Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hatimaye Al Maliki akubali kukaa pembeni

Waziri mkuu wa Iraq aliyeondolewa madarakani Nouri Al Maliki, amekubali kuondoka madarakani na kumpisha Haider al-Abadi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Hatimaye Wolper Akubali Kuposwa!!

Baada ya mwigizaji wa filamu hapo  Bongo, Manaiki Sanga ‘the don’ kutangaza nia ya kutaka kumposa mwigizaji Jacqueline Wolper, staa huyo ameibuka na kumjibu kuwa na yeye yupo tayari kama ataweza kutimiza masharti.

Akizungumza na mwanahabari wa GPL, Wolper alisema katika mila za Kiafrika, posa haikataliwi, inatolewa na kisha inajadiliwa kwa hiyo kama Manaiki kajipanga, apeleke posa ikajadiliwe na wazee wake.

“Nimesikia habari za Manaiki kutaka kuniposa nikacheka sana kwa sababu yeye kama...

 

10 years ago

GPL

WOLPER HATIMAYE AKUBALI KUPOSWA

Stori: Imelda Mtema
BAADA ya msanii wa filamu hapa Bongo, Manaiki Sanga kutangaza nia ya kutaka kumposa mwigizaji Jacqueline Wolper, staa huyo ameibuka na kumjibu kuwa na yeye yupo tayari kama ataweza kutimiza masharti. Mwigizaji wa filamu Bongo, Jacqueline Wolper akipozi na Manaiki. Akizungumza na mwanahabari wetu, Wolper alisema katika mila za Kiafrika, posa haikataliwi, inatolewa na kisha inajadiliwa kwa hiyo kama Manaiki...

 

5 years ago

CCM Blog

RAIS KENYATTA NAYE AKUBALI YA JPM, ASEMA HAWEZI KUENDELEA KUCHUKUA HATUA ZA WAKENYA KUKAA NDANI MILELE


Rais Uhuru Kenyatta wa KenyaHaki miliki ya pichaAFPImage captionRais Uhuru Kenyatta wa KenyaRais Uhuru Kenyatta ametangaza mipango ya kusaidia biashara na raia kusonga mbele katika kipindi hiki cha mdororo wa kiuchumi kwasababu ya janga la virusi vya coronaRais amehutubia taifa kutoka Ikulu ya rais, Nairobi na kusema kwamba mipango hiyo itagharimu shilingi bilioni 53.7.Katika hotuba yake, rais alisema pesa hizo zitagawanywa katika sekta muhimu kama vile miundo mbinu, elimu, biashara ndogo ndogo na za wastani, afya,...

 

11 years ago

BBCSwahili

Wakurd wazozana na Maliki

Ugomvi baina ya waziri mkuu wa Iraq na wanasiasa wa eneo la Kurd unazidi kuwa mkubwa huku Wakurd wakitaka waombwe msamaha

 

9 years ago

BBCSwahili

Al-Maliki aweza kushtakiwa

Waziri mkuu wa zamani wa Iraq huenda akachukuliwa hatua za kisheria kwa mchango wake katika vita

 

11 years ago

BBCSwahili

Maliki afaa kumpisha mwengine

Msemaji wa chama tawala cha Iraq asema maoni yanazidi nguvu chamani kuwa waziri mkuu, Nouri al Maliki, afaa kung'atuka

 

11 years ago

BBCSwahili

Maliki awatia shime makamanda wake

Rais Maliki wa Iraq afika mpaka wa mapigano kuwapa moyo na kuwatia shime makamanda wake wa jeshi mjini Samarra

 

11 years ago

BBCSwahili

Rais wa Iraq hamtaki Nouri Maliki

Rais wa Iraq amemuudhi waziri mkuu wa sasa Nouri Maliki kwa kumwagiza mpinzani wake kuunda Serikali mpya.

 

11 years ago

GPL

ROSE NDAUKA AELEZA ALIVYOWAMWAGA WANAUME NA KUTULIA NA MALIKI

Makala: Hamida Hassan
KAMA kawa, leo katika Exclusive Interview tunaye mwigizaji Rose Ndauka ambaye anatarajia kufunga ndoa hivi karibuni.Kwenye maisha yake ya sanaa, amepitia mambo mengi ambayo yanasisimua, katika makala haya utayapata kwa ukamilifu wake: Mwigizaji maarufu wa filamu za kibongo Rose Ndauka akiwa na mumewe Maliki ALIVYOANZA KUIGIZA
Ilikuwa ni mwaka 2007, Dairekta na muigizaji wa filamu nchini, Single...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani