Kichaa cha Mbwa: Ugonjwa unaowaathiri wakazi Dodoma
>Mbwa ni mnyama wa kufugwa mwenye manufaa chekwa. Anaisaidia jamii kwa mambo mbalimbali ikiwemo ulinzi, kazi za kiusalama na hata utunzaji wa mazingira.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV29 Sep
Kichaa cha mbwa chazua hofu, maisha ya binadamu hatarini.
Ugonjwa wa Kichaa cha Mbwa umeonekana kuwa hatari zaidi kwa maisha ya binadamu na mifugo kutokana na baadhi ya watu waliojeruhiwa kwa kung’atwa na mbwa kupoteza maisha hasa kwa kuchelewa kufika katika Hospitali kwa matibabu ya haraka.
Maeneo ya vijijini ndio yanaonekana na hatari kubwa kutokana na wingi wa wafugaji wanaotegemea mbwa kwa ulinzi wa mali zao huku jamii ikiwa bado haioni umuhimu wa kuwahudumia mbwa matibabu ya kiafya.
Kila ifikapo septemba 28 duniani huadhimisha siku ya kichaa...
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Aug
Mbwa wenye kichaa waua mwanafunzi
Wananchi wenye hasira wawaua na kuwachoma moto
Na Mwandishi Wetu
MWANAFUNZI wa Shule ya Msingi Ludewa mkoani Njombe, Iblahim Chipungahelom ameuawa na kisha kuliwa nyama na mbwa wanaodaiwa kuugua kicha kwa kukosa chakula kwa muda mrefu.
Tukio hilo la kusikitisha na lililoleta simanzi kubwa kwa wakazi wa Ludewa Mjini, lilitokea Agosti 8, mwaka huu, saa saba mchana katika eneo la Ikulu, ambapo mtoto huyo na wenzake walikuwa wakipita jirani na nyumba ya Bosco Lingalangala kwenda kuchuma...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6dYYNAU0K9anFHw7ISiGc7jLxDcvRlAq5FirNatojGLBn-y2v5VRqRIjo7A4QMh4CbDIajeahON7SgVXon85aSYr/shamsa.jpg?width=612)
SHAMSA FORD AELEZA ALIVYOUGUA UGONJWA WA KICHAA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kt*hMWIEF*C1yyrB6It65*r-xA5-F7o5MyXBKviW7sXLM0aJH2S6Z7VKPrqYWjdYt05LvHq3UZVPXhZpNiiMkG64TOod*ctU/dogswallpaperfordektop.jpg?width=650)
WAKAZI JIJINI MWANZA WAHOFIA KULISHWA NYAMA YA MBWA!
11 years ago
GPLWAKAZI WA DAR WACHOCHWA NA TABIA YA VIBAKA (MBWA MWITU)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-P2qiopCGtTQ/VDG4UiO2-TI/AAAAAAAGoJM/81rDX6TEwrE/s72-c/1.jpg)
WAKAZI WA DODOMA WASAMBAZA UPENDO WA KUTOSHA NDANI YA TAMASHA LA FIESTA MKOANI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-P2qiopCGtTQ/VDG4UiO2-TI/AAAAAAAGoJM/81rDX6TEwrE/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-XjgVr8hRH6I/VDHP97QoYbI/AAAAAAAGoNE/DRSpW2L9ZwA/s1600/7.jpg)
Pichani ni kulia ni Msanii wa bongofleva AbdulKiba akiimba sambamba na kaka yake Alli Kiba ambaye amekuwa akifanya vyema katika anga ya muziki wa kizazi kipya kupitia nyimbo zake mbili alizoziachai hivi karibuni,ikiwemo MwanaDaisalama na Kimasomaso,
![](http://3.bp.blogspot.com/-q01ufSDEll8/VDJOCTrlcuI/AAAAAAACsT0/Xpoq0k0Ow9Y/s1600/IMG_3191.jpg)
9 years ago
StarTV24 Aug
Timu ya Ngassa yapata kipigo cha mbwa mwizi cha 4-0
![](http://2.bp.blogspot.com/-O3yxJUEbx6U/VdmZnmQQGuI/AAAAAAABm1I/-CU5iUl2nIw/s640/13dc4207e53088253da60d7926d652d7.jpg)
TIMU ya Free State Stars yenye Mtanzania, Mrisho Khalfan Ngassa imefungwa mabao 4-0 jana na Kaizer Chiefs katika mchezo wa Ligi Kuu ya ABSA Afrika Kusini Uwanja wa FNB, Johannesburg.
Huo unakuwa mchezo wa pili Free State kufungwa, baada ya wiki mbili zilizopita kufungwa 1-0 nyumbani na Mpumalanga Blac Aces.
Katika mchezo wa jana ambao Ngassa hakucheza, mabao ya Kaizer Chiefs yalifungwa na Siboniso Gaxa dakika ya 34,...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/qS0taX2MQO0/default.jpg)