UN kuzindua ombi lake la kila mwaka
Umoja wa mataifa utazindua ombi lake la msaada wa kibinadamu wa mwaka 2015 baadaye leo kwa ajili ya kukabiliana na madhara ya vita na mizozo ya kibinadamu duniani kote. kusaidia
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Jan
HOJA YA MWAKA: Kila kizazi kina jukumu lake kwa taifa husika
10 years ago
Bongo Movies26 Mar
Tujikumbushe: Mzee Majuto na Ombi lake kwa Rais Kikwete
Akihojiwa katika Kipindi cha Mkasi cha EATV mwishoni mwa mwaka 2014, Msanii Mkongwe wa vichekesho na mchekeshaji bora zaidi aliyewahi kutokea Tanzania, Amr Athuman almaarufu kama Mzee Majuto, alitoa ombi lake la kununuliwa Trekta ili kuweza kumudu kuendesha maisha yake ya uzeeni kupitia kilimo baada ya kuachana na sanaa ya maigizo aliyoitumikia kwa zaidi ya miaka 20 sasa.
Kwa msisitizo mkubwa, Mzee Majuto alimwomba Rais wa JMT, Mhe. Jakaya Kikwete kama anamsikiliza, amsaidie kwenye hilo na...
10 years ago
Vijimambo19 Jun
Kocha timu ya taifa aomba kujiuzulu, Malinzi amkubalia ombi lake
![](http://api.ning.com/files/pX4h1nu50oHB9hVxfQb6O8OhbZIkAr8sfpJNh8BbKAbmyS*ZmCVHk-JmtXFr6h2uzlEXbPdhF5rIGGjJ69URR7xnSjjOXS33/malinzi11.jpg?width=650)
Mohammed Mdose na Said Ally
KOCHA wa timu ya taifa ya Tanzania kwa vijana chini ya miaka 15, Adolf Rishard, ameliandikia barua Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuomba kujiuzulu nafasi hiyo.
Adolf aliteuliwa na TFF miezi kadhaa iliyopita kuinoa timu hiyo ambayo imepangiwa mikakati maalumu ili iweze kukata tiketi ya kushiriki michuano ya vijana chini ya miaka 17 (U-17) itakayofanyika nchini Madagascar, mwaka 2017.
Adolf amesema...
9 years ago
BBCSwahili08 Dec
Papa Francis kuzindua mwaka wa huruma
10 years ago
MichuziAPICO KUZINDUA KALENDA YA KIISLAM 7JUNI MWAKA HUU.
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-Sx3VoK6o0LI/VS4SV6wZv8I/AAAAAAAACFE/M7h1GCxNr38/s72-c/page%2B12%2B-13%2Bcopy.jpg)
10 years ago
Michuzi23 Jul
FASTJET KUZINDUA SAFARI YA LILONGWE-MALAWI JULAI 27 MWAKA HUU
![DSC_0263](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/DSC_0263.jpg)
Kwa mujibu wa Afisa Mahusiano na Masoko wa Fastjet, Lucy...
10 years ago
BBCSwahili17 Jul
Ghiggia na goli lake la mwaka 1950
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
Ndovu 36,000 wanauawa kila mwaka