Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IBADA YA KUMWOMBEA MAREHEMU SABINA ITAMBIKO TOKYO NCHINI JAPAN

Mmoja ya ndugu ya marehemu akitoa neno la shukurani kwa niaba ya wanafamilia kwenye ibada ya kimwombea marehemu Sabina Itambiko aliyekua akiishi nchini Japan na kupata mauti nchini Tanzania July 17, 2015. Watanzania nchini Japan wakijumuika pamoja katika ibada ya kumwombea marehemu Sabina Itambiko aliyekua akiishi nchini Japan na kupata mauti nchini Tanzania July 17, 2015.Picha zote na Mariam, mwakilishi wa Vijimabo Japan Kwa picha zaidi bofya soma zaidi

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

CCM Blog

DUNIANI KUNA MAMBO: TOKYO NCHINI JAPAN KILA MWAKA HUFANYA SHEREHE YA KUJIANDAA NA KIFO

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
UNAHISI vipi ukiambiwa kuhusu kifo? ni wazi kuwa wengi hawafurahii kusikia habari hizo, lakini watu wengi kutoka Tokyo nchini Japan wanafurahi wakisikia habari kuhusiana na kifo, watakufa vipi? na namna ya kujiandaa kabla ya kifo.

Tokyo hufanya sherehe kila mwaka kwa ajili ya kujiandaa na kifo, "Shukatsu Festival" watu hufundishwa namna ya kujiandaa kwa kifo, "Shakatsu" kwa wajapani humaanisha kujiandaa kabla ya kufa na maadhimisho hayo hufanyika kila Desemba...

 

10 years ago

Vijimambo

WATANZANIA TOKYO JAPAN WASHEREHEKEA SIKUKUU YA EID

 Watanzania na marafiki zao wakijumuika pamoja katika kusherehekea sikukuu ya Eid iliyofanyika siku ya Jumamosi July 18, 2015 Watanzania na marafiki zao wakijumuika pamoja katika kusherehekea sikukuu ya Eid. Picha na Mariam, Mwakilishi wa Vijimambo Japan. Mariam kulia akipata ukodak moment na mwenzie.Watanzania wa Japan wakijumuika pamoja kwenye sherehe ya Eid MosiKwa picha zaidi bofya soma zaidi

 

5 years ago

The Guardian

'Massively let down': disappointment in Japan after Tokyo Olympics postponed

'Massively let down': disappointment in Japan after Tokyo Olympics postponed  The GuardianTokyo 2020: 'The right decision, made just in time'  BBC NewsThe Tokyo 2020 Olympics have been postponed to 2021  CNNAbe, Trump to hold phone meeting on Japan’s Olympics – report  RTTokyo Games moved to 2021 as 'light at end of pandemic tunnel'  ReutersView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUU AENDELEA NA ZIARA YAKE TOKYO JAPAN

Waziri mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi ya vyakula vya Kitanzania vilivyosindikwa kitalaamu, Afisa Mtendaji Mkuu na mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Sumitomo ya Japan,Bw.Michihiko Kanegae baada ya mazungumzo yao kwenye hoteli ya New Otani, Tokyo, Machi 16, 2015. Kampuni hiyo inatarajiwa kuanza ujenzi wa mtambo wa kufua umeme kwa kutumia gesi katika eneo la Kinyerezi jijini Dar es salaam hivi karibuni. Kushoto ni Meneja Mkuu wa Masuala ya Miundombinu ya Umeme wa kampuni...

 

5 years ago

Al Jazeera English

Tokyo 2020 postponed as Japan's Abe bows to pressure over virus

Tokyo 2020 postponed as Japan's Abe bows to pressure over virus  Al Jazeera EnglishJapan, IOC agree to postpone 2020 Olympics  The Citizen DailyThe Tokyo 2020 Olympics have been postponed to 2021  CNNAbe, Trump to hold phone meeting on Japan’s Olympics – report  RTTokyo Games moved to 2021 as 'light at end of pandemic tunnel'  ReutersView Full coverage on Google News

 

10 years ago

Michuzi

MWANAMUZIKI ALLY CHOKI KUTUMBUIZA TOKYO,JAPAN JUMAMOSI 21 MACHI 2015

Tokyo,Japan. Mwanamuziki mahili wa muziki wa dansi Ally Choki ambaye pia ni kiongozi wa bendi ya Extra Bongo aka "Wazee wa Kizigo" anatarajiwa kutingisha jukwaa siku ya Jumamosi Machi 21,2015 ambapo wanamuziki wa Eagle's Vission watakuwepo kumsindikiza Ally Choki anayefuatana na Super Nyamwela.
Katika onyesho hilo wakongwe wawili wa muziki wa dansi watanzania wanaoishi Japan,Fresh Jumbe Mkuu na Abbu Omary watakuwepo jukwaani kuwapa baraka zote wadogo zao Ally Choki na Super Nyamwela katika...

 

10 years ago

Vijimambo

JK AMTEUA HAULE BALOZI MPYA KENYA, BATILDA AHAMISHIWA TOKYO JAPAN

Balozi mpya wa Tanzania, Tokyo JAPAN, DK Batilda Salha Buriani.

 

5 years ago

SB Nation

Tokyo Olympics can’t be held ‘at this point in time,’ urges Japan prime minister

Tokyo Olympics can’t be held ‘at this point in time,’ urges Japan prime minister  SB NationJapan's Abe admits postponing Tokyo Olympics may be option  Al Jazeera EnglishJapan acknowledges 2020 Olympics may be postponed  QuartzCoronavirus: Olympic doubts grow as Canada withdraws athletes  BBC NewsFactbox: Reaction to Canada's boycott of 2020 Tokyo Games  ReutersView Full coverage on Google News

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani