Televisheni ya Marekani yaandaa Mdahalo kwa wagombea Urais Fifa
Katika kuhakikisha Soka linampata rais bora wa Shirikisho la soka duniani FIFA,Televisheni moja ya Marekani imeandaa mdahalo utakaowashirikisha wagombea wote watano wa nafasi ya Urais.
Wagombea walioalikwa ni pamoja na Prince Ali Bin al-Hussein, Sheikh Salman bin Ebrahim al-Khalifa, Tokyo Sexwale, Gianni Infantino na Jerome Champagne kati yao mmoja ndiye atakayekuwa raisi wa FIFA katika uchaguzi utakaopigwa February 26 mjini Zurich Uswis.
Taarifa iliyotolewa na Uongozi wa Televisheni hiyo...
StarTV
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi12 Oct
Mdahalo wa wagombea urais Oktoba 18
9 years ago
MichuziMDAHALO WA WAGOMBEA URAIS TANZANIA
9 years ago
Mtanzania19 Oct
Wagombea urais wachuana mdahalo wa Twaweza
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM
WAGOMBEA urais wa vyama vya ACT-Wazalendo, Anna Mghwira, Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Chifu Lutasola Yemba, Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA), Hashimu Rungwe na Chama cha Tanzania Labor (TLP), Macmillan Lyimo wamechuana katika mdahalo ulioandaliwa na Taasisi ya Twaweza.
Mdahalo huo uliofanyika Dar es Salaam jana uliwashirikisha wagombea hao huku mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli na Edward Lowassa wa Chama cha...
10 years ago
Vijimambo09 Jun
MDAHALO WA WAGOMBEA URAIS WA CCM KUTOFIKA
![IMG-20150608-WA0032](http://i0.wp.com/millardayo.com/wp-content/uploads/2015/06/IMG-20150608-WA0032.jpg?resize=469%2C350)
10 years ago
Habarileo10 Jun
Wagombea urais wakacha mdahalo Dar
WAGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), juzi walikimbia mdahalo wa kupambana kwa hoja ulioandaliwa na wenyeviti wa sekta binafsi na kujulikana kama ‘CEO round table of Tanzania’.
10 years ago
GPLMDAHALO WA WAGOMBEA URAIS WA CCM ULIVYOYEYUKA
9 years ago
Mzalendo Zanzibar20 Sep
VIDEO — MDAHALO WAGOMBEA URAIS ZANZIBAR 20/09/2015
The post VIDEO – MDAHALO WAGOMBEA URAIS ZANZIBAR 20/09/2015 appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi22 Sep
Wagombea urais wajivuta kuthibitisha ushiriki mdahalo
9 years ago
Mwananchi22 Sep
Wagombea urais wajivuta kudhibitisha ushiriki mdahalo