kampuni ya Asas Dairies Ltd imeshinda tena.
![](http://lh3.googleusercontent.com/-meOkZRHnyBs/VXgX3u_BcOI/AAAAAAAB9jk/HyLEx-Gjc-c/s640/blogger-image--833356817.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://lh3.googleusercontent.com/-NdNgE_w9Ye8/VXgzIrzAgcI/AAAAAAAB9kc/Py8009s04Ko/s72-c/blogger-image--1990319810.jpg)
KAMPUNI YA ASAS DAIRIES LTD KWA MWAKA WA TATU MFULULIZO YASHIKILIA TUZO YA UBORA ,YAZIBWAGA KAMPUNI KONGWE TENA WAZIRI KAMANI APONGEZA
![](http://lh3.googleusercontent.com/-NdNgE_w9Ye8/VXgzIrzAgcI/AAAAAAAB9kc/Py8009s04Ko/s640/blogger-image--1990319810.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-Hu7bI-xcrDI/VXgzNZhV3pI/AAAAAAAB9kk/CP-0xXS3x-w/s640/blogger-image-1808652216.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-fr4V4xm3ZkM/VXgy6EPLKRI/AAAAAAAB9j8/qCw_lVL3whE/s640/blogger-image--1152033488.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Y3Fxk04B81M/Xsy3eRtcERI/AAAAAAALriQ/QsxI0ighf3oYyY3eATWsS5bJHxVDhXWVwCLcBGAsYHQ/s72-c/kabidhi.jpg)
KAMPUNI YA ASAS YATOA MSAADA KWA MAMA LISHE
NA DENIS MLOWE-IRINGA
Katika kuendelea na mapambano dhidi ya kuenea kwa virusi vya corona nchini kampuni Asas yenye makao makuu mkoani Iringa imegawa msaada wa barakoa 500 kwa mama lishe wanaofanya biashara zao katika masoko matano yaliyoko manispaa ya Iringa kwa ajili ya kujinga na Virusi Vya Corona.
Msaada huo umetolewa kwa mama lishe hao ikiwa ni juhudi za kampuni hiyo kuungana na serikali katika kutokomeza kuenea kwa virusi vya corona vinavyosababisha ugonjwa wa Covid 19 ambao umekuwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4k2ZuzsVKpQ/XnL-Iime0HI/AAAAAAALkX4/iCFZEzNcdtwrfIQtAL0HhjNOPzmyK5O8QCLcBGAsYHQ/s72-c/11.jpg)
KAMPUNI YA ASAS YAPONGEZWA KWA MKAKATI NZURI WA KUKABILIANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-4k2ZuzsVKpQ/XnL-Iime0HI/AAAAAAALkX4/iCFZEzNcdtwrfIQtAL0HhjNOPzmyK5O8QCLcBGAsYHQ/s640/11.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ho0rRJoH6nQ/XnIDLYPZ7LI/AAAAAAAAHt4/DvXNGlLvu3wPWfm70Aj9VHsJS4MlWXGyACLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
NA FREDY MGUNDA,IRINGA.
Serikali ya wilaya ya Iringa imeipongeza kampuni ya Asas kwa mikakati ambayo wanayo katika kuhakikisha wanajilinda na maambukizi ya virusi vya Corona ambavyo vimekuwa tishio kwa maisha ya binadamu.
Akizungumza kwenye kikao cha wadau mkuu wa wilaya ya Iringa...