PROFESA JAY AKIFANYA YAKE STEJINI
Mkongwe wa Hip hop nchini, Joseph Haule 'Profesa Jay' akifanya makamuzi ya hatari ndani ya Leaders Club.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Bongo508 Sep
Profesa Jay afungua website yake rasmi (official website)
11 years ago
GPLSHAA AKIFANYA YAKE FIESTA 2014
11 years ago
GPLPROFESA JAY NDANI YA GLOBAL TV ONLINE
10 years ago
GPL
PROFESA JAY APASUA ANGA MIKUMI
9 years ago
Habarileo12 Dec
Profesa Jay amfagilia Rais Magufuli
MBUNGE wa Jimbo la Mikumi mkoani Morogoro, Joseph Haule maarufu ‘Profesa Jay’, amempongeza Rais John Magufuli, kwa kusikia kilio cha wasanii na kuunda Wizara ya Habari iliyozingatia masuala ya Utamaduni, Wasanii na Michezo.
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Profesa Jay alia wasanii wanavyoibiwa
MKALI wa hip hop nchini, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, ameonyesha kuendelea kuumizwa na wizi wa kazi za wasanii, huku akidai mamlaka husika zimeshindwa kutatua tatizo hilo. Profesa Jay kupitia ukurasa...
9 years ago
Mtanzania04 Jan
PROFESA JAY aipeleka ‘Mwanalizombe’ Mikumi
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII na Mbunge wa Jimbo la Mikumi, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, amesema ana mpango wa kuihamishia studio ya Mwanalizombe kwenye jimbo lake ili aweze kutekeleza ahadi ya kuinua sanaa. Akizungumza na MTANZANIA, Profesa Jay alisema kuwa moja ya ahadi alizowaahidi
wakazi wa Mikumi kwenye kampeni zake ni kuibua vipaji vipya ndiyo maana ameamua kuihamishia studio hiyo huko ili aweze kutekeleza ahadi hiyo.
“Mikumi kuna vipaji vingi vya muziki lakini hakuna aliyeweza kuviibua...
11 years ago
Michuzi07 Jul
10 years ago
CloudsFM16 Feb
Kumbe Dully alipata taarifa za kifo cha baba yake akijiandaa kupanda stejini kufanya shoo
Habari zinasema kuwa msanii wa Bongo Fleva,Dully Sykes alipata taarifa za msiba wa baba yake wakati akijiandaa kupanda stejini kwenye shoo moja iliyofanyika mwishoni mwa wiki hii maeneo ya Mbezi Luis,jijini Dar.