Msiba Wa Komba: Wema Atoboa Kuwa Yeye ni Mwana CCM
Watu mbali mbali wakiwemo waigizaji wa filamu hapa nchni wanaendelea kuonyesha jinsi walivyoguswa na kifo cha Mh. Captain John Komba kupita kurasa zao za mitandaoni usasani mtandao wa Instagram, wamekuwa kuweka picha yake na kuandika maneno ya kumtakia kheri huko aendako.
Mwigizaji Wema Sepetu nae ni mojawapo alieguswa na msiba huu na kuandika mameno kuonyesha majonzi alionayo na kutoa kuwa yeye ni mwanachama wa chama cha mapinduzi (CCM)kama alivyokuwa marehemu.
“Dah ni pigo kubwa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies04 Jul
Mwanaume aliyezaa na Shilole Atoboa Haya Kuhusu Yeye na Shilole
Yule mwanaume aliyezaa na Staa wa Bongo Movies na Fleva,Shilole,aitwaye Elias Makala ameibuka na kuzungumza na U heard na Soudy Brown kuwa hakuwahi kumbaka msaniii huyo kama ambayo anazungumza kwenye vyombo vya habari.
‘’Mimi namshangaa sana Shilole anavyosema kuwa nilimbaka,sijawahi kumbaka nilikuwa naishi naye kama mume na mke kwa zaidi ya miaka saba, na nilimuuliza kwanini anasema uongo kuwa nilimbaka alinijibu kuwa habari hiyo inamsaidia kumpaisha (kick) kwenye muziki wake,’’alisema...
10 years ago
Bongo Movies30 May
Baada ya Mwaka Moja, Leo Monalisa Atoboa Mazito Kuhusu Kilichotokea Kwenye Msiba wa George Tyson
Leo ikiwa ni mwaka mmoja toka aliekuwa muongozaji wa filamu na vipindi vya TV hapa Bongo, George Tyson kufariki dunia, mwigizaji Yvonne Cherrie ‘Monalisa’ ambaye alizaa na marehemu afunguaka mazito kupitia ukurasa wake mtandaoni.
Mara baada ya kubandika picha hiyo hapo juu monalisa akiwa na marehemu Tyson na mtoto wao, monalisa aliandika;
Wiki 78 zilizopita @jojityson alipost hii pic na kuandika
My family @monalisatz @soniamonalisa
Leo ni mwaka mmoja toka uondoke George..bado ni ngumu...
9 years ago
Bongo Movies06 Nov
Luis Atoboa Jinsi Alivyojikuta Akipendana na Wema Sepetu
Wiki iliyopita picha za mtandaoni zilionesha kuwa Wema Sepetu na mshiriki wa Big Brother Hotshots kutoka Namibia, Luis Munana wamefunga ndoa.
Hakuna taarifa rasmi kutoka kwa wawili hao baada ya ‘ndoa’ hiyo kufungwa lakini Luis ameimbia Clouds E ya Clouds FM kuwa picha zilizosambaa n halisi na zilipigwa kwenye tukio hilo lililoshuhudiwa na familia zao zote mbili.
“Kwa sasa siwezi kuzungumzia chochote kuhusu picha hizo na ndio maana niliamua kuzifuta kwenye akaunti yangu kwakuwa lilikuwa...
10 years ago
Mwananchi01 Mar
Msiba wa Kapt Komba: Bunge lasema
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pUv0rT5h6PL6sx56p4-T0klZNAc0imcQ-Vdn*O0RoZ6zQW2d53BXgmIT2fcU6SzeoxhA1TL1J-a2Viid6fm18TfUZpgXbabw/SHILOLE.jpg)
SHILOLE ATIA AIBU MSIBA WA KOMBA
10 years ago
Mwananchi02 Mar
Wagombea urais wagongana msiba wa Komba
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/QiexpI9hytpAy2-Xh64sPjnXd9bNSRTjT1zdm86M0inbAIvYPxQzM34BNiAHe1I6yol7k3hzLGmq2n12b42vnGRLgAPjSFtQ/rr.jpg?width=650)
NAPE, NISHA KIVUTIO MSIBA WA KAPT. KOMBA
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-mc6HHR7C15s/VPNVMVkUG9I/AAAAAAAC0wY/qZypBvtdPiQ/s72-c/15889_938839636150671_9032082101882973588_n.jpg)
VIONGOZI MBALIMBALI WAMIMINIKA KUHANI MSIBA WA KAPTEN KOMBA
![](http://1.bp.blogspot.com/-mc6HHR7C15s/VPNVMVkUG9I/AAAAAAAC0wY/qZypBvtdPiQ/s1600/15889_938839636150671_9032082101882973588_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XysoJI66Ymw/VPLwTGB4ffI/AAAAAAAAXSA/2oVW5SfRZ3U/s1600/013.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hNP-q10IRVI/VPLwY-_uXrI/AAAAAAAAXSQ/hwYILOanKhM/s1600/014.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-R7vQKs75sho/VPLwT4Y8ciI/AAAAAAAAXSI/5fIW_BA3YRM/s1600/012.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-81v5-TTZtVo/VPLwbDEdPXI/AAAAAAAAXSY/TlTsRdMTozY/s1600/018.jpg)
10 years ago
Bongo Movies02 Mar
Maneno ya MPOKI Kuhusu Msiba wa Kapteni John KOMBA
Mwigizaji wa vichekesho wa Kundi la Orijino Komedi, Mujuni Sylivery aka Mpoki moja ya vitu ambavyo aliwahi kuvifanya katika kazi yake ya uchekeshaji ni pamoja na kuigiza sauti ya marehemu, Kapteni John KOMBA ambaye amefariki February 28.
Leo Mpoki amesikika kwenye Leo Tena CloudsFM, alianza kuzungumzia namna alivyopokea taarifa za msiba huo; “..Mtu akishatoweka kwenye ulimwengu akifariki dunia inauma kwa sababu mtu unayempoteza leo huwezi kumpata tena.. lakini ukimpoteza mbuzi utaenda...