Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CADO BARO: Kwa wizi Your Number One Remix imeniongezea mashabiki, maadui

BETI Mhhh! za mwizi arobaini kwako zimeshatimiaaa, walinenaga zamaniii… Pili umeiba sana watu wameshakuchoka kwa voko voko fulaniii eeh! (Tatu huo wizi wako naomba uacheee…,kwani unashusha adhi ya jina jamaniii)...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TONTO DIKEH AWANANGA MAADUI, AWATIA MOYO MASHABIKI WAKE

Mwigizaji maarufu wa filamu nchini Nigeria Tonto Dikeh.
TONTO DIKEH, mwigizaji maarufu wa filamu nchini Nigeria, ambaye ni ‘mcharuko’ na ambaye alidaiwa kumchukua mume wa mtu hivi karibuni, hivi sasa amekuwa kama mhamasishaji ambapo anatoa ujumbe mbalimbali wa kuwatia matumaini mashabiki wake kupitia ukurasa wake wa Instagram. Tonto ambaye ni mzaliwa wa Jimbo la River na aliyepata umaarufu zaidi kwa kuigiza filamu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Maadui’ hatari kwa afya ya binadamu

UJUZI wa kitabibu na teknolojia ya afya ya mwanadamu vinaendelea kukua. Licha ya maendeleo hayo, magonjwa ya kuambukiza yanaendelea kuikumba dunia na kuwatesa wanadamu. Serikali nyingi duniani zinaelemewa na gharama...

 

10 years ago

Vijimambo

SOME AMERICAN PEOPLE BELIEVES NUMBER 13th IS A BAD LUCK NUMBER

c

If you got on a plane this morning, or traded a stock, or drove your car through an intersection, congratulations. You’re too logical for medieval superstitions.And if you're reading this from under the covers after emailing the office “WFH/Friday the 13th”? Congratulations again -- you're in the good company of New York's boldest real estate developers. Twelve centuries after the Omens of Charlemagne's Death, they are still labeling the floor that comes after 12 as 14.Less than 10 percent...

 

9 years ago

Michuzi

EXPRESSION OF INTEREST JOINT DEVELOPMENT OF PLOT NUMBER 552 IN UPANGA AND PLOTS NUMBER 296 - 299 IN MIKOCHENI, DAR ES SALAAM


EXPRESSION OF INTERESTJOINT DEVELOPMENT OF PLOT NUMBER 552 IN UPANGA AND PLOTS NUMBER 296 - 299 IN MIKOCHENI, DAR ES SALAAM
The ELCT-ECD Investment Trust is a commercial entity of the Registered Trustees of The Evangelical Lutheran Church in Tanzania (ELCT) - Eastern and Coastal Diocese (ECD). The core objectives of the Trust are:-To be the vehicle that will be used to achieve greater investment by the ELCT-ECD for its well being so as to support itself financially, to advice the  ELCT-ECD...

 

9 years ago

Michuzi

EXPRESSION OF INTEREST JOINT DEVELOPMENT OF PLOT NUMBER 552 IN UPANGA AND PLOTS NUMBER 296 - 299 IN MIKOCHENI, DAR ES SALAAM


EXPRESSION OF INTERESTJOINT DEVELOPMENT OF PLOT NUMBER 552 IN UPANGA AND PLOTS NUMBER 296 - 299 IN MIKOCHENI, DAR ES SALAAM
The ELCT-ECD Investment Trust is a commercial entity of the Registered Trustees of The Evangelical Lutheran Church in Tanzania (ELCT) - Eastern and Coastal Diocese (ECD). The core objectives of the Trust are:-To be the vehicle that will be used to achieve greater investment by the ELCT-ECD for its well being so as to support itself financially, to advice the  ELCT-ECD...

 

9 years ago

Bongo5

Drake ajibu ombi la Adele la kutaka kuwemo kwenye ‘official remix’ ya Hotline Bling

adele-drake-hotline-bling

Adele alidai kutamani kuwepo kwenye official remix ya wimbo wa Drake, Hotline Bling.

adele-drake-hotline-bling

Mashabiki wao walikuwa wanasubiri tu jibu la Drake na sasa rapper huyo wa Toronto amejibu. “Nitafanya chochote kwa Adele,” Drake aliwaambia waandishi wa habari jijini Toronto Jumatano hii alipoenda kuangalia game ya timu ya kikapu ya Raptors.

“Ninaweza hata kwenda nyumbani kwa Adele muda huu na kufua nguo zake,” aliongeza.

Kwenye mahojiano hivi karibuni, Adele alisema: “I love Drake so much. I even got the...

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Burundi 2020: Kwa nini Rwanda na Burundi zimekuwa maadui wakubwa?

Wakati, Burundi ikijiandaa kwa uchaguzi mkuu wiki ijayo, uhusiano kati ya nchi hiyo na jirani yake wa karibu Rwanda ukiwa umevunjika

 

5 years ago

BBCSwahili

Polisi mbaroni kwa kumburuza mwanamke umbali wa mita 200 kwa tuhuma za wizi

Viongozi na wanaharakati wa haki za binaadamu kutoka kaunti ya Nakuru nchini Kenya wamepaza sauti zao kukemea vitendo vya ukatili unaofanywa na polisi mjini humo.

 

11 years ago

BBCSwahili

AU:Anti Balaka ni kundi la maadui

Mkuu wa vikosi vya Afrika vya kulinda amani CAR,amesema kuwa vijana wapiganaji wa kikristo wanaojulikana kama anti-balaka,watatambulika kama maadui kutoka sasa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani