KIVAZI CHA SAJENT CHAZUA BALAA UKUMBINI!
![](http://api.ning.com:80/files/DkRfQoehpOrSQtQ4NrBYehDjEdvcvjhHf97CV8UJM9J4nAopSZsT0gKnj3J2t4xvZ5iu70AG8GX4zWl65NbD*2hksDzOnEVw/sajent.jpg)
Stori: Gladness Mallya Haijakaa poa! Katika kuonesha kwamba anakwenda na fasheni za mambele, staa wa sinema za Kibongo, Husna Idd ‘Sajent’ amezua balaa baada ya kutinga kivazi kilichomuacha wazi sehemu kubwa ya maungo yake. Staa wa sinema za Kibongo, Husna Idd ‘Sajent’. Tukio hilo lililoshuhudiwa na mwanahabari wetu lilijiri hivi karibuni katika sherehe moja kwenye Ukumbi wa Dar West uliopo Tabata,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLKIVAZI CHA SHILOLE CHAZUA UTATA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sT-mI3qB-hesRW5bAaQmz0EoL*528dFsyQ87u1eJ5ot4uHF4Lo10dMKP3TfDOI8T9EJqSa3fNiW4ouMNfK5NtzgJeuYyvw8r/s.jpg?width=650)
KIVAZI CHA LINNAH CHAZUA GUMZO
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LAl787uzrCCpL9NSvhQrX*PWWvixxIQJ4da4SWmGun79ytpE0gZQpjjgwe54-4feW4dwqsW3oafxtGnrC-S2CIkgzGi2mVNV/sajent.jpg)
SAJENT ATINGA NA KIVAZI CHA KLABU KWENYE KITCHEN PARTY
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/AlF29i7dC3IAaK9jvLUVfuZXL5*-K4sl2oedf1dTUtGfdeso91VF0YMrzEo4T74lT1ELQNsr2Wiz1bfIb-Z08YJe03IDbSsj/BACK.jpg)
KIMINI CHA TRAFIKI CHAZUA BALAA
10 years ago
Mtanzania29 May
Chakula chazua balaa vyuo Wizara ya Afya
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SAALAM
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imewatangazia wanafunzi katika vyuo ambavyo vipo chini ya wizara hiyo kuanza kujitegemea kwa chakula kuanzia muhula ujao wa masomo 2015/2016.
Wizara imetoa taarifa kwa kuwaandikia barua wakuu wa vyuo vya Serikali vya Afya na Ustawi wa Jamii kwa kumbukumbu Namba JC.209/558/03/58 ya Mei 20, mwaka huu.
Barua hiyo iliyosainiwa na Dk. Otilia Gowelle kwa niaba ya Katibu Mkuu, ilieleza kuwa uamuzi huo umetokana na ongezeko kubwa la...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zLSzH-96bg88BLWqNw7Kv-nanQd1q21Qmgr*5k8tVF-dTNOePVSf8kjaRbrWJgO086rYZmJW8C4tLKrfE*woXW6mLqDX4vBS/jokate.jpg)
KIVAZI CHA JOKATE MH!
10 years ago
Mtanzania29 Jan
Kipigo cha Lipumba chazua mtafaruku
Na Waandishi Wetu, Dar na Dodoma
WAKATI Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba akipandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam jana, Bunge lilivunja kikao chake baada ya kuibuka mjadala mkali kutoka kwa wabunge wa kambi ya upinzani.
Spika wa Bunge, Anne Makinda, alilazimika kuahirisha Bunge baada ya wabunge hao wa upinzani kutaka shughuli za Bunge ziahirishwe ili wajadili kitendo cha Jeshi la Polisi jijini Dar es Salaam kumpiga Profesa...
10 years ago
GPLKIVAZI CHA FAIZA GUMZO
11 years ago
Mwananchi03 Jun
Kituo kipya cha makumbusho chazua Taharuki