Profesa Jay amfagilia Rais Magufuli
MBUNGE wa Jimbo la Mikumi mkoani Morogoro, Joseph Haule maarufu ‘Profesa Jay’, amempongeza Rais John Magufuli, kwa kusikia kilio cha wasanii na kuunda Wizara ya Habari iliyozingatia masuala ya Utamaduni, Wasanii na Michezo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo11 Dec
Mbunge wa Chadema amfagilia Rais Magufuli
MBUNGE wa Viti Maalumu mkoa wa Mara, Joyce Sokombi kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) amempongeza Rais John Magufuli, kwa kasi yake ya kuwawajibisha watu na watumishi wa serikali wanaojinufaisha na mali ya umma.
9 years ago
VijimamboDK.MAGUFULI ASEMA WAPINZANI WANUNE, WACHEKE YEYE NDIYE RAIS 2015, AMFAGILIA NAPE MTAMA
Akihutubia mjini Mtama, amesema kuwa Wapinzani Wanune, Wacheke yeye ndiye Rais 2015 na atahakikisha anafanya kazi kwa kuwaletea mafanikio watanzania.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CwylSvEmP6E/XsffX2UIfyI/AAAAAAALrTE/-YW0k4ipdHgDHuMTCvUTUdoGnGXk5OuwwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200522-WA0048.jpg)
OLE MILLYA AMFAGILIA RAIS MAGUFULI KWA KURUHUSU MAZISHI YA HESHIMA KIPINDI HIKI CHA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-CwylSvEmP6E/XsffX2UIfyI/AAAAAAALrTE/-YW0k4ipdHgDHuMTCvUTUdoGnGXk5OuwwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200522-WA0048.jpg)
******************************
MBUNGE wa Jimbo la Simanjiro Mkoani Manyara, James Ole Millya amempongeza Rais John Magufuli kwa hatua yake ya kuruhusu maziko kufanyika kwa heshima tofauti na awali watu 10 ndiyo walikuwa wanamzika mtu...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-MAyozcmKzaA/XlPkIptdSbI/AAAAAAACzVg/uVDw9Z-tiiI5gTW6IuQwdUYaluGsw5KWgCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI AKUTANA NA PROFESA LUMUMBA
![](https://1.bp.blogspot.com/-MAyozcmKzaA/XlPkIptdSbI/AAAAAAACzVg/uVDw9Z-tiiI5gTW6IuQwdUYaluGsw5KWgCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
Rais Magufuli na Profesa Lumumba ambaye ni raia wa Kenya wamezungumzia masuala mbalimbali yahusuyo juhudi za Afrika katika kuimarisha uchumi kwa kutumia rasilimali zake .
Pia wajibu wa Waafrika na viongozi wao katika kuimarisha huduma za kijamii na kukabiliana na changamoto mbalimbali.
Rais Magufuli amempongeza Profesa Lumumba...
10 years ago
GPLMEMBE AMFAGILIA MAGUFULI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JcikeZL6OiJrW84dxfHT5jNZuKAQmzRvYqc*K-2G3InKzUGpM-TYTBRiSQZvOMzG997ebC*SB6p5nT1x7ysoUfJOn8bGcwAj/5.jpg?width=650)
PROFESA JAY APASUA ANGA MIKUMI
10 years ago
GPLPROFESA JAY AKIFANYA YAKE STEJINI
11 years ago
GPLPROFESA JAY NDANI YA GLOBAL TV ONLINE
9 years ago
Mtanzania04 Jan
PROFESA JAY aipeleka ‘Mwanalizombe’ Mikumi
NA CHRISTOPHER MSEKENA
MSANII na Mbunge wa Jimbo la Mikumi, Joseph Haule ‘Profesa Jay’, amesema ana mpango wa kuihamishia studio ya Mwanalizombe kwenye jimbo lake ili aweze kutekeleza ahadi ya kuinua sanaa. Akizungumza na MTANZANIA, Profesa Jay alisema kuwa moja ya ahadi alizowaahidi
wakazi wa Mikumi kwenye kampeni zake ni kuibua vipaji vipya ndiyo maana ameamua kuihamishia studio hiyo huko ili aweze kutekeleza ahadi hiyo.
“Mikumi kuna vipaji vingi vya muziki lakini hakuna aliyeweza kuviibua...