Vyama visiwazuie wanaotamani urais kujitangaza
KUTANGAZA nia ya kuwania urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika mwakani kumeshaanza kuonekana kama balaa, hasa ukiwa mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Chama hicho kimetangaza kufanya tathimini ya adhabu iliyoitoa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouurpNlx5kKakqHONPHv6vY0PtbR8HGqgvdF1FqAzoRappzhLXHzcKdkCUEEud1e4B8zuWxw9GwCkI-rnOKnu2Bm0/HamisiKigwangalla.jpg?width=650)
IPO HAJA KWA WAGOMBEA URAIS KUJITANGAZA SASA
9 years ago
Michuzi27 Oct
POLISI YAZIMA VURUGU ZANIBAR,NI BAADA YA MAALIM SHARIF HAMAD KUJITANGAZA MSHINDI WA URAIS
![Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad akiongea na wanahabari.](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/F1-7jNh4XurG2TQr89lsukB5BFqIrWvJAj0g7tOIrsekZI9Y4G4Inv9-00KPV4qoTRUTNaTVYT5jEvvg4vXU-vlRlnbpLobd4v7r2JyHldOpKzBmHBFm9ZF_q8wrhQ=s0-d-e1-ft#http://www.habarileo.co.tz/images/resized/images/maalim-seif_210_120.jpg)
WAKATI wakisubiri matokeo ya uchaguzi ya rais huku Tume ya Uchaguzi ikitangaza kura za wagombea wabunge na uwakilishi katika majimbo ya uchaguzi Zanzibar, Jeshi la Polisi limelazimika kuzima fujo na vurugu kutoka kwa wafuasi wa CUF waliotanda mitaa ya Mji Mkongwe na barabara kuu ya Darajani.
Vurugu zimezuka baada ya mgombea wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad kufanya tathmini na kutangaza matokeo ya ushindi wa chama chake katika uchaguzi wa juzi kwa asilimia 52.87.
Maalim...
10 years ago
Mwananchi01 Aug
Vyama vitatu kufungua pazia la urais
10 years ago
Mwananchi20 Sep
Dar Bongo Massive: Wakali wanaotamani kukuza muziki wa asili
9 years ago
StarTV17 Sep
Mgombea Urais adai vyama vya upinzani havitendewi haki
Mgombea Urais kupitia Chama cha Tanzania Labour TLP Macmillan Lyimo ameitupia lawama Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kuwa haiwatendei haki baadhi ya wagombea urais kupitia vyama vya upinzani kwa kutowapa Fedha za ruzuku.
Akizungumza na waandishi wa habari Mgombea Urais TLP Macmillan Lyimo amesema wamekuwa wakibaguliwa licha ya mataifa ya nje kutoa fedha za kusaidia uchaguzi nchini wakati Tume za Uchaguzi za Afrika Mashariki isipokuwa Tanzania zikiwawezesha wagombea wote kwa usawa.
Mgombea huyo...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/9E8SPfpYK50/default.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Kariakoo wapewa mbinu ya kujitangaza
WAFANYABIASHARA wa Soko kuu la Kariakoo jijini Dar es Salaam wamepewa elimu ya ujasiriamali juu ya kujitangaza kibiashara kupitia njia mbalimbali za kijigitali. Elimu hiyo ilitolewa na kampuni ya Transevents...
9 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-6mLiDf2x4Cg/VidsLtiSnyI/AAAAAAAIBd4/Qhn2X_3-Rwg/s640/1.png)
10 years ago
Dewji Blog22 Mar
Prof.Muhongo aombwa kugombea urais 2015 na umoja wa vyama vya wanafunzi elimu ya juu
Umoja wa Vyama vya wanafunzi elimu ya juu kutoka vyuo mbalimbali kanda ya kaskazini Kilimanjaro na Arusha wajitokeza kumshawishi Prof. Sospeter Muhongo kugombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mwaka 2015.(Picha na Jamiiblog).
Akizungumza kwa niaba ya vijana wenzake Mwenyekiti wa vijana Charles Ngereza kutoka chuo cha Uhasibu Arusha amesema kuwa kinachowafanya kumshawishi Prof Sospeter Muhongo kugombea urais ni kutokana na kuwa kiongozi bora kwa wananchi na mtu anayejali matatizo...