Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UN kuzindua ombi lake la kila mwaka

Umoja wa mataifa utazindua ombi lake la msaada wa kibinadamu wa mwaka 2015 baadaye leo kwa ajili ya kukabiliana na madhara ya vita na mizozo ya kibinadamu duniani kote. kusaidia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

HOJA YA MWAKA: Kila kizazi kina jukumu lake kwa taifa husika

>Ndugu wasomaji wangu leo ninaanza safari mpya tena ndefu hasa kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015 ambao kimsingi ni mgumu sana, kwani rais wetu Profesa Jakaya Kikwete anaondoka na ni lazima tuchague rais mwingine.

 

10 years ago

Bongo Movies

Tujikumbushe: Mzee Majuto na Ombi lake kwa Rais Kikwete

Akihojiwa katika Kipindi cha Mkasi cha EATV mwishoni mwa mwaka 2014, Msanii Mkongwe wa vichekesho na mchekeshaji bora zaidi aliyewahi kutokea Tanzania, Amr Athuman almaarufu kama Mzee Majuto, alitoa ombi lake la kununuliwa Trekta ili kuweza kumudu kuendesha maisha yake ya uzeeni kupitia kilimo baada ya kuachana na sanaa ya maigizo aliyoitumikia kwa zaidi ya miaka 20 sasa.

Kwa msisitizo mkubwa, Mzee Majuto alimwomba Rais wa JMT, Mhe. Jakaya Kikwete kama anamsikiliza, amsaidie kwenye hilo na...

 

10 years ago

Vijimambo

Kocha timu ya taifa aomba kujiuzulu, Malinzi amkubalia ombi lake

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF, Mh. Jamal Malinzi.

Mohammed Mdose na Said Ally
KOCHA wa timu ya taifa ya Tanzania kwa vijana chini ya miaka 15, Adolf Rishard, ameliandikia barua Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuomba kujiuzulu nafasi hiyo.

Adolf aliteuliwa na TFF miezi kadhaa iliyopita kuinoa timu hiyo ambayo imepangiwa mikakati maalumu ili iweze kukata tiketi ya kushiriki michuano ya vijana chini ya miaka 17 (U-17) itakayofanyika nchini Madagascar, mwaka 2017.

Adolf amesema...

 

9 years ago

BBCSwahili

Papa Francis kuzindua mwaka wa huruma

Papa Francis leo atazindua mwaka wa huruma katika kanisa hilo, kipindi ambacho mapadri wataruhusiwa kutoa msamaha kwa wanawake walioavya mimba wanaoomba msamaha.

 

10 years ago

Michuzi

APICO KUZINDUA KALENDA YA KIISLAM 7JUNI MWAKA HUU.

 Mwenyekiti wa maandalizi taasisi ya Kiislamu ya APICO Tanzania Ltd Habibu Masano akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa Idara ya habari MAELEZO JIJINI Dar es Salaam leo, wakati wa kutoa taarifa ya uzinduzi wa Kalenda ya Kiislam itakayo tumiwa na madhehebu yote ya Dini ya Kiislam duniani,inayotarajiwa kuzinduliwa Juni 7 Mwaka huu katika viwanja vya Karimjee jijiji Dar es Salaam.Mratibu wa taasisi ya Kiislamu ya APICO Tanzania Ltd,Abasi Said Mzeri  akizungumza na waandishi wa...

 

10 years ago

Michuzi

FASTJET KUZINDUA SAFARI YA LILONGWE-MALAWI JULAI 27 MWAKA HUU

DSC_0263Afisa Mahusiano na Masoko wa Fastjet, Lucy Mbogoro (kulia) akifafanua jambo kwa wandishi wa habari (Hawapo pichani) wakati wa mkutano wa wandishi wa habari akielezea kampuni hiyo ilivyoweza kusaidia sanaa kwa Tanzania na Afrika. Kushoto kwake ni CEO wa ZIFF, Prof. Martin Mhando.Na Andrew Chale.Shirika la ndege la Fastjet limeendelea kupanua wigo wake kwa kuanzisha ‘rout’ zaidi za safari zake ikiwa ni kuunganisha Afrika kuwa moja.
Kwa mujibu wa Afisa Mahusiano na Masoko wa Fastjet, Lucy...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ghiggia na goli lake la mwaka 1950

Mshambuliaji wa Uruguay Alcides Edgardo Ghiggia aliyeifungia timu yake goli la ushindi dakika 10 kombe la Dunia mwaka 1950 afariki

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndovu 36,000 wanauawa kila mwaka

je wajua kuwa ndovu mmoja anauawa kila baada ya dakika 15, takwimu zinaonesha kuwa iwapo uwindaji haramu hautadhibitiwa ndovu wataisha katika miaka 15

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani