Video:Huwezi kuamini kama huu ni msiba, mke wa marehemu akavalishwa na shela kabisa
![](http://img.youtube.com/vi/qAZswNcs4vE/default.jpg)
Sio tukio la kawaida kukutana na mtu kavaa gauni la harusi kwenye mazishi.. kwenye headlines za 254 jirani zetu wa nguvu Kenya kuna hii stori kutoka Kaunti ya Vihiga, unaambiwa mwanamke aliyefiwa na mume wake akalazimishwa kuvaa gauni ambalo anavaa bibi harusi wakati wa kufunga ndoa, alafu safari ya kwenda kwenye mazishi ikaanza.Mary Akatsa ni kiongozi wa Kanisa la Jerusalem Church of Christ alikuwa akiongoza kila kitu mpaka mazishi yalipoisha, ukicheki kwenye hii video huyo mama anaonekana...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo502 Mar
Black and White: Huwezi kuamini, wasichana hawa ni mapacha (Picha)
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Kamani: Kama huwezi kasi yangu tupishe
WAZIRI wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, Dk. Titus Kamani, amesema ili kwenda na kasi ya maboresho ya wizara hiyo, inahitajika dhana ya uwajibikaji na uwazi sambamba na kujitolea kwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Y0F-iYf0upw/VZOKOBX49FI/AAAAAAAAwzk/Bt5XtTJuQWc/s72-c/Black-couple-upset-scaled.jpg)
Wazazi wa Mke Wangu Wamehamia Kwangu Kabisa, Nyumba imegeuka Bujumbura
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y0F-iYf0upw/VZOKOBX49FI/AAAAAAAAwzk/Bt5XtTJuQWc/s640/Black-couple-upset-scaled.jpg)
Baba na mama wa mke wangu walikuja mwaka 2011 kututembelea hapa Dar, ilikua wakae mwezi mmoja then warudi kijijinilakini cha kushangaza hivi ninavyozungumza nanyi tarehe 30-06-2015 jumanne, hawajaondoka kurudi kijijini kwao hadi Leo miaka takribani minne tangu 2011 January
Kijijini kwao si kubaya kihivyo, kuna nyumba ya bati, kulikua na mifugo na mashamba lakini vyote hivyo vilikufa kutokana na kutelekezwa na mwenyewe ambao wamekimbilia kwetu Dar. Ni nyumba tu ndo ipo pale ila imekua...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/eL6AgHmrdiM/default.jpg)
10 years ago
Bongo516 Jan
Mabeste: Huu ndo ukweli wa kuugua kwa mke wangu! Na aliyejaribu kumuua mke wangu na mtoto!
9 years ago
Bongo506 Nov
Ditto: Siamini kabisa kama Afande Sele ameacha muziki
![Afande-Sele-nzuri_full](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/06/Afande-Sele-nzuri_full-300x194.jpg)
Ditto ambaye ni miongoni mwa wasanii waliowahi kufanya kazi na Afande Sele kwenye kundi la Watu Pori ambalo halipo tena, ametoa maoni yake kuhusu taarifa za uamuzi wa Afande kutangaza kuacha muziki baada ya kushindwa kwenye kinyang’anyiro cha ubunge katika jimbo la Morogoro mjini.
Wiki iliyopita rapper mkongwe wa Morogoro Afande Sele alitangaza kuweka muziki pembeni ili kujikita kwenye kilimo na ufugaji.
“Mimi niwe tu wazi kwamba siamini kama Afande ameacha muziki,” alisema Ditto kupitia...