Wafanyakazi milioni 2.3 wafariki dunia kila mwaka
Na Debora Sanja, Dodoma
WAFANYAKAZI milioni 2.3 duniani wanafariki dunia kila mwaka kutokana na ajali na magonjwa yatokanayo na kazi.
Kauli hiyo ilitolewa mjini Dodoma jana na Naibu Waziri wa Kazi na Ajira, Dk. Makongoro Mahanga wakati akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Afya na Usalama Mahali pa Kazi Duniani.
Alisema takwimu hizo ambazo ni kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaonyesha kwamba kila sekunde 15 mfanyakazi mmoja anafariki kutokana na ajali au magonjwa duniani...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziZAIDI YA WATOTO MILIONI 3.1 WENYE UMRI CHINI YA MIAKA MITANO HUFARIKI DUNIA KILA MWAKA HUKU WENGINE MILIONI 161 KUPATA MATATIZO YA KUDUMAA MWILI
11 years ago
BBCSwahili29 May
Watoto milioni 2 kuzaliwa kila mwaka China
10 years ago
Dewji Blog14 Jul
PPF yaandalia futari wafanyakazi wake, ni utaratibu wa kila mwaka kuonyesha mshikamano
![](http://2.bp.blogspot.com/-ZQgbiBu8nzo/VaUJn82Vb-I/AAAAAAAAWBI/H0eZbavq-nU/s640/B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-LzhKkfAB9zU/VaUJn1YJo5I/AAAAAAAAWBM/sxNlgZp-pJM/s640/b2.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-p88x6_xH9e0/VaUJn8C7aAI/AAAAAAAAWBE/D3ERJ0FINl0/s640/b5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iAvyu9a31LQ/VaUJroZRjbI/AAAAAAAAWBc/gUwdx0KLegU/s640/b6.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Eb5m5MJQzJQ/VaUJr57tEPI/AAAAAAAAWBg/E4V7sAOKoB4/s640/b7.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qhmaNpdkdBvheKKBXfM-uGeJyx*5rluJstG92w7*Rn7Usw*wRQRPBL3tBjsPTEce83OF-zggjvq1DoCmWLeaxhRRKL0GVi-2/tb.jpg?width=650)
KIFUA KIKUU: UGONJWA UNAOUA ZAIDI YA WATU MILIONI 1 DUNIANI KILA MWAKA
10 years ago
Bongo512 Mar
Michael Jordan anaingiza dola milioni 100 kila mwaka, fahamu zinakotoka
11 years ago
Dewji Blog17 Apr
Wanawake 8,500 kufariki dunia kila mwaka kwa sababu ya ujauzito
Mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali la Evidence for Action (E4A) Tanzania,Craig John Felar, akitoa mada yake juu ya kampeni ya ‘Muokoe Mama muokoe mtoto mchanga’ (Mama ye) kwenye semina iliyohudhuriwa na baadhi ya viongozi kutoka vilabu vya waandishi habari mikoa mbalimbali nchini .Semina hiyo ya siku mbili iliyoandaliwa na UTPC,ilifanyika katika ukumbi wa mikutano wa Lion hotel jijini Dar.
Baadhi ya waandishi wa habari kutoka vilabu vya waandishi wa habari Tanzania ,wakifuatlia...
10 years ago
Raia Mwema12 Aug
Magufuli: Laptop kila mwalimu, milioni 50/- kila kijiji
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeahidi kutoa kompyuta mpakato (laptop) kwa kila mwalimu hapa nchini
Mwandishi Wetu
10 years ago
Mwananchi15 Dec
Mgombea CCM, mpigakura wafariki dunia dunia ghafla
11 years ago
Mwananchi15 May
Tisa wafariki dunia, 10 wajeruhiwa