Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mamilioni ya tani za mabaki ya chakula hutupwa kila mwaka duniani

Kuna watu takribani milioni 820 duniani hawana chakula cha kutosha

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tani 18 za dhahabu zapotea kila mwaka

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imefichua kuwapo kwa utoroshaji mkubwa wa madini unaofanywa na baadhi ya wachimbaji wadogo na kubainisha tani 18 za dhahabu hutoroshwa kila mwaka kwenda nje.

 

10 years ago

GPL

KIFUA KIKUU: UGONJWA UNAOUA ZAIDI YA WATU MILIONI 1 DUNIANI KILA MWAKA

Mgonjwa wa kifua kikuu akipatiwa matibabu. KWA Tanzania, watu 120,191 hukisiwa kuwa na ugonjwa wa kifua kikuu kila mwaka, hii ni kutokana na taarifa ya Shirika la USAID ya mwaka 2007 na vifo vinavyotokana na ugonjwa wa kifua kikuu ni 32,000 kila mwaka hapa nchini Tanzania. Takwimu za Shirika la Afya Ulimwenguni (WHO) zinaonyesha kuwa Tanzania ni ya 15 kati ya nchi 22 ambazo zimeathiriwa sana na ugonjwa huu na kwa mujibu wa...

 

5 years ago

CCM Blog

DUNIANI KUNA MAMBO: TOKYO NCHINI JAPAN KILA MWAKA HUFANYA SHEREHE YA KUJIANDAA NA KIFO

Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
UNAHISI vipi ukiambiwa kuhusu kifo? ni wazi kuwa wengi hawafurahii kusikia habari hizo, lakini watu wengi kutoka Tokyo nchini Japan wanafurahi wakisikia habari kuhusiana na kifo, watakufa vipi? na namna ya kujiandaa kabla ya kifo.

Tokyo hufanya sherehe kila mwaka kwa ajili ya kujiandaa na kifo, "Shukatsu Festival" watu hufundishwa namna ya kujiandaa kwa kifo, "Shakatsu" kwa wajapani humaanisha kujiandaa kabla ya kufa na maadhimisho hayo hufanyika kila Desemba...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Tani 10,000 za chakula kutolewa kwa wahitaji


NA RACHEL KYALA
SERIKALI itagawa tani 10,000 za chakula kuwasaidia watu ambao wanakabiliwa na njaa kutokana na uhaba wa chakula katika baadhi ya maeneo nchini.
Hatua hiyo imetokana na zaidi ya watu 400,000 kukabiliwa na njaa wakiwemo 42, 414 ambao hawana uwezo kabisa wa kununua chakula na wametengewa kupatiwa tani 1,000 bure.
Hata hivyo, tani zingine 9,000 zinatarajiwa kuuza kwa sh. 50 kwa kilo kwa watu 381,722, ambao kwa kiasi wana uwezo wa kumudu kununua chakula kwa bei hiyo.
Mkurugenzi...

 

9 years ago

Vijimambo

MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2014 BAHATI MURIGA KUHUDHURIA MKUTANO WA SIKU YA CHAKULA DUNIANI WASHINGTON DC

Kutoka kulia ni Mshindi wa Mama Shujaa wa Chakula 2013 Bahati Muriga , Edina Kiogwe aliyeshiriki Shindano la Mama Shujaa wa Chakula 2015 na Eva Mogeni pia alikuwa Mshiriki wa Shindano la mama Shujaa wa Chakula ambalo linaandaliwa na OXFAM Kupitia Kampeni yake ya Grow Aliyekuwa Mshiriki wa Shidano la Mama Shujaa wa Chakula Msimu wa nne 2015 Eva Mogeni (Kushoto) akielezea kuhusu safari yao ya kwenda Addis Ababa Ethiopia kwa ajili ya  kuhudhuria mkutano wa African Rural Woman Assembly (ARWAA) ...

 

10 years ago

Mwananchi

Singida ina ziada ya tani 520,370 ya chakula

Mkoa wa Singida umefanikiwa kuvuna mazao ya chakula tani 913,143 katika msimu wa 2013/2014, hivyo kuwa na ziada ya chakula ya tani 520,370.

 

10 years ago

Dewji Blog

Singida wana ziada ya chakula tani 520,370

unnamed (14)

Katibu tawala mkoa wa Singida,Liana Hassan, akitoa taarifa yake ya utekelezaji wa malengo ya kilimo kwa msimu wa 2013/2014 na malengo ya kilimo kwa msimu wa 2014/2015 mbele ya kikao cha kamati ya ushauri ya mkoa (RCC).

Na Nathaniel Limu, Singida

MKOA wa Singida,umefanikiwa kuvuna nafaka ya chakula tani 913,143 kwa msimu wa 2013/2014, na hivyo kuwa na ziada ya chakula tani 520,370.

Hayo yamesemwa na Katibu tawaka mkoa wa Singida,Liana Hassan,wakati akitoa taarifa yake ya utekelezaji wa...

 

9 years ago

Michuzi

VOA AFRICA 54 YAFANYA MAHOJIANO NA MAMA SHUJAA WA CHAKULA , AMBAYE YUPO WASHINGTON DC KWA AJILI YA MKUTANO WA SIKU YA CHAKULA DUNIANI.

 Kushoto ni Mtangazaji Voice of America  wa Africa 54 Linord Moudou akiwa na Mama Shujaa wa Chakula 2014 msimu wa Tatu Bahati Muliga na Meneja Utetezi na Ushawishi kutoka Oxfam Eluka Kibona wakihojiwa kuhusiana na Shindano la Mama shujaa wa chakula na Jinsi linavyo wasaidia wakulima hasa wanawake.Bahati Muliga(Kushoto)  Mama Shujaa wa Chakula 2014 msimu wa tatu, shindano linaloandaliwa na Oxfam kupitia Kampeni yake ya Grow ambapo kauli mbiu yao ni Wekeza kwa Wakulima wadogo wadogo inalipa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani