Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete kumpisha Magufuli mapema

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais (mstaafu) Jakaya Kikwete, sasa anatajwa kuwa tayari

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

FALSAFA MBADALA: Waelimike mapema badala ya kuzaa mapema

Mimba kwa wasichana wadogo ni miongoni mwa sababu zinazowakatisha masomo wasichana wengi hapa Tanzania.

 

9 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete aagwa na Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini mapema leo jijini Dar es Salaam

1 (1)

Picha ya juu na chini: Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya ulinzi  na Usalama Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride rasmi liliandaliwa na vikosi mbalimbali wakati wa sherehe ya kuagewa rasmi na vyombo vya ulinzi na usalama iliyofanyika katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam leo.

2 (1)

…Naaga!!

 

10 years ago

Tanzania Daima

Watakiwa kumpisha mwekezaji

WANANCHI waliovamia eneo la Nyantorotoro Kata ya Kalangalala Wilaya ya Geita mkoani hapa wametakiwa kuondoka mara moja ili kumpisha mwekezaji mwenye leseni kuendeleza shughuli zake za kuponda kokoto. Agizo hilo...

 

11 years ago

BBCSwahili

Maliki afaa kumpisha mwengine

Msemaji wa chama tawala cha Iraq asema maoni yanazidi nguvu chamani kuwa waziri mkuu, Nouri al Maliki, afaa kung'atuka

 

9 years ago

Global Publishers

Mama Diamond kurudi Tandale, kumpisha Zari

zariii Zarinah Hassan ‘Zari’ au mama Tiffah.

KUNA madai kwamba, mama wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Sanura Kasim ‘Sandra’ yupo katika maandalizi ya kuhamia kwenye makazi ya Tandale alikokuwa akiishi zamani ili kumpisha mwanye na mama mtoto wake, Zarinah Hassan ‘Zari’ au mama Tiffah kwenye makazi ya Madale jijini Dar.

Kwa mujibu wa chanzo chetu, mama huyo au bibi Tiffah amefikia uamuzi huo ili kuepusha lolote linaloweza kutokea kwa kukaa beneti na mkaza mwanaye kwa vile ulimi hauna mfupa...

 

10 years ago

Mwananchi

Shule ya msingi kuvunjwa wilayani Temeke kumpisha mwekezaji

Hofu imewagubika wazazi na walimu wa Shule ya Msingi Mji Mpya, iliyopo Temeke baada ya kuwapo kwa taarifa za kubomolewa kwa shule hiyo ili kupisha ujenzi wa majengo ya biashara.

 

9 years ago

Mtanzania

Simshangai Dk. Magufuli- Kikwete

magufuli, jk*Abariki kauli za kuikosoa Serikali yake

*Atamani kupumzika mapema

 

Na Mwandishi Wetu, Washington

RAIS Jakaya Kikwete, amesema hamshangai mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk.John Magufuli kwa kukosoa utendaji kazi wa Serikali yake katika mikutano yake ya kampeni inayoendelea.

Rais Kikwete, alitoa kauli hiyo juzi, wakati akizungumza na wafanyakazi wa Taasisi ya NDI yenye uhusiano na Chama cha Democratic, IRI yenye uhusiano na Chama  cha Republican, IFES na United States Institute...

 

9 years ago

Mwananchi

Kwaheri Kikwete, karibu Dk Magufuli

Rais mpya wa Serikali ya Awamu ya Tano, Dk John Magufuli anaapishwa rasmi leo kuanza ngwe ya uongozi wa nchi kwa kipindi cha miaka mitano. Wakati tukimkaribisha Rais mpya Dk Magufuli, pia tunamuaga Rais Jakaya Kikwete ambaye ameiongoza nchi kwa miaka 10 kwa mafanikio makubwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Zigo la Z’bar ni la Magufuli au Kikwete

Wakati majadiliano ya kina yanaendelea visiwani ili kufikia mwafaka wa kuendelea na mchakato wa kutangaza matokeo ya uchaguzi mkuu Zanzibar uliofanyika Oktoba 25 au kurudiwa upya, imeelezwa kuwa suala hilo linaweza kupata ufumbuzi iwapo litashughulikiwa na Mwenyekiti wa CCM Taifa, Jakaya Kikwete au Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli. Kikwete ametupiwa zigo hilo kwa sababu ya wadhifa wake wa uenyekiti wa c

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani