Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIVAZI CHA LINNAH CHAZUA GUMZO

Waandishi wetu
MTOTO mzuri ndani ya anga la Bongo Fleva, Esterlinah Sanga ‘Linnah’ amezua gumzo la aina yake baada ya kutupia picha yake mtandaoni akiwa ametinga mavazi mafupi yaliyoacha sehemu kubwa ya mwili wake ikiwa wazi. Mtoto mzuri ndani ya anga la Bongo Fleva, Esterlinah Sanga ‘Linnah’. Linnah alitupia picha hiyo kupitia akaunti yake ya Instagram hivi karibuni na kuwafanya watu wengi wanaotumia...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KIVAZI CHA SHILOLE CHAZUA UTATA

Staa wa filamu na muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Shani Ramadhani
STAA wa filamu na muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amezua utata kufuatia kivazi alichopigilia usiku wa siku ya bethidei yake iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Baraka Plaza, Mikocheni jijini Dar. Kivazi hicho alichokuwa amekivaa Shilole, kilikuwa kimeacha wazi sehemu kubwa ya mwili wake jambo lililozua mjadala kwa...

 

11 years ago

GPL

KIVAZI CHA SAJENT CHAZUA BALAA UKUMBINI!

Stori: Gladness Mallya
Haijakaa poa! Katika kuonesha kwamba anakwenda na fasheni za mambele, staa wa sinema za Kibongo, Husna Idd ‘Sajent’ amezua balaa baada ya kutinga kivazi kilichomuacha wazi sehemu kubwa ya maungo yake. Staa wa sinema za Kibongo, Husna Idd ‘Sajent’. Tukio hilo lililoshuhudiwa na mwanahabari wetu lilijiri hivi karibuni katika sherehe moja kwenye Ukumbi wa Dar West uliopo Tabata,...

 

10 years ago

GPL

KIVAZI CHA FAIZA GUMZO

Mzazi mwenzake Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Mr Sugu’, Faiza Ally. Imelda mtema
MZAZI mwenzake Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Mr Sugu’, Faiza Ally hivi karibuni alizua gumzo baada ya kutinga kwenye shoo ya Zari White Party pande za Mlimani City jijini Dar akiwa ametinga shati pekee huku upande wa chini wa mwili wake akiwa hajavaa chochote. Akizungumza na mwanahabari wetu, Faiza...

 

11 years ago

GPL

KIVAZI CHA JOKATE MH!

Stori:  Imelda Mtema
MWANAMITINDO na mtangazaji mahiri Bongo, Jokate Mwegelo amezua utata baada ya kupiga picha akiwa ametinga suruali iliyochanika. Mwanamitindo na mtangazaji mahiri Bongo, Jokate Mwegelo. Akizungumzia picha hiyo ambayo imevuja katika baadhi ya mitandao, Jokate alisema alivalia mavazi hayo hivi karibuni Afrika Kusini alipokuwa amekwenda kurekodi wimbo wake mpya (hakuutaja jina) na alivaa makusudi ili...

 

10 years ago

GPL

KIMINI CHA TRAFIKI CHAZUA BALAA

mwandishi wetu
Kimini alichovaa trafiki wa kike ambaye jina lake halikupatikana mara moja, kinadaiwa kuzua balaa huku wahuni wakimpigia miluzi. Muonekana wa kimini alichokuwa amevaa trafiki. Tukio hilo lililojaza kadamnasi na kushuhudiwa na ‘shushushu’ wetu lilijiri wiki iliyopita maeneo ya Mwenge jijini Dar, majira ya asubuhi.Bila kujua ‘amefotolewa’ trafiki huyo alikuwa amesimama pembeni akimtazama...

 

10 years ago

Mtanzania

Kipigo cha Lipumba chazua mtafaruku

Pg 1upinzani wasimamaNa Waandishi Wetu, Dar na Dodoma

WAKATI Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba akipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam jana, Bunge lilivunja kikao chake baada ya kuibuka mjadala mkali kutoka kwa wabunge wa kambi ya upinzani.
Spika wa Bunge, Anne Makinda, alilazimika kuahirisha Bunge baada ya wabunge hao wa upinzani kutaka shughuli za Bunge ziahirishwe ili wajadili kitendo cha Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam kumpiga Profesa...

 

11 years ago

Habarileo

Kifo cha mjamzito chazua tafrani Sumbawanga

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Hussein MwinyiKIFO cha mjamzito aliyekuwa akijifungua katika kituo cha afya Mtowisa, wilayani Sumbawanga, kimezua tafrani baada ya wananchi kushambulia gari la kubeba wagonjwa wakitaka kulichoma kwa madai kwamba limechangia.

 

11 years ago

Mwananchi

Kituo kipya cha makumbusho chazua Taharuki

Dar es Salaam. Wakazi wa maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam jana walikumbwa na taharuki baada ya kituo cha daladala cha Mwenge kuhamishiwa eneo la Makumbusho .

 

10 years ago

GPL

KIVAZI CHA LULU INSTAGRAM NI SHEEDAH!

Picha ya Lulu aliyotupia Instagram leo. KIVAZI alichotupia juu staa wa filamu za Kibongo, Elizabeth Michael 'Lulu' kimewaacha hoi baadhi ya mashabiki wake Instagram. Mrembo huyo mwenye mvuto wa pekee ametupia picha hiyo muda mfupi uliopita katika akaunti yake ya Instagram ambapo  ametupia na maneno ya kizushi akisema: 'Lego get em...... nikuridhishe kwani we unaniridhisha!???? Am soleeeee!' aliandika Lulu.… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani