Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ujerumani kuwapa Wakurd silaha

Ujerumani inatarajia kulitumia jeshi la Wakurd wa Iraq silaha kupambana na wapiganaji wa kiislamu.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Africanjam.Com

SHERIA YA UJERUMANI NA DENMARK KUHUSU KUWAPA MAJINA WATOTO


Ujerumani na Denmark kisheria hawaruhusiwi kuwapa watoto majina yoyote nje ya majina 7000 ambayo tayari yamepitishwa, ikitokea mtu atapenda kumuita mwanae jina alipendalo basi atatakiwa kuomba kibali maalum kanisani alafu baadae maombi hayo yanawasilishwa Serikalini, jina likipitishwa basi unaruhusiwa kulitumia.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakurd wazozana na Maliki

Ugomvi baina ya waziri mkuu wa Iraq na wanasiasa wa eneo la Kurd unazidi kuwa mkubwa huku Wakurd wakitaka waombwe msamaha

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakurd waendeleza mapigano,Kabone

Mapigano makali ya kurushiana risasi yanaendelea kati ya majeshi ya serikali na wapiganaji wa Kikrud nchini Syria.

 

10 years ago

Mwananchi

Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha

>Watu wenye silaha wamevamia kituo cha polisi cha Staki Shari jijini Dar es Salaam ambapo katika tukio hilo, watu saba wameripotiwa kuuawa, huku silaha zilizokuwepo katika kituo hicho zikiibwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakurd waukomboa mji wa Tel Abyad, Syria

Wapiganaji wa Kikurd wameutwaa mji wa Tel Abyad wa Syria kutoka kwa wapiganaji wa Islamic State

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Slaa: Nimekuja kuwapa mbunge

KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amewataka wananchi wa Jimbo la Kalenga mkoani hapa kutambua kuwa chama hicho kipo kwa lengo la kuwatetea wananchi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Best Records kuwapa semina wasanii wa muziki

MKURUGENZI wa studio ya Best Records iliyopo jijini Dar es Salaam, Benjamin Nzogu, amesema wanakusudia kuanza kutoa semina kwa wasanii wote wanaofika kurekodi nyimbo zao kwao, hasa kwa wale wanaoonekana...

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli kuwapa uraia wakimbizi Burundi

MGOMBEA urais kupitia CCM, Dk John Magufuli amesema anatambua jitihada zilizofanywa na Rais Jakaya Kikwete za kutoa uraia kwa waathirika wa vita vya Burundi waliokimbilia Tanzania, hivyo akichaguliwa kuwa rais ataendeleza jitihada hizo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

TaESA kuwapa mafunzo vijana 2,000

WAKALA wa Huduma za Ajira Tanzania (TaESA) itatoa mafunzo kwa wahitimu 2,000 wa vyuo vikuu wanatafuta ajira. Akizungumza na waandishi wahabari jijini Dar es Salaam jana, Ofisa habari wa TaESA,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani