Mamilioni ya tani za mabaki ya chakula hutupwa kila mwaka duniani
Kuna watu takribani milioni 820 duniani hawana chakula cha kutosha
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Tani 18 za dhahabu zapotea kila mwaka
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qhmaNpdkdBvheKKBXfM-uGeJyx*5rluJstG92w7*Rn7Usw*wRQRPBL3tBjsPTEce83OF-zggjvq1DoCmWLeaxhRRKL0GVi-2/tb.jpg?width=650)
KIFUA KIKUU: UGONJWA UNAOUA ZAIDI YA WATU MILIONI 1 DUNIANI KILA MWAKA
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-8B82i9aamuo/XuJUusmqJEI/AAAAAAACNAo/TYBNzyqLu0AcFhKjDoSFLieXq5CgzkzqwCLcBGAsYHQ/s72-c/20200608095229_169207504_3157681571537427273_480_662_80_webp.jpg)
DUNIANI KUNA MAMBO: TOKYO NCHINI JAPAN KILA MWAKA HUFANYA SHEREHE YA KUJIANDAA NA KIFO
![](https://1.bp.blogspot.com/-8B82i9aamuo/XuJUusmqJEI/AAAAAAACNAo/TYBNzyqLu0AcFhKjDoSFLieXq5CgzkzqwCLcBGAsYHQ/s200/20200608095229_169207504_3157681571537427273_480_662_80_webp.jpg)
UNAHISI vipi ukiambiwa kuhusu kifo? ni wazi kuwa wengi hawafurahii kusikia habari hizo, lakini watu wengi kutoka Tokyo nchini Japan wanafurahi wakisikia habari kuhusiana na kifo, watakufa vipi? na namna ya kujiandaa kabla ya kifo.
Tokyo hufanya sherehe kila mwaka kwa ajili ya kujiandaa na kifo, "Shukatsu Festival" watu hufundishwa namna ya kujiandaa kwa kifo, "Shakatsu" kwa wajapani humaanisha kujiandaa kabla ya kufa na maadhimisho hayo hufanyika kila Desemba...
10 years ago
Uhuru Newspaper21 Apr
Tani 10,000 za chakula kutolewa kwa wahitaji
NA RACHEL KYALA
SERIKALI itagawa tani 10,000 za chakula kuwasaidia watu ambao wanakabiliwa na njaa kutokana na uhaba wa chakula katika baadhi ya maeneo nchini.
Hatua hiyo imetokana na zaidi ya watu 400,000 kukabiliwa na njaa wakiwemo 42, 414 ambao hawana uwezo kabisa wa kununua chakula na wametengewa kupatiwa tani 1,000 bure.
Hata hivyo, tani zingine 9,000 zinatarajiwa kuuza kwa sh. 50 kwa kilo kwa watu 381,722, ambao kwa kiasi wana uwezo wa kumudu kununua chakula kwa bei hiyo.
Mkurugenzi...
9 years ago
VijimamboMAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014 BAHATI MURIGA KUHUDHURIA MKUTANO WA SIKU YA CHAKULA DUNIANI WASHINGTON DC
10 years ago
Mwananchi10 Dec
Singida ina ziada ya tani 520,370 ya chakula
10 years ago
Dewji Blog10 Dec
Singida wana ziada ya chakula tani 520,370
Katibu tawala mkoa wa Singida,Liana Hassan, akitoa taarifa yake ya utekelezaji wa malengo ya kilimo kwa msimu wa 2013/2014 na malengo ya kilimo kwa msimu wa 2014/2015 mbele ya kikao cha kamati ya ushauri ya mkoa (RCC).
Na Nathaniel Limu, Singida
MKOA wa Singida,umefanikiwa kuvuna nafaka ya chakula tani 913,143 kwa msimu wa 2013/2014, na hivyo kuwa na ziada ya chakula tani 520,370.
Hayo yamesemwa na Katibu tawaka mkoa wa Singida,Liana Hassan,wakati akitoa taarifa yake ya utekelezaji wa...
9 years ago
MichuziVOA AFRICA 54 YAFANYA MAHOJIANO NA MAMA SHUJAA WA CHAKULA , AMBAYE YUPO WASHINGTON DC KWA AJILI YA MKUTANO WA SIKU YA CHAKULA DUNIANI.