Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kichaa cha Mbwa: Ugonjwa unaowaathiri wakazi Dodoma

>Mbwa ni mnyama wa kufugwa mwenye manufaa chekwa. Anaisaidia jamii kwa mambo mbalimbali ikiwemo ulinzi, kazi za kiusalama na  hata utunzaji wa mazingira.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

Kichaa cha mbwa chazua hofu, maisha ya binadamu hatarini.

Ugonjwa wa Kichaa cha Mbwa umeonekana kuwa hatari zaidi kwa maisha ya binadamu na mifugo kutokana na baadhi ya watu waliojeruhiwa kwa kung’atwa na mbwa kupoteza maisha hasa kwa kuchelewa kufika katika Hospitali kwa matibabu ya haraka.

Maeneo ya vijijini ndio yanaonekana na hatari kubwa kutokana na wingi wa wafugaji wanaotegemea mbwa kwa ulinzi wa mali zao huku jamii ikiwa bado haioni umuhimu wa kuwahudumia mbwa matibabu ya kiafya.

 

Kila ifikapo septemba 28 duniani huadhimisha siku ya kichaa...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Mbwa wenye kichaa waua mwanafunzi



 Wananchi wenye hasira wawaua na kuwachoma moto
Na Mwandishi Wetu
MWANAFUNZI wa Shule ya Msingi Ludewa mkoani Njombe, Iblahim Chipungahelom ameuawa na kisha kuliwa nyama na mbwa wanaodaiwa kuugua kicha kwa kukosa chakula kwa muda mrefu.
Tukio hilo la kusikitisha na lililoleta simanzi kubwa kwa wakazi wa Ludewa Mjini, lilitokea Agosti 8, mwaka huu, saa saba mchana katika eneo la Ikulu, ambapo mtoto huyo na wenzake walikuwa wakipita jirani na nyumba ya Bosco Lingalangala kwenda kuchuma...

 

11 years ago

GPL

SHAMSA FORD AELEZA ALIVYOUGUA UGONJWA WA KICHAA

Stori:SHANI RAMADHAN
MWIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford amefunguka kwa mara ya kwanza kuwa aliwahi kuugua ukichaa. Mwigizaji wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford na mtoto wake wakiburudika. Akizungumza na Weekly Star Exclusive, Shamsa alisema ukichaa huo aliupata alipokuwa akisoma kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Kunduchi-Beach, jijini Dar ambapo alilazimika kukaa nyumbani kwa takriban mwaka mzima kupatiwa...

 

10 years ago

GPL

WAKAZI JIJINI MWANZA WAHOFIA KULISHWA NYAMA YA MBWA!

Na Mashaka Baltazar, Mwanza
WAKAZI wa Butimba, Wilaya ya Nyamagana jijini hapa wanahofia kulishwa nyama ya mbwa kufuatia ngozi za mnyama huyo kuokotwa mara kwa mara zikiwa zimechunwa na kuondolewa  kwato. Hivi karibuni, ngozi nyingine ya mbwa iligundulika saa 5:00 asubuhi eneo la kona ya kuelekea Gereza Kuu la Butimba ambapo wananchi wa eneo hilo walikusanyika kuishuhudia. Hata hivyo, haikuweza kufahamika mara moja nani...

 

11 years ago

GPL

WAKAZI WA DAR WACHOCHWA NA TABIA YA VIBAKA (MBWA MWITU)

Umati wa watu wakishuhudia. Polisi wakibeba mwili wa marehemu. Mwili ukipakiwa…

 

10 years ago

Michuzi

WAKAZI WA DODOMA WASAMBAZA UPENDO WA KUTOSHA NDANI YA TAMASHA LA FIESTA MKOANI DODOMA

Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka THT,Rachael akitumbuiza jukwaani pamoja na mcheza shoo wake mbele ya mashabiki wa tamasha la Fiesta 2014 lililofanyika ndani ya uwanja wa Jamhuri,mkoani Dodoma usiku wa kumkia leo.
Pichani ni kulia ni Msanii wa bongofleva AbdulKiba akiimba sambamba na kaka yake Alli Kiba ambaye amekuwa akifanya vyema katika anga ya muziki wa kizazi kipya kupitia nyimbo zake mbili alizoziachai hivi karibuni,ikiwemo MwanaDaisalama na Kimasomaso,Mkali mwingine wa muziki wa...

 

9 years ago

StarTV

Timu ya Ngassa yapata kipigo cha mbwa mwizi cha 4-0

Siphiwe Tshabalala alipigia msumari wa moto jeneza la Free State jana

TIMU ya Free State Stars yenye Mtanzania, Mrisho Khalfan Ngassa imefungwa mabao 4-0 jana na Kaizer Chiefs katika mchezo wa Ligi Kuu ya ABSA Afrika Kusini Uwanja wa FNB, Johannesburg.
Huo unakuwa mchezo wa pili Free State kufungwa, baada ya wiki mbili zilizopita kufungwa 1-0 nyumbani na Mpumalanga Blac Aces.
Katika mchezo wa jana ambao Ngassa hakucheza, mabao ya Kaizer Chiefs yalifungwa na Siboniso Gaxa dakika ya 34,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani