Atafuna Moyo wa adui wake A.Kusini
Mwanamume mmoja amekamatwa kwa mauaji ya mwanamume mwingine aliyekuwa na uhusiano wa kimapenzi na mpenzi wake za zamani
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili03 Jun
Baba ageuka adui wa wanawe Afrika Kusini
9 years ago
Bongo510 Nov
Kanye West asahau mashairi ya wimbo wake kwenye birthday ya mama mkwe wake na kuanza kuimba wimbo wa adui yake 50 Cent
![222](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/222-300x194.jpg)
Kanye West anadaiwa alijikuta akisahau mashairi ya wimbo wake mwenyewe wakati alipoombwa kutumbuiza kwenye birthday ya mama mkwe wake, Kris Jenner aliyetimiza miaka 60 wiki iliyopita.
Rapper huyo mwenye umri wa miaka 38 alipewa mic na muimbaji Charlie Wilson, aliyekuwa akiimba wimbo wake kabla ya kuanza kuimba wimbo wa Kanye, ‘See Me Now’ – aliomshirikisha Beyonce na – lakini alikiri kuwa hakumbuki mashairi ya wimbo huo wa mwaka 2010 na haraka akaanza kuimba wimbo wa adui yake.
Chanzo...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2cgQuBR1CohIeY2FGs197WQ9bP2xw96Pi5UXpIuksi*m-IvGERicFWr3Dm7iJzzyqjuQJkHDDw8Iwrg7ThUv4Sb1au-r6qJr/BACKWIKIENDA.gif?width=650)
ANYOFOA TITI LA MKEWE, ATAFUNA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VEmjh*oDsukbo4pASH22mxbhSUzJTux3J-Of6JFmBLM-3lNHNCIfwkHONMDMGq5A664jHUQ8H*z0WuX-XqsBOK7P0lwptB7u/mahaba.jpg)
ACHA KUMUUMIZA MOYO WAKE, THAMINI HISIA ZAKE!-2
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L5FNdOkpk1YJZCgIUF2PFyXZnQJOYJe*IExjynRmF4n1EGLl1fAT-K6QJU66OjQH4L88rqONHtMSrqcZk57VhQ571oRDehaF/TontoDikehGlitzMagazine2013IssueBellaNaija02.jpg?width=650)
TONTO DIKEH AWANANGA MAADUI, AWATIA MOYO MASHABIKI WAKE
10 years ago
Bongo522 Aug
Future alikuwa akichepuka na ‘stylist’ wake, Ciara adaiwa kuvunjwa moyo ‘mno’
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-A38czSsSNTA/XqMJhnFtfUI/AAAAAAABMBM/KPL1nyXxMLcCIAYHqyfoQQ2on2sjYkz9QCLcBGAsYHQ/s72-c/Amana%2B3.jpg)
TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE KUWAHUDUMIA WAGONJWA WA MOYO WALIOPATWA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-A38czSsSNTA/XqMJhnFtfUI/AAAAAAABMBM/KPL1nyXxMLcCIAYHqyfoQQ2on2sjYkz9QCLcBGAsYHQ/s400/Amana%2B3.jpg)
Na Mwandishi maalum – Dar es Salaam24/04/2020 Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) itawahudumia wagonjwa wenye matatizo ya moyo yanayohitaji matibabu ya kibingwa walioko katika kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam.Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Prof. Janabi alipotembelea kituo hicho kwa ajili ya kuona ni namna gani wataalamu wa Taasisi yake wataweza kutoa huduma kwa ...