Wasaka urais CCM wapigana vikumbo mikoani
Na Waandishi Wetu
HEKA HEKA za kusaka wadhamini mikoani kwa makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanaowania kugombea urais zimeendelea kushika kasi mikoani.
Wakati hayo yakiendelea, Mwenyekiti Mstaafu na kada mkongwe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Kagera, Pius Ngeze ametangaza rasmi kumuunga mkono Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa katika harakati zake za kutafuta kuwa mgombea urais kupitia chama hicho.
Ngeze aliyekuwa miongozi mwa viongozi wa chama hicho mkoani humo waliojumuika...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania02 Mar
Wagombea urais wapigana vikumbo kwa Komba
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
KIFO cha Mbunge wa Mbinga Magharibi, Kepteni John Komba (CCM), kimewafanya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanaotajwa kuwania urais katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, kupigana vikumbo huku kila mmoja akizungumzia umuhimu wa kiongozi huyo.
Miongoni mwa viongozi waliohudhuria msiba nyumbani kwa marehemu, Mbezi kwa Komba jijini Dar es Salaam ni pamoja Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard...
10 years ago
Mtanzania20 Aug
Magufuli, Lowassa wapigana vikumbo
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli pamoja na mwenzake kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), chini ya mwamvuli wa Ukawa, Edward Lowassa, wamepigana vikumbo mahakamani huku kila mmoja akisaka kiapo cha mahakama kuthibitisha rasmi kuwania nafasi hiyo.
Magufuli na Lowassa kwa sasa wamekuwa mahasimu wa kisiasa tangu waziri mkuu huyo wa zamani alipotangaza kuihama CCM baada ya mchakato wa urais uliofanyika mjini Dodoma Julai...
11 years ago
GPL
NYERERE, DK. CHENI WAPIGANA VIKUMBO
11 years ago
GPL
Makocha 35 wapigana vikumbo Yanga
10 years ago
GPL
LULU, MAMA KANUMBA WAPIGANA VIKUMBO
10 years ago
GPL
WEMA, AUNT WAKUTAKA, WAPIGANA VIKUMBO
10 years ago
Habarileo21 Jun
Wasaka urais CCM wavuruga wabunge
WAKATI wasaka urais wa CCM wakizunguka nchi nzima kutafuta wadhamini ili watimize masharti ya kutimiza ndoto zao, vita ya wasaka majimbo imepamba moto kiasi cha kukimbiza wabunge na mawaziri karibu wote katika vikao vya Bunge vinavyoendelea Dodoma.
10 years ago
Raia Tanzania25 Jun
Wasaka urais wengi CCM ni tegesha tu!
ONGEZEKO la makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), wanaowania urais mwaka huu linatazamwa na watu wengi kwamba ni matokeo ya kupanuka kwa demokrasia ndani ya chama tawala, ingawa ukweli usiopingika ni kuwa, wengi wao hawana dhamira ya kweli ya kuingia Ikulu.
Takwimu zilizopo zinaonyesha kwamba, makada zaidi ya 30 wametangaza nia na kuchukua fomu watakazotumia kuomba kuteuliwa na chama hicho kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, dhidi ya wagombea wengine kutoka vyama vingine...
11 years ago
Habarileo21 Feb
Membe apongeza CCM kuadhibu wasaka urais
WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amepongeza hatua ya CCM kumpa onyo kali na kumweka chini ya uangalizi kwa mwaka mmoja, kutokana na kubainika kuanza kampeni za urais kabla ya muda. Membe aliyeelezea sababu za kutokea kwa utovu huo wa nidhamu, amesifu utaratibu huo wa CCM kuadhibu makada wake kuwa ni sahihi na mfumo mzuri wa kutengeneza nidhamu ndani ya chama.