Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tani 18 za dhahabu zapotea kila mwaka

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imefichua kuwapo kwa utoroshaji mkubwa wa madini unaofanywa na baadhi ya wachimbaji wadogo na kubainisha tani 18 za dhahabu hutoroshwa kila mwaka kwenda nje.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Mamilioni ya tani za mabaki ya chakula hutupwa kila mwaka duniani

Kuna watu takribani milioni 820 duniani hawana chakula cha kutosha

 

9 years ago

Michuzi

MGODI WA DHAHABU, BULYANHULU WATUMIA NUSU BILIONI KWA MWAKA KUFADHILI VIJANA MAFUNZO YA IMTT

 Meneja Ufanisi wa Mgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu, BGML, unaomilikiwa na Kampuni ya Acacia, Elias Kasikila, (kushoto), akiagana na baadhi ya vijana wanaokwenda kuhudhuria mafunzo ya ufundi chini ya mpango wa IMTT unafadhiliwa na mgodi huo, wakati wa hafla ya kuwaaga iliyofanyika mwishoni mwa wiki kwenye eneo la mgodi, huko Msalala mmoani Shinyanga. Mgodi huo umetuamia kiasi cha zaidi ya  nusu bilioni kila mwaka kufadhili mpango huo
Na K-VIS MEDIAMGODI wa dhahabu wa Bulyanhulu, BGML,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakazi walia na maafa ya kila mwaka

WANANCHI wa kitongoji cha Mwayunge mjini Igunga mkoani Tabora wameulalamikia uongozi wa wilaya hiyo kwa kushindwa kudhibiti maafa yanayotokea kila mwaka nyakati za masika. Wakizungumza na waandishi wa habari kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndovu 36,000 wanauawa kila mwaka

je wajua kuwa ndovu mmoja anauawa kila baada ya dakika 15, takwimu zinaonesha kuwa iwapo uwindaji haramu hautadhibitiwa ndovu wataisha katika miaka 15

 

10 years ago

BBCSwahili

UN kuzindua ombi lake la kila mwaka

Umoja wa mataifa utazindua ombi lake la msaada wa kibinadamu wa mwaka 2015 baadaye leo kwa ajili ya kukabiliana na madhara ya vita na mizozo ya kibinadamu duniani kote. kusaidia

 

5 years ago

Michuzi

UCHUMI WA NCHI NI IMARA UNAKUA KILA MWAKA

IMEELEZWA kuwa Benki kuu ya Tanzania imeendelea Kuhakikisha inatoa Fedha kuendana na ukuaji wa uchumi nchini, na hiyo ni pamoja na kuangaalia Fedha iliyopo inaendana na kasi ya ukuaji uchumi wa nchi ambao unakua kila mwaka.

Akizungumza wakati wa semina kwa waandishi wa habari kuhusiana na Uchumi na Fedha , Mkurugenzi wa Kurugenzi ya Tafiti za Uchumi BoT, Dkt. Suleiman Misango amesema kuwa uchumi wa nchi unakua kila mwaka na kwa kipindi cha mwaka 2018 uchumi ulikua kwa asilimia 7 na kwa mwaka...

 

10 years ago

Mwananchi

CUF yaapa kuendelea na maandamano kila mwaka

Chama cha Wananchi (CUF) kimesema, hakitarudi nyuma na kitaendelea kufanya maandamano na mikutano ya hadhara kila Januari 26 na 27 kila mwaka kuazimisha mauaji ya wanachama wake yaliyotokea Zanzibar mwaka 2001.

 

10 years ago

Mtanzania

Wafanyakazi milioni 2.3 wafariki dunia kila mwaka

Dk. Makongoro MahangaNa Debora Sanja, Dodoma
WAFANYAKAZI milioni 2.3 duniani wanafariki dunia kila mwaka kutokana na ajali na magonjwa yatokanayo na kazi.
Kauli hiyo ilitolewa mjini Dodoma jana na Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk. Makongoro Mahanga wakati akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Afya na Usalama Mahali pa Kazi Duniani.
Alisema takwimu hizo ambazo ni kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaonyesha kwamba kila sekunde 15 mfanyakazi mmoja anafariki kutokana na ajali au magonjwa duniani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani