Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KIVAZI CHA JOKATE MH!

Stori:  Imelda Mtema
MWANAMITINDO na mtangazaji mahiri Bongo, Jokate Mwegelo amezua utata baada ya kupiga picha akiwa ametinga suruali iliyochanika. Mwanamitindo na mtangazaji mahiri Bongo, Jokate Mwegelo. Akizungumzia picha hiyo ambayo imevuja katika baadhi ya mitandao, Jokate alisema alivalia mavazi hayo hivi karibuni Afrika Kusini alipokuwa amekwenda kurekodi wimbo wake mpya (hakuutaja jina) na alivaa makusudi ili...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KIVAZI CHA FAIZA GUMZO

Mzazi mwenzake Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Mr Sugu’, Faiza Ally. Imelda mtema
MZAZI mwenzake Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Mr Sugu’, Faiza Ally hivi karibuni alizua gumzo baada ya kutinga kwenye shoo ya Zari White Party pande za Mlimani City jijini Dar akiwa ametinga shati pekee huku upande wa chini wa mwili wake akiwa hajavaa chochote. Akizungumza na mwanahabari wetu, Faiza...

 

10 years ago

GPL

KIVAZI CHA LULU INSTAGRAM NI SHEEDAH!

Picha ya Lulu aliyotupia Instagram leo. KIVAZI alichotupia juu staa wa filamu za Kibongo, Elizabeth Michael 'Lulu' kimewaacha hoi baadhi ya mashabiki wake Instagram. Mrembo huyo mwenye mvuto wa pekee ametupia picha hiyo muda mfupi uliopita katika akaunti yake ya Instagram ambapo  ametupia na maneno ya kizushi akisema: 'Lego get em...... nikuridhishe kwani we unaniridhisha!???? Am soleeeee!' aliandika Lulu.… ...

 

10 years ago

GPL

KIVAZI CHA LINNAH CHAZUA GUMZO

Waandishi wetu
MTOTO mzuri ndani ya anga la Bongo Fleva, Esterlinah Sanga ‘Linnah’ amezua gumzo la aina yake baada ya kutupia picha yake mtandaoni akiwa ametinga mavazi mafupi yaliyoacha sehemu kubwa ya mwili wake ikiwa wazi. Mtoto mzuri ndani ya anga la Bongo Fleva, Esterlinah Sanga ‘Linnah’. Linnah alitupia picha hiyo kupitia akaunti yake ya Instagram hivi karibuni na kuwafanya watu wengi wanaotumia...

 

10 years ago

GPL

KIVAZI CHA SHILOLE CHAZUA UTATA

Staa wa filamu na muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’. Shani Ramadhani
STAA wa filamu na muziki Bongo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amezua utata kufuatia kivazi alichopigilia usiku wa siku ya bethidei yake iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita Baraka Plaza, Mikocheni jijini Dar. Kivazi hicho alichokuwa amekivaa Shilole, kilikuwa kimeacha wazi sehemu kubwa ya mwili wake jambo lililozua mjadala kwa...

 

10 years ago

GPL

KIVAZI CHA JINI KABULA AIBU 100%

Na Gladness Mallya
AIBU 100%! Mwanadada kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ amewaacha watu midomo wazi baada ya kutinga kivazi kilichomuacha wazi mwili wake. Mwanadada kutoka kiwanda cha filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’. Jini Kabula alitinga kivazi hicho kwenye bethidei ya mtoto wa mwigizaji mwenzake, Riyama Ally ambayo aliiunganisha na ya kwake na kufanya bonge la...

 

10 years ago

GPL

KIVAZI CHA SAJENT CHAZUA BALAA UKUMBINI!

Stori: Gladness Mallya
Haijakaa poa! Katika kuonesha kwamba anakwenda na fasheni za mambele, staa wa sinema za Kibongo, Husna Idd ‘Sajent’ amezua balaa baada ya kutinga kivazi kilichomuacha wazi sehemu kubwa ya maungo yake. Staa wa sinema za Kibongo, Husna Idd ‘Sajent’. Tukio hilo lililoshuhudiwa na mwanahabari wetu lilijiri hivi karibuni katika sherehe moja kwenye Ukumbi wa Dar West uliopo Tabata,...

 

10 years ago

Bongo Movies

KIVAZI Cha LULU Chaonyesha Tatoo Yake Ya Juu Ya Kiuno

Muigizaji Diana Elizabeth Michael kama anavyojiita kwenye ukurasa wake wa INSTAGRAM, maarufu kwajian la  LULU ni moja kati wa mastaa wa Bongo movie wanaotumia kurasa zao kwenye mtandao wa INSTAGRAM ku-Share nasi picha zao, stori  na ujumbe mambali mabali yani kwa kifupi wanazitendea haki kurasa zao..Kwa hilo tunakupongeza.

Back to the Topic

Hivi majuzi mwanadada LULU aliweka picha matata (icheki hapo juu) ambayo iliwafanya Followers wake kwenye ukurasa  wake watoe comments na like za...

 

11 years ago

GPL

SAJENT ATINGA NA KIVAZI CHA KLABU KWENYE KITCHEN PARTY

MWIGIZAJI Bongo Movies, Husna Idd ‘Sajent’ amewashangaza waalikwa baada ya kutinga na kivazi cha klabu kwenye kitchen party katika Ukumbi wa Mawela, Sinza jijini Dar. Mwigizaji Bongo Movies, Husna Idd ‘Sajent’ (kushoto) akiwa na Shilole. Sajent alipoingia ukumbini aliwafanya watu wote kumgeukia huku baadhi wakihoji namna ambavyo wazazi wa biharusi watamtathmini. Hata hivyo, mwenyewe hakujali kwani...

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Avril wa Kenya na kivazi cha mitego kilichomuweka kwenye ‘headlines’ weeked iliyopita

Avril , mwimbaji mrembo wa Kenya weekend iliyopita alimua kuonesha kile Mungu alichomjaalia (uzuri) kwa kuvaa kivazi cha ‘mitego’ alipotumbuiza kwenye tamasha la Extravagaza Concert. Arvil alishare picha hizo Instagram na kuandika kwenye moja wapo ya picha “Awesome night at #ExtravaganzaKE !!! Thank you @achieotigo for the fabulous dress shirt. Let me sit and see […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani